< Wimbo wa Sulemani 8 >

1 Ninatamani ungekua kama kaka yangu, aliye nyonya ziwa la mama yangu. Ili kwamba kila ningekuona nje ningekubusu pasipo mtu kunidharau.
U long nim nang te a nu rhangsuk dongkah ka manuca cahni bangla n'khueh lah sue. Nang te poeng ah kam hmuh tih namah kam mok akhaw kai he n'hnoelrhoeng pawt sue.
2 Nitakuongoza na kukuleta kwenye nyumba ya mama yangu, na utanifundisha. Nitakupa mvinyo ulio chachwa unywe na baadhi ya jwisi ya komamanga. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
Namah te kan hmaithawn vetih nang te kai aka tukkil a nu im la kang khuen lah mako. Nang te kamah kah tale thingtui, anhoi misur kan tul sue.
3 Mkono wake wa kushoto uko chini ya kichwa changu na mkono wake wa kulia wanikumbatia. Mwanamke akiongea na wanawake wengine
A banvoei kut te ka lu hmuiah om saeh lamtah a bantang kut loh kai n'kop saeh.
4 Ninataka muape, mabinti wa wanaume wa Yerusalemu, kuwa hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Wanawake wa Yerusalemu wakizungumza
Jerusalem nu rhoek, nangmih te kan caeng, lungnah te a ngaih hlan ah balae tih na haenghang eh, balae tih na haenghang eh?
5 Ni nani huyu anaye kuja kutoka nyikani, amemuegemea mpenzi wake? Mwanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake nimekuamsha chini ya mti wa mpera; pale mama yako alichukua mimba; pale alikuzaa, alijifungua wewe.
Khosoek lamloh cet tih amah hlo dongah aka hangdang he unim? Thaihthawn hmui ah nang kang haeng tih te ah te na nu nang n'laikoi. Nang n'laikoi nah ah pahoi n'cun.
6 Nieka kama muhuri kwenye moyo wako, kama muhuri kwenye mkono wako, kwa kuwa mapenzi yana nguvu kama mauti. Mapenzi mazito hayana kurudi kama kwenda kuzimu; miale yake yalipuka; ni miale ya moto inayo waka, miale yenye joto kuliko moto wowote. (Sheol h7585)
Kai he na lungbuei ah kutbuen bangla, na ban dongah kutbuen bangla n'khueh lah. Lungnah dueknah bangla tlung tih thatlainah khaw saelkhui bangla mangkhak. A hmaino tah hmairhong hmai kah hmaino bangla om. (Sheol h7585)
7 Maji yalio zuka hayawezi kuzimisha upendo, wala mafuriko hayawezi kuondoa. Mwanaume akitoa mali zake zote kwa ajili ya upendo, ukarimu wake utadharauliwa. Kaka zake mwanamke mdogo wakizungumza wenyewe
Lungnah he tui yet loh thih hamla noeng pawt tih tuiva loh a yo moenih. Hlang loh a im kah boeirhaeng boeih te lungnah ham pae cakhaw amah te a hnoelrhoeng lam ni a hnoelrhoeng uh eh.
8 Tuna dada mdogo, na matiti yake bado hayajakua. Nini tutamfanyia dada yetu siku hatakayo ahidiwa kuolewa?
Mah taengkah ngannu tah noe pueng tih anih te rhangsuk om hlan. Anih te a thui khohnin vaengah mah ngannu ham balae n'saii eh?
9 Kama ni ukuta, tutamjengea juu yake mnara wa fedha. Kama ni mlango, tutampamba kwa mbao za mierezi. Mwanamke mdogo akizungumza peke yake
Anih te vongtung koinih a soah cak lumim n'sak sui tih anih te thohkhaih koinih a taengah lamphai thingphael n'dan pah sue.
10 Nilikuwa ukuta, lakini matiti yangu sasa ni kama nguzo imara; hivyo nimekomaa machoni pake. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
Kamah he vongtung tih ka rhangsuk he rhaltoengim bangla om. Te dongah a mikhmuh ah tah rhoepnah ka hmu la ka om.
11 Sulemani alikuwa na shamba la mizabibu huko Baali Hamoni. Aliwakodishia wao ambao watalitunza. Kila mmoja alipaswa kuleta shekeli elfu moja za fedha kwa matunda yake.
Baalhamon ah Solomon kah misurdum om. Misurdum te lo hung taengla a paek. A thaih la hlang loh cak thawngkhat a khuen pah.
12 Shamba langu ka mzabibu ni langu, shekeli elfu moja ni za kwako, Sulemani mpenzi, na shekeli mia mbili ni za wale wanao tunza matunda yake. Mpenzi wa mwanamke akizungumza naye.
Kamah kah ka misurdum tah kamah mikhmuh ah om. Solomon nang ham thawngkhat saeh lamtah a thaih aka hung rhoek ham te yahnih saeh.
13 Wewe unaye ishi katika bustani, marafiki zangu wanasikiliza sauti yako; acha na mimi niweanaye isikia pia. Mwanamke mdogo akiongea na mpenzi wake
Dum ah aka om mah hui rhoek loh na ol a hnatung bangla kai khaw n'yaak sak lah.
14 Harakisha, mpenzi wangu, na uwe kama paa au mtoto wa paa kwenye milima ya manukato.
Kamah hlo oe yong laeh oe. Namah loh botui tlang ah rhangrhaeh ca neh kirhang khaw puet laeh oe.

< Wimbo wa Sulemani 8 >