< Wimbo wa Sulemani 8 >
1 Ninatamani ungekua kama kaka yangu, aliye nyonya ziwa la mama yangu. Ili kwamba kila ningekuona nje ningekubusu pasipo mtu kunidharau.
„О, коли б ти мені був за брата, що пе́рса ссав в нені моєї, коли б стріла тебе я на вулиці, цілувала б тебе, — і ніхто мені не докоря́в би!
2 Nitakuongoza na kukuleta kwenye nyumba ya mama yangu, na utanifundisha. Nitakupa mvinyo ulio chachwa unywe na baadhi ya jwisi ya komamanga. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
Повела́ б я тебе й привела́ б у дім нені своєї: ти навчав би мене, я б тебе напоїла вином запашни́м, со́ком грана́тових яблук своїх!
3 Mkono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu na mkono wake wa kulia wanikumbatia. Mwanamke akiongea na wanawake wengine
Ліва рука його — під головою моєю, прави́ця ж його — пригорта́є мене!
4 Ninataka muape, mabinti wa wanaume wa Yerusalemu, kuwa hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Wanawake wa Yerusalemu wakizungumza
Заклинаю я вас, дочки єрусалимські, — нащо б споло́хали, й нащо б збудили любови, аж доки йому до вподо́би!“
5 Ni nani huyu anaye kuja kutoka nyikani, amemuegemea mpenzi wake? Mwanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake nimekuamsha chini ya mti wa mpera; pale mama yako alichukua mimba; pale alikuzaa, alijifungua wewe.
„Хто вона, що вихо́дить із пустині, спира́ючися на свого коханого? Під яблунею я збуди́ла тебе, — там повила́ тебе мати твоя, там тебе повила́ твоя породи́телька!“
6 Nieka kama muhuri kwenye moyo wako, kama muhuri kwenye mkono wako, kwa kuwa mapenzi yana nguvu kama mauti. Mapenzi mazito hayana kurudi kama kwenda kuzimu; miale yake yalipuka; ni miale ya moto inayo waka, miale yenye joto kuliko moto wowote. (Sheol )
„Поклади ти мене, як печатку на серце своє, як печать на раме́но своє, бо сильна любов, як смерть, за́здрощі неперемо́жні, немов той шео́л, — його жар — жар огню, воно по́лум'я Господа! (Sheol )
7 Maji yalio zuka hayawezi kuzimisha upendo, wala mafuriko hayawezi kuondoa. Mwanaume akitoa mali zake zote kwa ajili ya upendo, ukarimu wake utadharauliwa. Kaka zake mwanamke mdogo wakizungumza wenyewe
Во́ди великі не зможуть згаси́ти коха́ння, ані рі́ки його не заллю́ть! Коли б хто давав за любов маєток увесь свого дому, то ним погорди́ли б зовсі́м!“
8 Tuna dada mdogo, na matiti yake bado hayajakua. Nini tutamfanyia dada yetu siku hatakayo ahidiwa kuolewa?
„Є сестра в нас мала, й перс у неї нема ще. Що зробимо нашій сестри́чці в той день, коли сва́тати бу́дуть її? —
9 Kama ni ukuta, tutamjengea juu yake mnara wa fedha. Kama ni mlango, tutampamba kwa mbao za mierezi. Mwanamke mdogo akizungumza peke yake
Якщо вона мур, — заборо́ло із срібла збудуємо на ній, а якщо вона двері — обкладе́мо кедро́вою до́шкою їх“.
10 Nilikuwa ukuta, lakini matiti yangu sasa ni kama nguzo imara; hivyo nimekomaa machoni pake. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
„Я мур, мої ж пе́рса — як ба́шти, — тоді я була́ в його о́чах мов та, яка спо́кій прова́дить“.
11 Sulemani alikuwa na shamba la mizabibu huko Baali Hamoni. Aliwakodishia wao ambao watalitunza. Kila mmoja alipaswa kuleta shekeli elfu moja za fedha kwa matunda yake.
„Виноградинка мав Соломон у Баал-Гамо́ні, виноградника він віддава́в сторожа́м, — щоб кожен прино́сив за плід його тисячу срі́бла.
12 Shamba langu ka mzabibu ni langu, shekeli elfu moja ni za kwako, Sulemani mpenzi, na shekeli mia mbili ni za wale wanao tunza matunda yake. Mpenzi wa mwanamke akizungumza naye.
Але мій виногра́дник, що маю його, при мені! Тобі, Соломо́не, хай буде та тисяча, а сторожа́м його пло́ду — дві сотні!
13 Wewe unaye ishi katika bustani, marafiki zangu wanasikiliza sauti yako; acha na mimi niweanaye isikia pia. Mwanamke mdogo akiongea na mpenzi wake
О ти, що сидиш у садка́х, — друзі твої прислуха́ються до твого голосу: дай почути його і мені!“
14 Harakisha, mpenzi wangu, na uwe kama paa au mtoto wa paa kwenye milima ya manukato.
„Утікай, мій коха́ний, і станься подібний до са́рни собі, чи до молодого оленя у бальза́мових го́рах!“