< Wimbo wa Sulemani 8 >
1 Ninatamani ungekua kama kaka yangu, aliye nyonya ziwa la mama yangu. Ili kwamba kila ningekuona nje ningekubusu pasipo mtu kunidharau.
Keşke kardeşim olsaydın, Annemin memelerinden süt emmiş. Dışarıda görünce öperdim seni, Kimse de kınamazdı beni.
2 Nitakuongoza na kukuleta kwenye nyumba ya mama yangu, na utanifundisha. Nitakupa mvinyo ulio chachwa unywe na baadhi ya jwisi ya komamanga. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
Önüne düşer, Beni eğiten Annemin evine götürürdüm seni; Sana baharatlı şarapla Kendi narlarımın suyundan içirirdim.
3 Mkono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu na mkono wake wa kulia wanikumbatia. Mwanamke akiongea na wanawake wengine
Sol eli başımın altında, Sağ eli sarsın beni.
4 Ninataka muape, mabinti wa wanaume wa Yerusalemu, kuwa hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Wanawake wa Yerusalemu wakizungumza
Ant içiriyorum size, ey Yeruşalim kızları! Aşkımı ayıltmayasınız, uyandırmayasınız diye, Gönlü hoş olana dek.
5 Ni nani huyu anaye kuja kutoka nyikani, amemuegemea mpenzi wake? Mwanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake nimekuamsha chini ya mti wa mpera; pale mama yako alichukua mimba; pale alikuzaa, alijifungua wewe.
Kim bu, Sevgilisine yaslanarak çölden çıkan? Elma ağacı altında uyandırdım seni, Orada doğum sancıları çekti annen, Orada doğum sancıları çekip doğurdu seni.
6 Nieka kama muhuri kwenye moyo wako, kama muhuri kwenye mkono wako, kwa kuwa mapenzi yana nguvu kama mauti. Mapenzi mazito hayana kurudi kama kwenda kuzimu; miale yake yalipuka; ni miale ya moto inayo waka, miale yenye joto kuliko moto wowote. (Sheol )
Beni yüreğinin üzerine bir mühür gibi, Kolunun üzerine bir mühür gibi yerleştir. Çünkü sevgi ölüm kadar güçlü, Tutku ölüler diyarı kadar katıdır. Alev alev yanar, Yakıp bitiren ateş gibi. (Sheol )
7 Maji yalio zuka hayawezi kuzimisha upendo, wala mafuriko hayawezi kuondoa. Mwanaume akitoa mali zake zote kwa ajili ya upendo, ukarimu wake utadharauliwa. Kaka zake mwanamke mdogo wakizungumza wenyewe
Sevgiyi engin sular söndüremez, Irmaklar süpürüp götüremez. İnsan varını yoğunu sevgi uğruna verse bile, Yine de hor görülür!
8 Tuna dada mdogo, na matiti yake bado hayajakua. Nini tutamfanyia dada yetu siku hatakayo ahidiwa kuolewa?
Küçük bir kızkardeşimiz var, Daha memeleri çıkmadı. Ne yapacağız kızkardeşimiz için, Söz kesileceği gün?
9 Kama ni ukuta, tutamjengea juu yake mnara wa fedha. Kama ni mlango, tutampamba kwa mbao za mierezi. Mwanamke mdogo akizungumza peke yake
Eğer o bir sursa, Üzerine gümüş mazgallı siper yaparız; Eğer bir kapıysa, Sedir tahtalarıyla onu kaplarız.
10 Nilikuwa ukuta, lakini matiti yangu sasa ni kama nguzo imara; hivyo nimekomaa machoni pake. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
Ben bir surum, memelerim de kuleler gibi, Böylece hoşnut eden biri oldum onun gözünde.
11 Sulemani alikuwa na shamba la mizabibu huko Baali Hamoni. Aliwakodishia wao ambao watalitunza. Kila mmoja alipaswa kuleta shekeli elfu moja za fedha kwa matunda yake.
Süleyman'ın bağı vardı Baal-Hamon'da, Kiraya verdi bağını; Her biri bin gümüş öderdi ürünü için.
12 Shamba langu ka mzabibu ni langu, shekeli elfu moja ni za kwako, Sulemani mpenzi, na shekeli mia mbili ni za wale wanao tunza matunda yake. Mpenzi wa mwanamke akizungumza naye.
Benim bağım kendi emrimde, Bin gümüş senin olsun, ey Süleyman, İki yüz gümüş de ürününe bakan kiracıların.
13 Wewe unaye ishi katika bustani, marafiki zangu wanasikiliza sauti yako; acha na mimi niweanaye isikia pia. Mwanamke mdogo akiongea na mpenzi wake
Ey sen, bahçelerde oturan kadın, Arkadaşlar kulak veriyor sesine, Bana da duyur onu.
14 Harakisha, mpenzi wangu, na uwe kama paa au mtoto wa paa kwenye milima ya manukato.
Koş, sevgilim, Mis kokulu dağların üzerinde bir ceylan gibi, Geyik yavrusu gibi ol!