< Wimbo wa Sulemani 2 >

1 Mimi ni ua katika tambarare, nyinyoro katika bonde. Mwanaume akizungumza naye
Nagra Saroni agupofi flaua kna nehu'na, agupofima nehagea lili flaua kna hu'noe.
2 Kama nyinyoro miongoni mwa mimba, ndivyo wewe, mpenzi wangu, miongoni mwa mabinti wengine wote. Mwanamke akizungumza mwenyewe
Mofa'neramimofo amunompina navesima negantoa mofamoka, ave'ave trazampi me'nea lili flauamofo amosregna hu'nane.
3 Kama mti wa mpera ulivyo miongoni mwa miti ya misituni, ndivyo mpenzi wangu alivyo miongoni mwa wanaume. Nina kaa chini ya kivuli chake kwa furaha sana, na tunda lake ni tamu kwa ladha yangu.
Navesima negantoa ne'moka zafaramimofo amu'nompina mareri agatere epoli zafagna hunka mago'a vene'ne amu'nompina mani'nane. Ana zafamofo tonapi mani'nena haganentake raga'a tagi'na nenoe.
4 Amenileta kwenye ukumbi wa maakuli, na bendera yake juu yangu ilikuwa upendo. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake.
Tusi neza retro hunte'nea ra nontega navareno nevuno, agu'areti'ma huno avesima nante'nea avu'avamo'a tavravereti refite nanteankna hu'ne.
5 Ni uishe kwa keki za mizabibu na kuniuisha na mapera, kwa kuwa nimedhohofika na mapenzi. Mwanamke akizungumza mwenyewe
Anante hagegema hu zafargareti'ma kre'nea bretia namige'na ne'na, hankavea eri'na mani'na nevu'na, epoli zafa raga namige'na nenavuna ha'neno. Na'ankure kagrikura tusiza hu'na navesi negante'na kria e'nerue.
6 Mkono wake wakushuto upo chini ya kichwa changu, na mkono wake wa kulia wanikumbatia. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
Hagi hoga'a azante nanuna ante harage nehugeno, tamaga azanura nanuki'ne.
7 Ninataka muhaidi, mabinti wa Yerusalemu, kwa swala na paa wa porini, kwamba hamtavuruga mapenzi yetu hadi yatakapo isha yenyewe. Mwanamke akizungumza mwenyewe.
Jerusalemi mofaneramimota gazeline afi dia afu'mo'za nentahisageta nagritera huvempa hutma tamavesi'zana ame huta eri o'otinkeno kna fatgore eno.
8 Sauti ya mpenzi wangu hiyo! O, huyu yuwaja, akiruka ruka juu milima, akiruka vilimani.
Hagi avesima nentoa ne'mo'a, agonarega ne-ege'na agasasanke'a nentahue. Takaure takaure huno agona kreneramino, vagri vagri huno ne'one agona kreramino ne-e.
9 Mpenzi wangu ni kama swala au mtoto mdogo wa paa; angalia, amesimama nyuma ya ukuta wetu, akishangaa kupitia dirishani, akichungulia wavuni.
Avesima nentoa ne'mo'a gazeliema nehaza afukna huge, agaho dia afukna hu'ne. Nosika mani'neno zaho eri kampinti mase nompinka rentragino nege.
10 Mpenzi wangu alizungumza na mimi na kusema, “Amka, mpenzi wangu; mzuri wangu, twende pamoja nami.
Nevesima nentoa ne'mo'a amanage huno nagrikura hu'ne, navesi navesima hunegantoa mofamoka otinka eno. Hentofa zagani'a mani'nananki egeta nagrane va'mneno.
11 Angalia, baridi imepita; mvua imeisha na kwenda.
Hagi zasi'ma nehianknamo'a vagaregeno kora aruse'ne.
12 Maua yametokeza juu ya nchi; wakati wa kupunguza matawi na kuimba kwa ndege umekuja, na sauti za hua zimesikika nchini kwetu.
Flaua trazamo'a hageno amosrea ahegeno, wainia taga huno eri fatgo nehigeno, namaramimo'a zanontera tusiza hu'za nani'nani nehazage'za, kugofa namaramimo'za kugokugo nehaze.
13 Mti wa tini umepevusha tini zake za kijani, na mizabibu imestawi; yatoa marashi yake. Inuka, mpenzi wangu, mzuri wangu, na uje nami.
Fiki zafamo'a agafa huno raga neregeno, grepi zafamo'a amosre nehegeno, mna'amo'a antaguntagu nehie. Navesima negantoa mofamoka otinka eno. Hentofa zaganimoka nagri'ene eno huno navesima nentoa ne'mo'a hu'ne!
14 Hua wangu, katika miamba ya mawe, katika miamba ya siri ya mipasuko ya milima, acha nione uso wako. Acha nisikie sauti yako, kwa kuwa sauti ni tamu, na uso wako ni mzuri.” Mwanamke akiongea mwenyewe
Maho namanimo'a fra'ma nekia havegampimka agonafi frakino mani'ne. Kavugosa naveri nehunka, kagerura aruge'na antahi'neno. Na'ankure kagerumo'a haga nehigeno, kavugosamo'a hentofaza hu'ne.
15 Wakamate mbweha kwa ajili yetu, mbweha wadogo wanao haribu shamba za mizabibu, kwa kuwa shamba la mizabibu limestawi.
Avesima nentankeno kavesima negantea grepi hozatani'a eri haviza hanagi, maka neone afi kraramina zamazeri hana huo. Na'ankure grepi zafamo'a amosre ahente'ne.
16 Mpenzi wangu ni wangu, na mimi ni wake; anakula penye nyinyoro kwa raha. Mwanamke anaongea na mpenzi wake
Navesima nentoa ne'mo'a nagri su'a manige'na, nagra agri su'a mani'noe. Ana hu'neankino liliema nehaza flaua hozamofo amu'nompi vano nehuno, amosrema ahente'neana nene.
17 Enenda zako, mpenzi wangu, kabla pepo za jioni hazija vuma na vivuli kutoweka. Nenda zako; kuwa kama ayala au mtoto mdogo wa paa katika milima mawe mengi.
Rumasama osu'nenire gazeliema nehaza dia afumo'ma agonaregati'ma ne-eaza hunka, navesima negantoa ne'moka ete nagritega eno.

< Wimbo wa Sulemani 2 >