< Wimbo wa Sulemani 6 >

1 Mpenzi wako ameenda wapi, ulio mzuri miongoni mwa wanawake? Kwa njia gani mpenzi wako ameenda? ilitumtafute nawe? Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
Kurp tavs draugs ir nogājis, tu visu skaistākā starp sievām? Uz kuru pusi tavs draugs ir griezies, ka mēs līdz ar tevi viņu meklējam.
2 Mpenzi wangu ameenda katika bustani yake, kwenye vitanda vya manukato, kwenda kula katika bustani na kukusanya nyinyoro.
Mans draugs ir nogājis savā dārzā, pie tām smaržīgām dobēm, pa dārzu pastaigāties un lilijas lasīt.
3 Mimi ni wa mpenzi wangu, na mpenzi wangu ni wangu; na kula katika nyinyoro kwa raha. Mpenzi wa mwanamke akizungumza naye
Mans draugs ir mans un es esmu viņa, kas starp lilijām gana.
4 Wewe ni mzuri kama Tirza, mpenzi wangu, wapendeza kama Yerusalemu, waamasisha kama jeshi lenye bendera mbele.
Tu esi skaista, mana draudzene, tā kā Tirca, mīlīga kā Jeruzāleme, briesmīga kā kara spēki ar karogiem.
5 Geuza macho yako mbali na mimi, kwa kuwa yana nizidi ukali. Nywele zako ni kama kundi la mbuzi likishuka chini kutoka miteremko ya Mlima Gileadi.
Nogriez savas acis no manis, jo tās mani pārvarējušas. Tavi mati ir kā kazu pulks, kas guļ uz Gileād kalna.
6 Meno yako ni kama kundi la kondoo likishuka kutoka sehemu ya kuoshwa. Kila mmoja anapacha, na hamna ata mmoja aliyefiwa.
Tavi zobi ir kā avju pulks, kas nāk no peldēšanas, kas visas dvīņus vedās, un neviena starp viņām nav neauglīga.
7 Mashavu yako ni kama majani ya komamanga nyuma ya kitambaa chako cha uso. Mpenzi wa mwanamke akizungumza peke yake
Tavi vaigi ir kā granātābola puses aiz tava galvas apsega.
8 Kuna malikia sitini, masuria themanini, na wanawake wadogo bila idadi.
Sešdesmit ir ķēniņienes un astoņdesmit liekas sievas un tas jaunavu pulks nav izskaitāms.
9 Hua wangu, asiye na doa wangu, ni yeye pekee; ni binti muhimu wa mama yake; ndiye kipenzi cha mwanamke aliye mzaa. Mabinti wa wenzengu wamemuona na kumuita mbarikiwa; wamalikia na masuria walimuona pia, na wakamsifu: Kile walicho sema wamalikia na masuria
Bet viena vienīga ir mans balodis, mana sirds skaidrā, tā vienīgā savai mātei, tā mīļākā savai dzemdētājai. Kad tās meitas viņu redz, tad tās viņu teic, ķēniņienes un liekās sievas viņu slavē.
10 “Ni nani huyo anaye jitokeza kama kukicha, mzuri kama mwezi, ana ng'aa kama jua, uamasisha kama bendera ya jeshi?” Mpenzi wa mwanamke akizungumza mwenyewe
Kas tā tāda, kas spīd kā auseklis, skaista kā mēnesis, skaidra kā saule, briesmīga kā karaspēki ar karogiem?
11 Nimeenda kwenye kichaka cha miti ya milozi kuona mimea midogo ikikua bondeni, kuona kama mizabibu imechipua, na kama mikomamanga imestawi.
Es nogāju riekstu dārzā, redzēt zaļos augļus pie upes, un lūkot, vai vīna koks zied un granātu koki plaukst.
12 Nilikuwa nina furaha nikahisi kama nimepakia gari ya farasi la mtoto wa mfalme. Mpenzi wa mwanamke akizungumza naye
Es nesajutu, ka mana dvēsele mani bija pacēlusi uz manas slavētās tautas goda ratiem.
13 Geuka nyuma, geuka nyuma, wewe mwanamke mkamilifu; geuka nyuma, geuka nyuma iliniweze kukushangaa. Mwanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake Kwanini wanishangaa, mwanamke mkamilifu, kana kwamba nina cheza katika ya mistari miwili ya wachezaji?
Atgriezies, atgriezies, ak Sulamite! Atgriezies, atgriezies, ka mēs tevi varam skatīt. Ko jūs redzat pie Sulamites? Kā diešanu pie Mahānaīma.

< Wimbo wa Sulemani 6 >