< Wimbo wa Sulemani 7 >

1 Jinsi gani miguu yako ilivyo yaonekana mizuri kwenye viatu, binti wa mfalme! Mapaja yako ni kama mikufu, kama kazi ya mjenzi.
Mily szépek a te lábaid a sarukban, nemesnek leánya te; csipőid fordulatai mint ékszerek, művész kezeinek munkája.
2 Kitovu chako ni kama duara la bakuli; kamwe kisikose mchanganyiko wa mvinyo. Tumbo lako ni kama ngano iliyo umuka na kuzungushiwa nyinyoro.
Köldököd mint a kerek medencze- ne legyen hiján a kész italnak; hasad buzahalmaz, bekeritve liliomokkal.
3 Maziwa yako mawili ni kama watoto wawili wa ayala, mapacha wa ayala.
Két emlőd mint két gida, szarvasünőnek ikrei;
4 Shingo yako ni kama mnara wa pembe; macho yako ni kama maziwa ya Heshiboni kwenye lango la Bathi Rabimu. Pua yako ni kama mnara wa Lebanoni ambao watazama Damasko.
nyakad mint elefántcsont-torony, szemeid ama tavak Chesbónban, a népes város kapuja mellett; orrod mint a Libánon tornya, mely Damaszkus felé tekint.
5 Kichwa chako ni kama Karmeli; nywele kichwani mwako ni za zambarau nyeusi. Mfalme amestaajabishwa na vifundo vyake vya nywele.
Fejed te rajtad mint a Karmel, s fejed hajzata olyan, mint a bíbor: király, megkötve fürtökben.
6 Jinsi gani ulivyo mzuri na wakupendeza, mpenzi, na mazuri yako.
Mily szép vagy és mily kedves vagy, szerelem, a gyönyörüségekben!
7 Urefu wako ni wa kama mti wa mtende, na maziwa yako kama vifungu vya matunda.
Ez a te termeted hasonlít a pálmához és emlőid szőlőfürtökhöz;
8 Niliwaza, “Ninataka kuupanda huo mti wa mtende; nitashika matawi yake.” Maziwa yako nayawe kama vifungu vya mizabibu, na harufu ya pua yako yawe kama mapera.
azt mondtam: hadd megyek föl a pálmára, megragadom galyait; s legyenek a te emlőid mint szőlőtőnek fürtjei és orrod illata, mint az almáké,
9 Mdomo wako na uwe kama mvinyo bora, ukishuka taratibu kwa mpenzi wangu, ukiteleza kwenye midomo yetu na meno. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
és ínyed mint a jó bor – mely símán folyik barátomnak, megszólaltatja az alvók ajkait.
10 Mimi ni wa mpenzi wangu, na ananitamani.
Én barátomé vagyok s hozzám van vágyakozása.
11 Njoo, mpenzi wangu, twende nje ya mji; tu lala usiku kwenye vijiji.
Jer, barátom, menjünk ki a mezőre, háljunk meg a falvakon;
12 Tuamke mapema twende kwenye mashamba ya mizabibu; tuone kama mizabibu imemea, kama imechipua, na kama mikomamanga imetoa mau. Pale nitakupa penzi langu.
korán induljunk a szőlőkbe, lássuk, vajon kivirult-e a szőlőtő, megnyílt-e a szőlővirág, kivirágoztak-e a gránátfák: ott adom neked szerelmemet.
13 Mitunguja ya toa harufu yake; katika mlango wa tunapoishi kuna kila aina ya matunda, mpya na ya kale, niliyo kuhifadhia, mpenzi wangu.
A nadragulyák illatot adnak és ajtóink mellett mindenféle drága gyümölcsök, újak is, régiek is: számodra, barátom, tettem el.

< Wimbo wa Sulemani 7 >