< Wimbo wa Sulemani 1 >
1 Wimbo ulio Bora, ambao ni wa Sulemani. Wanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake
Pieśń nad pieśniami Salomona.
2 O, laiti ungenibusu na mabasu ya mdomo wako, kwa kuwa upendo wako ni bora kuliko mvinyo.
Niech mnie pocałuje pocałunkami swoich ust. Twoja miłość bowiem jest lepsza od wina.
3 Mafuta yako ya upako yana manukato mazuri; jina lako ni kama marashi yaeleayo, hivyo wanawake wadogo wanakupenda.
Z powodu wonności twoich olejków twoje imię [jest jak] rozlany olejek; dlatego miłują cię dziewice.
4 Nichukuwe kwako, na tutakimbia. Mwanamke akizungumza mwenyewe Mfalme amenipeleka vyumbani mwake. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake nina furuha; nina furahi kuhusu wewe; acha ni shereheke upendo wako; ni bora kuliko mvinyo. Ni halisi kwa wanawake wengine kupenda. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
Pociągnij mnie, [a] pobiegniemy za tobą. Król wprowadził mnie [do] swoich komnat. Będziemy się cieszyć i radować tobą, będziemy pamiętać o twojej miłości bardziej niż o winie. Miłują cię prawi.
5 Mimi ni mweusi lakini mzuri, enyi mabinti wa wanaume wa Yerusalemu - mweusi kama hema za Kedari, muzuri kama mapazia ya Sulemani.
Czarna jestem, ale piękna, o córki Jerozolimy, jak namioty Kedaru, jak zasłony Salomona.
6 Usinishangae kwasababu ni mweusi, kwasababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu walikuwa na hasira juu yangu; walinifanya mtunzi wa mashamba ya mizabibu, lakini mshamba langu la mizabibu sijatunza. Wanamke akizungumza na mpenzi wake.
Nie patrzcie na mnie, że jestem czarna, gdyż słońce mnie opaliło. Synowie mojej matki rozgniewali się na mnie, postawili mnie na straży winnic; a mojej własnej winnicy nie ustrzegłam.
7 Niambie, wewe ninaye kupenda, wapi unalisha mifugo yako? Wapi unapumzisha mifugo yako mchana? Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? Mpenzi wake anamjibu
Powiedz mi [ty], którego miłuje moja dusza, gdzie wypasasz, gdzie dajesz swojej [trzodzie] odpocząć w południe. Czemu bowiem mam być jak błądząca przy trzodach twoich towarzyszy?
8 Kama haujui, uliye mzuri miongoni mwa wanawake, fuata nyayo za mifugo yangu, na ulishe watoto wako wa mbuzi karibu na hema za wachungaji.
Jeśli nie wiesz, najpiękniejsza wśród kobiet, to idź śladem trzody i paś swoje koźlątka przy szałasach pasterzy.
9 Nina kulinganisha, mpenzi wangu, na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao.
Przyrównam cię, moja umiłowana, do zaprzęgu rydwanów faraona.
10 Mashavu yako ni mazuri na mapambo, shingo yako na mikufu ya madini.
Twoje lica są piękne, ozdobione klejnotami, [a] twoja szyja – łańcuchami.
11 Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
Uczynimy ci złote klejnoty nakrapiane srebrem.
12 Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
Dopóki król jest przy [swoim] stole, mój nard rozsiewa swoją woń.
13 Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.
[Jak] wiązka mirry jest dla mnie mój miły, spoczywa na moich piersiach.
14 Mpenzi wangu ni kwangu kama kifurushi cha maua ya hena katika mashamba ya mizabibu ya Eni Gedi. Mpenzi wake anazungumza naye
Mój miły jest dla mnie [jak] grono cyprysu pośród winnic w En-Gedi.
15 Ona, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; ona, wewe ni mzuri; macho yako ni kama ya hua. Mwanamke anazungumza na mpenzi wake.
O jaka ty jesteś piękna, moja umiłowana! O jaka ty jesteś piękna! Twoje oczy są [jak oczy] gołębicy.
16 Ona, wewe ni mtanashati, mpenzi wangu, jinsi mtanashati.
O jaki ty jesteś piękny, mój umiłowany, i jak miły! Łoże nasze się zieleni.
17 Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi, na dari letu ni la matawi ya miberoshi.
Belki naszego domu są cedrowe, a nasze stropy – cyprysowe.