< Wimbo wa Sulemani 6 >
1 Mpenzi wako ameenda wapi, ulio mzuri miongoni mwa wanawake? Kwa njia gani mpenzi wako ameenda? ilitumtafute nawe? Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
Kuhunka ystäväs on mennyt, o sinä kaikkein kaunein vaimoin seassa! kuhunka ystäväs on kääntänyt itsensä? Me etsimme häntä sinun kanssas.
2 Mpenzi wangu ameenda katika bustani yake, kwenye vitanda vya manukato, kwenda kula katika bustani na kukusanya nyinyoro.
Minun ystäväni on mennyt kryytimaahansa, yrttisarkoihinsa, että hän siellä kryytimaassa kaitsis laumaansa, ja hakis ruusuja.
3 Mimi ni wa mpenzi wangu, na mpenzi wangu ni wangu; na kula katika nyinyoro kwa raha. Mpenzi wa mwanamke akizungumza naye
Minun ystäväni on minun ja minä olen hänen, joka kaitsee kukkasten keskellä.
4 Wewe ni mzuri kama Tirza, mpenzi wangu, wapendeza kama Yerusalemu, waamasisha kama jeshi lenye bendera mbele.
Sinä olet ihana, minun kultani, niinkuin Tirtsa, kaunis niinkuin Jerusalem, peljättävä niinkuin sotajoukko.
5 Geuza macho yako mbali na mimi, kwa kuwa yana nizidi ukali. Nywele zako ni kama kundi la mbuzi likishuka chini kutoka miteremko ya Mlima Gileadi.
Käännä silmäs pois minusta; sillä ne minun sytyttävät; sinun hiukses ovat niinkuin vuohilauma, jotka Gileadin vuorella kerityt ovat.
6 Meno yako ni kama kundi la kondoo likishuka kutoka sehemu ya kuoshwa. Kila mmoja anapacha, na hamna ata mmoja aliyefiwa.
Sinun hampas ovat niinkuin lammaslauma, jotka pesosta nousevat, ja kaikki kaksoisia kantavat, ja ei yksikään ole heistä hedelmätöin.
7 Mashavu yako ni kama majani ya komamanga nyuma ya kitambaa chako cha uso. Mpenzi wa mwanamke akizungumza peke yake
Sinun kasvos ovat niinkuin granatomenan lohkot sinun palmikkois välillä.
8 Kuna malikia sitini, masuria themanini, na wanawake wadogo bila idadi.
Kuusikymmentä on drottninkia ja kahdeksankymmentä vaimoa, ja neitseet ovat epälukuiset;
9 Hua wangu, asiye na doa wangu, ni yeye pekee; ni binti muhimu wa mama yake; ndiye kipenzi cha mwanamke aliye mzaa. Mabinti wa wenzengu wamemuona na kumuita mbarikiwa; wamalikia na masuria walimuona pia, na wakamsifu: Kile walicho sema wamalikia na masuria
Mutta yksi on minun kyhkyläiseni ja minun täydelliseni; yksi on äitinsä rakkain ja synnyttäjänsä valittu: koska tyttäret hänen näkivät, ylistivät he hänen autuaaksi, kuningattaret ja vaimot ylistivät häntä.
10 “Ni nani huyo anaye jitokeza kama kukicha, mzuri kama mwezi, ana ng'aa kama jua, uamasisha kama bendera ya jeshi?” Mpenzi wa mwanamke akizungumza mwenyewe
Kuka on tämä, joka nähdään niinkuin aamurusko, ihana niinkuin kuu, valittu niinkuin aurinko, peljättävä niinkuin sotajoukko?
11 Nimeenda kwenye kichaka cha miti ya milozi kuona mimea midogo ikikua bondeni, kuona kama mizabibu imechipua, na kama mikomamanga imestawi.
Minä olen mennyt alas yrttitarhaani, katsomaan vesoja ojan reunalla, kurkistelemaan, jos viinapuut kukoistivat, jos granatomenat viheriöitsivät.
12 Nilikuwa nina furaha nikahisi kama nimepakia gari ya farasi la mtoto wa mfalme. Mpenzi wa mwanamke akizungumza naye
En minä tiennyt, että minun sieluni minun hamaan minun mieluisen kansani vaunuihin asti asettanut oli.
13 Geuka nyuma, geuka nyuma, wewe mwanamke mkamilifu; geuka nyuma, geuka nyuma iliniweze kukushangaa. Mwanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake Kwanini wanishangaa, mwanamke mkamilifu, kana kwamba nina cheza katika ya mistari miwili ya wachezaji?
Palaja, palaja Sulamit: palaja, palaja nähdäksemme sinua. Mitä te näitte Sulamitissa, paitsi sotajoukkoin tanssia?