< Wimbo wa Sulemani 3 >
1 Usiku katika kitanda changu nilikuwa na shauku ya yeye ni mpendaye; nilimtafuta, lakini sikumpata.
La nuit, sur mon lit, J'ai cherché celui que mon âme aime. Je l'ai cherché, mais je ne l'ai pas trouvé.
2 Nilisema binafsi, “Nitainuka na kwenda kupitia mji, kupitia mitaa na sokoni; nitamtafuta.” Nilimtafuta, lakini sikumpata.
Je vais me lever maintenant, et parcourir la ville; dans les rues et sur les places, je chercherai celui que mon âme aime. Je l'ai cherché, mais je ne l'ai pas trouvé.
3 Walinzi walinipata walipo kuwa doria katika mji. Nikawauliza, “Mmemuona mpenzi wangu?”
Les gardes qui parcourent la ville m'ont trouvé; « Avez-vous vu celui que mon âme aime? »
4 Ni baada ya mda mfupi kupita nilipo wapita nikampata ninaye mpenda. Nilimshika na sikumuacha hadi nilipo mleta nyumbani mwa mama yangu, katika chumba cha yeye aliyenichukua mimba. Mwanamke akiongea na wanawake wengine.
Je les avais à peine quittés, quand j'ai trouvé celui que mon âme aime. Je l'ai tenu dans mes bras, et je ne voulais pas le laisser partir, jusqu'à ce que je l'amène dans la maison de ma mère, dans la chambre de celle qui m'a conçu.
5 Ninataka muape, mabinti wa wanaume waYerusalemu, kwa ayala na paa wa porini, kuwa hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
Je vous adjure, filles de Jérusalem, par les chevreuils, ou par les biches des champs, de ne pas susciter ni réveiller l'amour, jusqu'à ce qu'il le souhaite.
6 Nini hiyo inayo toka nyikani kama nguzo za moshi, umefukizwa manemane na ubani, pamoja na unga wote wa manukato unao uzwa na wafanya biashara?
Qui est celui qui monte du désert comme des colonnes de fumée, parfumée à la myrrhe et à l'encens, avec toutes les épices du marchand?
7 Angalia, nikitanda cha Sulemani; mashujaa sitini wamekizunguka, wanajeshi elfu sitini wa Israeli
Voici le carrosse de Salomon! Soixante hommes puissants l'entourent, des hommes forts d'Israël.
8 Wao ni wazoefu wa upanga na wanaujuzi wa vita. Kila mwanaume ana upanga wake pembeni yake, akijizatiti na maasi ya usiku.
Ils manient tous l'épée, et sont experts en guerre. Chaque homme a son épée sur sa cuisse, à cause de la peur dans la nuit.
9 Mfalme Sulemani akajijengea kiti cha kifalme cha kubebwa na mbao za Lebanoni.
Le roi Salomon s'est fait une voiture du bois du Liban.
10 Nguzo zake zilijengwa kwa fedha; nyuma kuliekwa dhahabu, na kiti kitambaa cha zambarau. Ndani mwake kulipambwa na upendo na mabinti wa wanaume wa Yerusalemu. Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa Yerusalemu
Il a fait ses piliers en argent, son fond d'or, son siège de pourpre, le milieu de celui-ci étant pavé d'amour, des filles de Jérusalem.
11 Nenda nje, mabinti wa wanaume wa Sayuni, na mtazame mfalme Sulemani, akivikwa taji ambalo mamaye alimvika siku ya arusi yake, katika siku ya furaha ya maisha yake.
Sortez, filles de Sion, et allez voir le roi Salomon, avec la couronne dont sa mère l'a couronné, le jour de ses noces, au jour de l'allégresse de son cœur.