< Wimbo wa Sulemani 3 >
1 Usiku katika kitanda changu nilikuwa na shauku ya yeye ni mpendaye; nilimtafuta, lakini sikumpata.
Po ležaju svome, u noćima, tražila sam onoga koga ljubi duša moja, tražila sam ga, ali ga nisam našla.
2 Nilisema binafsi, “Nitainuka na kwenda kupitia mji, kupitia mitaa na sokoni; nitamtafuta.” Nilimtafuta, lakini sikumpata.
Ustat ću dakle i optrčati grad, po ulicama i trgovima tražit ću onoga koga ljubi duša moja: tražila sam ga, ali ga nisam našla.
3 Walinzi walinipata walipo kuwa doria katika mji. Nikawauliza, “Mmemuona mpenzi wangu?”
Sretoše me čuvari koji grad obilaze: “Vidjeste li onoga koga ljubi duša moja?”
4 Ni baada ya mda mfupi kupita nilipo wapita nikampata ninaye mpenda. Nilimshika na sikumuacha hadi nilipo mleta nyumbani mwa mama yangu, katika chumba cha yeye aliyenichukua mimba. Mwanamke akiongea na wanawake wengine.
Tek što pođoh od njih, nađoh onoga koga ljubi duša moja. Uhvatila sam ga i neću ga pustiti, dok ga ne uvedem u kuću majke svoje, u ložnicu roditeljke svoje.
5 Ninataka muape, mabinti wa wanaume waYerusalemu, kwa ayala na paa wa porini, kuwa hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
Zaklinjem vas, kćeri jeruzalemske, srnama i košutama poljskim, ne budite, ne budite ljubav moju dok sama ne bude htjela!
6 Nini hiyo inayo toka nyikani kama nguzo za moshi, umefukizwa manemane na ubani, pamoja na unga wote wa manukato unao uzwa na wafanya biashara?
Što se to diže iz pustinje kao stup dima iz kada smirne i tamjana i svih prašaka mirodijskih?
7 Angalia, nikitanda cha Sulemani; mashujaa sitini wamekizunguka, wanajeshi elfu sitini wa Israeli
Gle, to je nosiljka Salomonova, oko nje šezdeset kršnih momaka između najkršnijih u Izraelu.
8 Wao ni wazoefu wa upanga na wanaujuzi wa vita. Kila mwanaume ana upanga wake pembeni yake, akijizatiti na maasi ya usiku.
Svi su vični mačevima, za rat su izvježbani, svakome je sablja o boku zbog opasnosti noćnih.
9 Mfalme Sulemani akajijengea kiti cha kifalme cha kubebwa na mbao za Lebanoni.
Sebi je prijestolje načinio kralj Salomon od drveta libanskoga.
10 Nguzo zake zilijengwa kwa fedha; nyuma kuliekwa dhahabu, na kiti kitambaa cha zambarau. Ndani mwake kulipambwa na upendo na mabinti wa wanaume wa Yerusalemu. Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa Yerusalemu
Stupove je napravio od srebra, naslon od zlata, sjedište od grimiza, unutra je sve ukrašeno ljubavlju kćeri jeruzalemskih.
11 Nenda nje, mabinti wa wanaume wa Sayuni, na mtazame mfalme Sulemani, akivikwa taji ambalo mamaye alimvika siku ya arusi yake, katika siku ya furaha ya maisha yake.
Izađite, kćeri sionske, i vidite kralja Salomona pod dijademom kojim ga mati ovjenčala na dan svadbe njegove, na dan radosti njegova srca.