< Wimbo wa Sulemani 5 >
1 Nimekuja katika bustani yangu, dada yangu, bibi arusi wangu; Nimekusanya udi wangu na manukato yangu. Nimekula mziga wangu wa asali na asali yangu; Nimekunywa mvinyo wangu pamoja na maziwa yangu. Marafiki wanazungumza na wapenzi Kuleni, marafiki; kunyweni na mlewe na mapenzi. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
I have come to garden my O sister my bride I have gathered myrrh my with spice my I have eaten honeycomb my with honey my I have drunk wine my with milk my eat O friends drink and become drunk O lovers.
2 Nilikuwa nimelala, lakini moyo wangu ulikuwa umeamka katika ndoto. Sauti ya mpenzi wangu yabisha na kusema, “Nifungulie, dada yangu, mpenzi wangu, hua wangu, wangu usiye na doa, kwa kuwa kichwa changu kimelowa na matone, nywele zangu na unyevu wa usiku.”
I [was] sleeping and heart my [was] awake [the] sound of - lover my knocking open to me O sister my friend my dove my perfect [one] my that head my [is] filled dew locks my dewdrops of night.
3 “Nimevua joho langu; lazima nilivae tena? Nimeosha miguu yangu; lazima ni ichafue?”
I have taken off tunic my how? will I put on it I have washed feet my how? will I dirty them.
4 Mpenzi wangu anaeka mkono wake kwenye kitasa, na moyo wangu ukawaka kwa ajili yake.
Lover my he sent hand his from the hole and inward parts my they were turbulent on him.
5 Nimeamka kumfungulia mlango mpenzi wangu; mikono yangu ikawa yamiminika na udi, vidole vyangu na unyevu wa udi, katika komeo la mlango.
I arose I to open to lover my and hands my they dripped myrrh and fingers my myrrh flowing on [the] handles of the bolt.
6 Nimemfungulia mlango mpenzi wangu, lakini mpenzi wangu aligeuka na kwenda. Moyo wangu ukadidimia; nikakosa tumaini. Nikamtafuta, lakini sikumpata; nikamuita, lakini hakunijibu.
I opened I to lover my and lover my he had turned away he had passed away being my it went out when turned aside he I sought him and not I found him I called him and not he answered me.
7 Walinzi waliokuwa wakizunguka mjini walinipata mimi; walinipiga chini na kunijeruhi; askari katika ukuta walichukua nguo yangu ya juu. Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa mji
They found me the watchmen who go around in the city they struck me they bruised me they lifted garment my from on me [the] watchmen of the walls.
8 Ninataka uhaidi, mabinti wa Yerusalemu, kwamba mkimuona mpenzi wangu, mwambie ninaumwa sababu ya upendo wangu kwake. Wanawake wa mji wakizungumza na mwanamke mdogo
I adjure you O daughters of Jerusalem if you will find lover my what? will you tell to him that [am] weak of love I.
9 Mpenzi wako ana ubora gani kuliko mwanaume mwengine, wewe uliye mzuri miongoni mwa wanawake? Kwanini mpenzi wako bora kuliko mpenzi mwengine, hadi utuulize tuweke nadhiri kama hii? Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa mji
How [is]? lover your more than a lover O beautiful [one] among women how? [is] lover your more than a lover that thus you have adjured us.
10 Mpenzi wangu amenawiri na ana ng'aa, kati ya wanaume elfu kumi.
Lover my [is] dazzling and ruddy [is] conspicuous more than ten thousand.
11 Kichwa chake ni dhahabu safi; nywele zake ni laini na nyeusi kama kunguru.
Head his [is] gold of pure gold locks his [are] curls black like raven.
12 Macho yake ni kama ya hua pembezoni ya vijito vya maji, yameoshwa na maziwa, yameundwa kama mikufu.
Eyes his [are] like doves at channels of water washing in milk sitting on fullness.
13 Mashavu yake ni kama vitanda vya manukato, vinavyotoa arufu ya marashi. Midomo yake nni nyinyoro, inayo tiririka udi.
Cheeks his [are] like [the] bed of spice towers of aromatic herbs lips his [are] lilies dripping myrrh flowing.
14 Mikono yake ni ya mianzi ya dhahabu iliyo zungushiwa mikufu; tumbo lake ni pembe lililo funikwa yakuti samawi.
Hands his [are] rods of gold filled with chrysolite lower parts his [are] a plate of ivory covered sapphires.
15 Miguu yake ni nguzo za marimari, iliyo ekwa juu ya dhahabu safi; muonekano wake ni kama Lebanoni, mizuri kama mierezi.
Legs his [are] pillars of marble founded on bases of pure gold appearance his [is] like Lebanon chosen like cedars.
16 Mdomo wake ni mtamu; ni mzuri sana. Huyu ni mpenzi wangu, na huyu ni rafiki yangu, mabinti wa Yerusalemu.
Mouth his [is] sweetness and all of him [is] desirableness this [is] lover my and this [is] friend my O daughters of Jerusalem.