< Tito 2 >

1 Lakini wewe yaseme yale yanayoendana na maelekezo ya kuaminika.
Kono iwe, wambe chi swanela itaelo ye tumelo.
2 Wazee wawe na kiasi, heshima, busara, imani safi, katika upendo, na katika uvumilivu.
Vakwame va kulwana va swanela kuli kwata, ni ku kutekeha, vena i nkutwisiso, vena tumelo izuweka, mwi lato, ni mukukola inkulo.
3 Vilevile wanawake wazee lazima daima wajioneshe wao wenyewe kama wenye kujiheshimu, na sio wasengenyaji. Lazima wasiwe watumwa wa pombe.
Vanakazi vakulite navo lukera kuli likwata, isinyi kusooha. Sanzi valihi ahulu kukunwya i waine ingi. Vaswanera kuruta zintu zishiyeme.
4 Wanapaswa kufundisha yaliyo mazuri ili kuwaandaa wasichana kwa busara kuwapenda waume zao na watoto wao.
kuchitira kuti vawole kuruta vaana kazana muvaswanela kusakira vakwame vavo ni vaana vavo.
5 Wanapaswa kuwafundisha kuwa na busara, wasafi, watunzaji wazuri wa nyumba zao, na watii kwa waume zao wenyewe. Inawalazimu kufanya mambo haya ili kwamba neno la Mungu lisitukanwe.
Vaswanela kuva ruta inkutwisiso, kujolola, kwiziva kuvavalela mazuvo, nikuti valivike kunsi lya vakwame vavo, vaswanela kutenda izo zintu kuchitira kuti linwi lye Ireza sanzi li nyanswa.
6 katika namna iyo hiyo, watieni moyo vijana wa kiume wawe na busara.
Mwinzila iswana, susuweze valomwana kuti va talife.
7 Katika njia zote jiwekeni wenyewe kuwa mfano katika kazi nzuri; na mfundishapo, onesheni uadilifu na heshima.
Mwinzila zonse mulivonise kuva vo mutala wa misevesi milotu. Mi horuta, vonise vuntu ni ku kutekeha.
8 Ongeeni ujumbe wenye afya na usio na dosari, ili kwamba yeyote apingaye aaibishwe kwa sababu hana baya la kusema juu yetu.
Wambe linwi li jolola mi lisanyazahali, kucitira kuti valwisanisa vaswave, kakuti kakwinazintu zivi ziva wola kuwamba kahetu.
9 Watumwa na wawatii mabwana zao katika kila kitu. Wanapaswa kuwafurahisha na sio kubishana nao.
Vahikana vakuteka va simwine vavo muzintu zonse. Vaswanela kuva sangisa isinyi kukanana navo.
10 Hawapaswi kuiba. Badala yake, wanapaswa kuonesha imani yote nzuri ili kwamba katika njia zote wayapambe mafundisho yetu kumhusu Mungu mwokozi wetu.
Sanzi vevi, kono va swanela ku tondeza intumelo indotu. Kuchitirira kuti mwinzila zonse vakutekise ituto lye Reza muhazi wetu.
11 Kwa kuwa neema ya Mungu imeonekana kwa watu wote.
Mi chisemo che Reza chiva voneki kuvantu vonse.
12 Inatufundisha kukataa mambo yasiyo ya kimungu na tamaa za kidunia. Inatufundisha kuishi kwa busara, kwa haki, na katika njia za kimungu kwa wakati huu. (aiōn g165)
Chituruta kukana vuvi vonse ni mihaliro ya minyaka ya hansi. Ituruta kuhala cha kuzuwisisa, chaku shiyama, ni cha kulikanyisa ireza mwe zinu inako. (aiōn g165)
13 Wakati tunatarajia kupokea tumaini letu lenye baraka, mwonekano wa utukufu wa Mungu wetu mkuu na Mwokozi wetu Yesu Kristo.
Heti tu lolete kuvusu kuti to tambule insepo i fuyaulitwe, kuvoneka kwe kanya ye Ireza wetu mukando ni Jesu Kreste muhazi.
14 Yesu alijitoa mwenyewe kwa ajili yetu ili kutukomboa kutoka katika uasi na kutufanya wasafi, kwa ajili yake, watu maalumu walio na hamu ya kufanya kazi nzuri.
Jesu iye mwine avali tambiki kwetu kuchitira kuti atuliulule ku vuvi bwetu ni kutu tenda va jolola, kwali mwine, vantu vavu tokwa vena inyotwa yaku chita mitendo milotu.
15 Yaseme na kuyasisitiza mambo haya. Kemea kwa mamlaka yote. Usikubali mtu yeyote akupuuze.
Wambe mi ususuweze izo zintu. Sikulule cha ziho sonse. Zanzi kuvi ni muntu yoku nyansiliza.

< Tito 2 >