< Wimbo wa Sulemani 3 >

1 Usiku katika kitanda changu nilikuwa na shauku ya yeye ni mpendaye; nilimtafuta, lakini sikumpata.
Na swoim łożu wśród nocy szukałam tego, którego miłuje moja dusza. Szukałam go, ale go nie znalazłam.
2 Nilisema binafsi, “Nitainuka na kwenda kupitia mji, kupitia mitaa na sokoni; nitamtafuta.” Nilimtafuta, lakini sikumpata.
Wstanę więc już i obiegnę miasto, po ulicach i placach będę szukać tego, którego miłuje moja dusza. Szukałam go, ale nie znalazłam.
3 Walinzi walinipata walipo kuwa doria katika mji. Nikawauliza, “Mmemuona mpenzi wangu?”
Znaleźli mnie strażnicy, którzy obchodzili miasto, i [spytałam]: Widzieliście tego, którego miłuje moja dusza?
4 Ni baada ya mda mfupi kupita nilipo wapita nikampata ninaye mpenda. Nilimshika na sikumuacha hadi nilipo mleta nyumbani mwa mama yangu, katika chumba cha yeye aliyenichukua mimba. Mwanamke akiongea na wanawake wengine.
A gdy ledwie od nich odeszłam, zaraz znalazłam tego, którego miłuje moja dusza. Uchwyciłam go i nie puszczę, aż go wprowadzę do domu mojej matki, do pokoju mojej rodzicielki.
5 Ninataka muape, mabinti wa wanaume waYerusalemu, kwa ayala na paa wa porini, kuwa hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
Zaklinam was, córki Jerozolimy, na sarny i łanie polne: Nie budźcie mego umiłowanego i nie przerywajcie [jego] snu, dopóki nie zechce.
6 Nini hiyo inayo toka nyikani kama nguzo za moshi, umefukizwa manemane na ubani, pamoja na unga wote wa manukato unao uzwa na wafanya biashara?
Kim jest ta, która wyłania się z pustyni jak słupy dymu, owiana wonią mirry i kadzidła oraz wszelkim wonnym proszkiem od kupca?
7 Angalia, nikitanda cha Sulemani; mashujaa sitini wamekizunguka, wanajeshi elfu sitini wa Israeli
Oto łoże Salomona, dokoła którego [stoi] sześćdziesięciu dzielnych wojowników spośród dzielnych Izraela.
8 Wao ni wazoefu wa upanga na wanaujuzi wa vita. Kila mwanaume ana upanga wake pembeni yake, akijizatiti na maasi ya usiku.
Wszyscy trzymają miecz, wyćwiczeni w boju. Każdy z nich ma swój miecz u boku przez wzgląd na strach nocny.
9 Mfalme Sulemani akajijengea kiti cha kifalme cha kubebwa na mbao za Lebanoni.
Król Salomon uczynił sobie lektykę z drzewa Libanu.
10 Nguzo zake zilijengwa kwa fedha; nyuma kuliekwa dhahabu, na kiti kitambaa cha zambarau. Ndani mwake kulipambwa na upendo na mabinti wa wanaume wa Yerusalemu. Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa Yerusalemu
Jej słupki uczynił ze srebra, jej pokład ze złota, podniebienie z purpury, a wnętrze wyścielone miłością córek Jerozolimy.
11 Nenda nje, mabinti wa wanaume wa Sayuni, na mtazame mfalme Sulemani, akivikwa taji ambalo mamaye alimvika siku ya arusi yake, katika siku ya furaha ya maisha yake.
Wyjdźcie, córki Syjonu, i popatrzcie na króla Salomona w koronie, którą ukoronowała go jego matka w dniu jego zaręczyn i w dniu radości jego serca.

< Wimbo wa Sulemani 3 >