< Wimbo wa Sulemani 1 >

1 Wimbo ulio Bora, ambao ni wa Sulemani. Wanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake
The Song of Songs, which is by Solomon.
2 O, laiti ungenibusu na mabasu ya mdomo wako, kwa kuwa upendo wako ni bora kuliko mvinyo.
[[M.]] O that he would kiss me with one of the kisses of his mouth! For thy love is better than wine.
3 Mafuta yako ya upako yana manukato mazuri; jina lako ni kama marashi yaeleayo, hivyo wanawake wadogo wanakupenda.
Because of the savor of thy precious perfumes, (Thy name is like fragrant oil poured forth, ) Therefore do the virgins love thee.
4 Nichukuwe kwako, na tutakimbia. Mwanamke akizungumza mwenyewe Mfalme amenipeleka vyumbani mwake. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake nina furuha; nina furahi kuhusu wewe; acha ni shereheke upendo wako; ni bora kuliko mvinyo. Ni halisi kwa wanawake wengine kupenda. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
Draw me after thee; let us run! The king hath led me to his chambers! We will be glad and rejoice in thee; We will praise thy love more than wine. Justly do they love thee!
5 Mimi ni mweusi lakini mzuri, enyi mabinti wa wanaume wa Yerusalemu - mweusi kama hema za Kedari, muzuri kama mapazia ya Sulemani.
I am black, but comely, O ye daughters of Jerusalem, As the tents of Kedar, as the curtains of Solomon.
6 Usinishangae kwasababu ni mweusi, kwasababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu walikuwa na hasira juu yangu; walinifanya mtunzi wa mashamba ya mizabibu, lakini mshamba langu la mizabibu sijatunza. Wanamke akizungumza na mpenzi wake.
Gaze not upon me because I am black, Because the sun hath looked upon me! My mother's sons were angry with me; They made me keeper of the vineyards; My vineyard, my own, have I not kept.
7 Niambie, wewe ninaye kupenda, wapi unalisha mifugo yako? Wapi unapumzisha mifugo yako mchana? Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? Mpenzi wake anamjibu
Tell me, thou whom my soul loveth, where thou feedest thy flock, Where thou leadest it to rest at noon; For why should I be like a veiled one by the flocks of thy companions?
8 Kama haujui, uliye mzuri miongoni mwa wanawake, fuata nyayo za mifugo yangu, na ulishe watoto wako wa mbuzi karibu na hema za wachungaji.
[[Lad.]] If thou know not, O thou fairest among women, Trace thou thy way by the tracks of the flock, And feed thy kids beside the shepherds' tents!
9 Nina kulinganisha, mpenzi wangu, na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao.
[[Lov.]] To the horses in the chariots of Pharaoh Do I compare thee, my love!
10 Mashavu yako ni mazuri na mapambo, shingo yako na mikufu ya madini.
Comely are thy cheeks with rows of jewels, Thy neck with strings of pearls.
11 Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
Golden chains will we make for thee, With studs of silver.
12 Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
[[M.]] While the king reclineth at his table, My spikenard sendeth forth its fragrance.
13 Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.
A bunch of myrrh is my beloved to me; He shall abide between my breasts.
14 Mpenzi wangu ni kwangu kama kifurushi cha maua ya hena katika mashamba ya mizabibu ya Eni Gedi. Mpenzi wake anazungumza naye
My beloved is to me a cluster of henna-flowers From the gardens of Engedi.
15 Ona, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; ona, wewe ni mzuri; macho yako ni kama ya hua. Mwanamke anazungumza na mpenzi wake.
[[Lov.]] Behold, thou art fair, my love; behold, thou art fair! Thine eyes are doves.
16 Ona, wewe ni mtanashati, mpenzi wangu, jinsi mtanashati.
[[M.]] Behold, thou art fair, my beloved, yea, lovely; And green is our bed.
17 Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi, na dari letu ni la matawi ya miberoshi.
The cedars are the beams of our house, And its roof the cypresses.

< Wimbo wa Sulemani 1 >