< Wimbo wa Sulemani 6 >

1 Mpenzi wako ameenda wapi, ulio mzuri miongoni mwa wanawake? Kwa njia gani mpenzi wako ameenda? ilitumtafute nawe? Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
ای زیباترین زنان، محبوب تو کجا رفته است؟ بگو تا با هم برویم و او را پیدا کنیم.
2 Mpenzi wangu ameenda katika bustani yake, kwenye vitanda vya manukato, kwenda kula katika bustani na kukusanya nyinyoro.
محبوب من به باغ خود نزد درختان معطر بلسان رفته است، تا گله‌اش را بچراند و سوسنها بچیند.
3 Mimi ni wa mpenzi wangu, na mpenzi wangu ni wangu; na kula katika nyinyoro kwa raha. Mpenzi wa mwanamke akizungumza naye
من از آن محبوب خود هستم و محبوبم از آن من است. او گلهٔ خود را در میان سوسنها می‌چراند.
4 Wewe ni mzuri kama Tirza, mpenzi wangu, wapendeza kama Yerusalemu, waamasisha kama jeshi lenye bendera mbele.
ای محبوبهٔ من، تو همچون سرزمین تِرصه دلربا هستی. تو مانند اورشلیم، زیبا، و همچون لشکری آراسته برای جنگ، پرشکوه هستی.
5 Geuza macho yako mbali na mimi, kwa kuwa yana nizidi ukali. Nywele zako ni kama kundi la mbuzi likishuka chini kutoka miteremko ya Mlima Gileadi.
نگاهت را از من برگردان، زیرا چشمانت بر من غالب آمده‌اند. گیسوان مواج تو مانند گلهٔ بزهایی است که از کوه جلعاد سرازیر می‌شوند.
6 Meno yako ni kama kundi la kondoo likishuka kutoka sehemu ya kuoshwa. Kila mmoja anapacha, na hamna ata mmoja aliyefiwa.
دندانهای تو به سفیدی گوسفندانی هستند که به تازگی شسته شده باشند؛ هر کدام جفت خود را دارد و هیچ‌کدام تنها نیست.
7 Mashavu yako ni kama majani ya komamanga nyuma ya kitambaa chako cha uso. Mpenzi wa mwanamke akizungumza peke yake
گونه‌هایت از پشت روبند تو همانند دو نیمهٔ انار است.
8 Kuna malikia sitini, masuria themanini, na wanawake wadogo bila idadi.
در میان شصت ملکه و هشتاد کنیز و هزاران دوشیزه، کسی را مانند کبوتر خود بی‌عیب نیافتم. او عزیز و یگانهٔ مادرش است. دوشیزگان وقتی او را می‌بینند تحسینش می‌کنند و ملکه‌ها و کنیزان او را می‌ستایند.
9 Hua wangu, asiye na doa wangu, ni yeye pekee; ni binti muhimu wa mama yake; ndiye kipenzi cha mwanamke aliye mzaa. Mabinti wa wenzengu wamemuona na kumuita mbarikiwa; wamalikia na masuria walimuona pia, na wakamsifu: Kile walicho sema wamalikia na masuria
10 “Ni nani huyo anaye jitokeza kama kukicha, mzuri kama mwezi, ana ng'aa kama jua, uamasisha kama bendera ya jeshi?” Mpenzi wa mwanamke akizungumza mwenyewe
«این کیست که مثل سپیدهٔ صبح می‌درخشد و چون ماه زیبا و مثل آفتاب پاک و مانند ستارگان پرشکوه است؟»
11 Nimeenda kwenye kichaka cha miti ya milozi kuona mimea midogo ikikua bondeni, kuona kama mizabibu imechipua, na kama mikomamanga imestawi.
من به میان درختان گردو رفتم تا دره‌های سرسبز و برگهای تازهٔ تاکها و شکوفه‌های درختان انار را تماشا کنم.
12 Nilikuwa nina furaha nikahisi kama nimepakia gari ya farasi la mtoto wa mfalme. Mpenzi wa mwanamke akizungumza naye
اما نفهمیدم چگونه به آنجا رسیدم، زیرا اشتیاقم مرا چون کسی که بر ارابهٔ شاهزادگان سوار است به پیش می‌راند.
13 Geuka nyuma, geuka nyuma, wewe mwanamke mkamilifu; geuka nyuma, geuka nyuma iliniweze kukushangaa. Mwanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake Kwanini wanishangaa, mwanamke mkamilifu, kana kwamba nina cheza katika ya mistari miwili ya wachezaji?
برگرد، ای دختر شولَمّی برگرد. برگرد تا تو را تماشا کنیم. محبوبه چرا می‌خواهید مرا تماشا کنید چنانکه گویی رقص محنایم را تماشا می‌کنید؟

< Wimbo wa Sulemani 6 >