< Wimbo wa Sulemani 3 >

1 Usiku katika kitanda changu nilikuwa na shauku ya yeye ni mpendaye; nilimtafuta, lakini sikumpata.
Naktī savā gultā es meklēju to, ko mana dvēsele mīl; es meklēju, bet viņu neatradu.
2 Nilisema binafsi, “Nitainuka na kwenda kupitia mji, kupitia mitaa na sokoni; nitamtafuta.” Nilimtafuta, lakini sikumpata.
Es celšos jel un iešu pilsētā apkārt pa gatvēm un ielām; es meklēšu to, ko mana dvēsele mīl. Es meklēju, bet viņu neatradu.
3 Walinzi walinipata walipo kuwa doria katika mji. Nikawauliza, “Mmemuona mpenzi wangu?”
Sargi mani atrada, kas pilsētā iet apkārt: vai jūs neesat redzējuši to, ko mana dvēsele mīl?
4 Ni baada ya mda mfupi kupita nilipo wapita nikampata ninaye mpenda. Nilimshika na sikumuacha hadi nilipo mleta nyumbani mwa mama yangu, katika chumba cha yeye aliyenichukua mimba. Mwanamke akiongea na wanawake wengine.
Kad es maķenīt tiem biju pagājusi garām, tad es atradu to, ko mana dvēsele mīl; es viņu turu un to neatlaidīšu, kamēr es viņu vedīšu savas mātes namā, savas dzemdētājas kambarī.
5 Ninataka muape, mabinti wa wanaume waYerusalemu, kwa ayala na paa wa porini, kuwa hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
Es jūs mīļi lūdzu, jūs Jeruzālemes meitas, pie tām stirnām un kalnu kazām, neuztraucat un nemodinājat mīlestību, kamēr tai pašai patīk.
6 Nini hiyo inayo toka nyikani kama nguzo za moshi, umefukizwa manemane na ubani, pamoja na unga wote wa manukato unao uzwa na wafanya biashara?
Kas ir šī, kas no tuksneša nāk kā dūmu stabs, apkvēpināta ar mirrēm un vīraku, ar visādām veikalnieku zālēm?
7 Angalia, nikitanda cha Sulemani; mashujaa sitini wamekizunguka, wanajeshi elfu sitini wa Israeli
Redzi, ap Salamana krēslu apkārt ir sešdesmit varoņi no Israēla varoņiem.
8 Wao ni wazoefu wa upanga na wanaujuzi wa vita. Kila mwanaume ana upanga wake pembeni yake, akijizatiti na maasi ya usiku.
Tie visi tur zobenus, mācīti karot; ikkatram savs zobens pie gurniem pret nakts bailēm.
9 Mfalme Sulemani akajijengea kiti cha kifalme cha kubebwa na mbao za Lebanoni.
Ķēniņš Salamans sev licis taisīt nesamu krēslu no Lībanus kokiem.
10 Nguzo zake zilijengwa kwa fedha; nyuma kuliekwa dhahabu, na kiti kitambaa cha zambarau. Ndani mwake kulipambwa na upendo na mabinti wa wanaume wa Yerusalemu. Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa Yerusalemu
Viņa stabus viņš taisīja no sudraba, to lēni no zelta, to sēdekli no purpura, viņa iekšpuse bija izpušķota no Jeruzālemes meitu mīlestības.
11 Nenda nje, mabinti wa wanaume wa Sayuni, na mtazame mfalme Sulemani, akivikwa taji ambalo mamaye alimvika siku ya arusi yake, katika siku ya furaha ya maisha yake.
Ejat ārā un uzlūkojiet, Ciānas meitas, ķēniņu Salamanu ar to kroni, ar ko viņa māte to kronēja viņa kāzu dienā un viņa sirds līksmības dienā.

< Wimbo wa Sulemani 3 >