< Wimbo wa Sulemani 1 >

1 Wimbo ulio Bora, ambao ni wa Sulemani. Wanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake
The Song of Songs, that [is] of Solomon.
2 O, laiti ungenibusu na mabasu ya mdomo wako, kwa kuwa upendo wako ni bora kuliko mvinyo.
Let him kiss me with kisses of his mouth, For better [are] your loves than wine.
3 Mafuta yako ya upako yana manukato mazuri; jina lako ni kama marashi yaeleayo, hivyo wanawake wadogo wanakupenda.
For fragrance [are] your good perfumes. Perfume emptied out—your name, Therefore have virgins loved you!
4 Nichukuwe kwako, na tutakimbia. Mwanamke akizungumza mwenyewe Mfalme amenipeleka vyumbani mwake. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake nina furuha; nina furahi kuhusu wewe; acha ni shereheke upendo wako; ni bora kuliko mvinyo. Ni halisi kwa wanawake wengine kupenda. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
Draw me: we run after you, The king has brought me into his inner chambers, We delight and rejoice in you, We mention your loves more than wine, Uprightly they have loved you!
5 Mimi ni mweusi lakini mzuri, enyi mabinti wa wanaume wa Yerusalemu - mweusi kama hema za Kedari, muzuri kama mapazia ya Sulemani.
I [am] dark and lovely, daughters of Jerusalem, as tents of Kedar, as curtains of Solomon.
6 Usinishangae kwasababu ni mweusi, kwasababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu walikuwa na hasira juu yangu; walinifanya mtunzi wa mashamba ya mizabibu, lakini mshamba langu la mizabibu sijatunza. Wanamke akizungumza na mpenzi wake.
Do not fear me, because I [am] very dark, Because the sun has scorched me, The sons of my mother were angry with me, They made me keeper of the vineyards, My vineyard—my own—I have not kept.
7 Niambie, wewe ninaye kupenda, wapi unalisha mifugo yako? Wapi unapumzisha mifugo yako mchana? Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? Mpenzi wake anamjibu
Declare to me, you whom my soul has loved, Where you delight, Where you lie down at noon, For why am I as one veiled, By the ranks of your companions?
8 Kama haujui, uliye mzuri miongoni mwa wanawake, fuata nyayo za mifugo yangu, na ulishe watoto wako wa mbuzi karibu na hema za wachungaji.
If you do not know, O beautiful among women, Go forth by the traces of the flock, And feed your kids by the shepherds’ dwellings!
9 Nina kulinganisha, mpenzi wangu, na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao.
To my joyous one in chariots of Pharaoh, I have compared you, my friend,
10 Mashavu yako ni mazuri na mapambo, shingo yako na mikufu ya madini.
Your cheeks have been lovely with garlands, your neck with chains.
11 Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
We make garlands of gold for you, with studs of silver!
12 Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
While the king [is] in his circle, My spikenard has given its fragrance.
13 Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.
A bundle of myrrh [is] my beloved to me, Between my breasts it lodges.
14 Mpenzi wangu ni kwangu kama kifurushi cha maua ya hena katika mashamba ya mizabibu ya Eni Gedi. Mpenzi wake anazungumza naye
A cluster of cypress [is] my beloved to me, In the vineyards of En-Gedi!
15 Ona, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; ona, wewe ni mzuri; macho yako ni kama ya hua. Mwanamke anazungumza na mpenzi wake.
Behold, you [are] beautiful, my friend, Behold, you [are] beautiful, your eyes [are] doves!
16 Ona, wewe ni mtanashati, mpenzi wangu, jinsi mtanashati.
Behold, you [are] beautiful, my love, indeed, pleasant, Indeed, our bed [is] green,
17 Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi, na dari letu ni la matawi ya miberoshi.
The beams of our houses [are] cedars, Our rafters [are] firs, I [am] a rose of Sharon, a lily of the valleys!

< Wimbo wa Sulemani 1 >