< Wimbo wa Sulemani 3 >
1 Usiku katika kitanda changu nilikuwa na shauku ya yeye ni mpendaye; nilimtafuta, lakini sikumpata.
През нощта на леглото си потърсих онзи, когото обича душата ми; Потърсих го, но не го намерих.
2 Nilisema binafsi, “Nitainuka na kwenda kupitia mji, kupitia mitaa na sokoni; nitamtafuta.” Nilimtafuta, lakini sikumpata.
Рекох: Ще стана сега и ще обиколя града. По улиците и по площадите, Ще търся онзи, когото обича душата ми Потърсих го, но не го намерих.
3 Walinzi walinipata walipo kuwa doria katika mji. Nikawauliza, “Mmemuona mpenzi wangu?”
Намериха ме стражарите, които обхождат града; Попитах ги: Видяхте ли онзи, когото обича душата ми?
4 Ni baada ya mda mfupi kupita nilipo wapita nikampata ninaye mpenda. Nilimshika na sikumuacha hadi nilipo mleta nyumbani mwa mama yangu, katika chumba cha yeye aliyenichukua mimba. Mwanamke akiongea na wanawake wengine.
А малко като ги отминах Намерих онзи, когото обича душата ми; Хванах го, и не го напуснах Догде го не въведох в къщата на майка си, И във вътрешната стая на оная, която ме е родила.
5 Ninataka muape, mabinti wa wanaume waYerusalemu, kwa ayala na paa wa porini, kuwa hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Mwanamke mdogo akizungumza mwenyewe
Заклевам ви, ерусалимски дъщери, В сърните и в полските елени, Да не възбудите и да не събудите любовта ми преди да пожелае.
6 Nini hiyo inayo toka nyikani kama nguzo za moshi, umefukizwa manemane na ubani, pamoja na unga wote wa manukato unao uzwa na wafanya biashara?
Коя е тая която възлиза от пустинята като стълбове дим, Накадена със смирна и ливан, с всичките благоуханни прахове от търговеца?
7 Angalia, nikitanda cha Sulemani; mashujaa sitini wamekizunguka, wanajeshi elfu sitini wa Israeli
Ето, носилката е на Соломона; Около нея са шестдесет яки мъже от Израилевите силни
8 Wao ni wazoefu wa upanga na wanaujuzi wa vita. Kila mwanaume ana upanga wake pembeni yake, akijizatiti na maasi ya usiku.
Те всички държат меч и са обучени на война; Всеки държи меча си на бедрото си поради нощни страхове.
9 Mfalme Sulemani akajijengea kiti cha kifalme cha kubebwa na mbao za Lebanoni.
Цар Соломон си направи носилка От ливанско дърво:
10 Nguzo zake zilijengwa kwa fedha; nyuma kuliekwa dhahabu, na kiti kitambaa cha zambarau. Ndani mwake kulipambwa na upendo na mabinti wa wanaume wa Yerusalemu. Mwanamke mdogo akizungumza na wanawake wa Yerusalemu
Стълбчетата й направи от сребро, Легалището й от злато, постелката й от морав плат; Средата й бе бродирана чрез любовта на ерусалимските дъщери.
11 Nenda nje, mabinti wa wanaume wa Sayuni, na mtazame mfalme Sulemani, akivikwa taji ambalo mamaye alimvika siku ya arusi yake, katika siku ya furaha ya maisha yake.
Излезте, сионови дъщери, та вижте цар Соломона С венеца, с който го венча майка му в деня на женитбата му, И в деня, когато сърцето му се веселеше.