< Wimbo wa Sulemani 8 >

1 Ninatamani ungekua kama kaka yangu, aliye nyonya ziwa la mama yangu. Ili kwamba kila ningekuona nje ningekubusu pasipo mtu kunidharau.
O that thou wert as my brother, That sucked the breast of my mother! When I found thee abroad, I might kiss thee; And for it no one would deride me.
2 Nitakuongoza na kukuleta kwenye nyumba ya mama yangu, na utanifundisha. Nitakupa mvinyo ulio chachwa unywe na baadhi ya jwisi ya komamanga. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
I will lead thee, and bring thee into my mother's house, that thou mayst teach me; I will give thee spiced wine to drink, and the juice of my pomegranates.
3 Mkono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu na mkono wake wa kulia wanikumbatia. Mwanamke akiongea na wanawake wengine
His left hand is under my head, And his right hand embraceth me.
4 Ninataka muape, mabinti wa wanaume wa Yerusalemu, kuwa hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Wanawake wa Yerusalemu wakizungumza
[[Lov.]] I charge you, O ye daughters of Jerusalem! That ye stir not up, nor awake my love, Till she please!
5 Ni nani huyu anaye kuja kutoka nyikani, amemuegemea mpenzi wake? Mwanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake nimekuamsha chini ya mti wa mpera; pale mama yako alichukua mimba; pale alikuzaa, alijifungua wewe.
[[Lad.]] Who is this that cometh up from the wilderness, Leaning upon her beloved? [[M.]] Under the apple-tree I awakened thee; There thy mother brought thee forth; There she that bore thee brought thee forth!
6 Nieka kama muhuri kwenye moyo wako, kama muhuri kwenye mkono wako, kwa kuwa mapenzi yana nguvu kama mauti. Mapenzi mazito hayana kurudi kama kwenda kuzimu; miale yake yalipuka; ni miale ya moto inayo waka, miale yenye joto kuliko moto wowote. (Sheol h7585)
O set me as a seal upon thy heart, As a seal upon thine arm! For love is strong as death; True love is firm as the grave: Its flames are flames of fire, The fire of Jehovah. (Sheol h7585)
7 Maji yalio zuka hayawezi kuzimisha upendo, wala mafuriko hayawezi kuondoa. Mwanaume akitoa mali zake zote kwa ajili ya upendo, ukarimu wake utadharauliwa. Kaka zake mwanamke mdogo wakizungumza wenyewe
Many waters cannot quench love, Nor can floods drown it. Would a man give all the wealth of his house for love, It would be utterly contemned.
8 Tuna dada mdogo, na matiti yake bado hayajakua. Nini tutamfanyia dada yetu siku hatakayo ahidiwa kuolewa?
[[Br.]] We have a sister who is yet young; She is yet without breasts. What shall we do with our sister, When she shall be spoken for?
9 Kama ni ukuta, tutamjengea juu yake mnara wa fedha. Kama ni mlango, tutampamba kwa mbao za mierezi. Mwanamke mdogo akizungumza peke yake
If she be a wall, We will build upon it a silver tower; If she be an open gate, We will inclose her with planks of cedar.
10 Nilikuwa ukuta, lakini matiti yangu sasa ni kama nguzo imara; hivyo nimekomaa machoni pake. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
[[Sis.]] I am a wall, and my breasts like towers; Therefore am I become in his eyes as one that findeth peace.
11 Sulemani alikuwa na shamba la mizabibu huko Baali Hamoni. Aliwakodishia wao ambao watalitunza. Kila mmoja alipaswa kuleta shekeli elfu moja za fedha kwa matunda yake.
Solomon had a vineyard at Baal-hamon; He let out the vineyard to keepers; Every one was to bring a thousand shekels of silver for its fruit.
12 Shamba langu ka mzabibu ni langu, shekeli elfu moja ni za kwako, Sulemani mpenzi, na shekeli mia mbili ni za wale wanao tunza matunda yake. Mpenzi wa mwanamke akizungumza naye.
My vineyard is before my eyes. Be thine the thousand, O Solomon! And two hundred to the keepers of its fruit!
13 Wewe unaye ishi katika bustani, marafiki zangu wanasikiliza sauti yako; acha na mimi niweanaye isikia pia. Mwanamke mdogo akiongea na mpenzi wake
[[Lov.]] Thou that dwellest in the gardens! Friends listen to thy voice; Let me hear thee!
14 Harakisha, mpenzi wangu, na uwe kama paa au mtoto wa paa kwenye milima ya manukato.
Fly, my beloved! like a gazelle, or a young hind, Upon the mountains of spices.

< Wimbo wa Sulemani 8 >