< Ruth 4 >

1 Ndipo Boazi akaenda kwenye lango la Bethelehemu na kukaa chini. Muda mfupi tu akaja ndugu wa karibu ambaye Boazi alimuongelea. Boazi akamwambia, “Rafiki yangu, njoo hapa na uketi. Kisha mtu huyo akaja na kuketi.
Potem je Boaz odšel k velikim vratom in se tam usedel in glej, sorodnik, o katerem je Boaz govoril, je prišel mimo, kateremu je rekel: »Hej, ti oné! Kreni sem in sedi tukaj.« In ta je krenil tja ter se usedel.
2 Ndipo Boazi akakusanya viongozi kumi wa mji na kusema, “Katini hapa.” Hivyo wakaketi.
Vzel je deset mož izmed starešin mesta ter rekel: »Sedite tukaj.« In oni so se usedli.
3 Boazi alimwambia yule jamaa wa karibu, “Naomi aliyerudi kutoka mji wa Moabu, anauza sehemu ya aridhi ambayo ilikuwa ni miliki ya kaka yetu Elimeleki.
Sorodniku je rekel: »Naomí, ki je ponovno prišla iz moábske dežele, prodaja posest dežele, ki je bila od najinega brata Eliméleha
4 Nilifikiria kukujulisha na kukwambia, 'Inunue mbele ya hawa waliokaa hapa, na mbele ya viongozi wa watu wangu.' Ikiwa utapenda kuikomboa, ikomboe. Lakini ikiwa hauhitaji kuikomboa, uniambie, ili nijue, kwa kuwa hakuna mwingine wa kuikomboa isipokuwa wewe, na mimi ni mdogo wako.” Ndipo huyo mtu mwingine akasema, “Nitalikomboa.”
in mislil sem, da ti oznanim, rekoč: ›Kupi to pred prebivalci in pred starešinami mojega ljudstva. Če hočeš to odkupiti, to odkupi, toda če ti tega nočeš odkupiti, potem mi povej, da bom lahko vedel, kajti poleg tebe ni nikogar, da to odkupi, jaz pa sem za teboj.‹« In ta je rekel: » To bom odkupil.«
5 Kisha Boazi akasema, “Ile siku utakayonunua shamba kutoka mkononi mwa Naomi, yakupasa pia kumchukua Ruth Mmoabu, mjane wa mtoto wa Elimeleki, ili kuliinua jina la marehemu kama urithi wake.”
Potem je Boaz rekel: »Tisti dan, ko kupiš polje iz Naomíne roke, moraš to kupiti tudi od Moábke Rute, žene umrlega, da obudiš ime mrtvega na njegovi dediščini.«
6 Ndipo yule jamaa wa karibu akasema, “Mimi siwezi kuikomboa ardhi kwa ajili yangu bila kuleta athari kwenye urithi wangu binafsi. Nakupa wewe haki ya kuikomboa kwa ajili yako mwenyewe, kwa kuwa mimi sitoweza.”
Sorodnik je rekel: » Tega ne morem odkupiti zase, da ne bi oškodoval svoje lastne dediščine. Ti odkupi mojo pravico k sebi, kajti jaz tega ne morem odkupiti.«
7 Hii ilikuwa ni desturi ya zamani ya Israeli kuhusu ukombozi na kubadilishana mazuri. Kudhibitisha mambo haya yote, mtu huyu alivua kiatu chake na kumpatia jirani yake; hii ilikuwa ni namna ya kufanya makubaliano ya kisheria katika Israeli.
Torej to je bil običaj v prejšnjem času v Izraelu, glede odkupitve in glede zamenjave, za potrditev vseh stvari. Človek je sezul svoj čevelj in tega dal svojemu bližnjemu in to je bilo pričevanje v Izraelu.
8 Kwa hiyo huyu jamaa wa karibu akamwambia Boazi, “Inunue mwenyewe.” Kisha akavua kiatu chake.
Zato je sorodnik Boazu rekel: » To si kupi zase.« Tako je sezul svoj čevelj.
9 Ndipo Boazi akawaambia viongozi na watu wote, “Ninyi ni mashaidi kuwa nimenunua kila kilichokuwa cha Elimeleki na kila kilichokuwa na Kileoni na Mahilon kutoka kwenye mikono ya Naomi.
Boaz je rekel starešinam in vsemu ljudstvu: »Vi ste priče ta dan, da sem kupil vse, kar je bilo Elimélehovo in vse, kar je bilo Mahlónovo in Kiljónovo iz Naomíne roke.
10 Zaidi ya hayo kumhusu Ruth Mmoabu, mke wa Mahlon: nimempa kibali cha kuwa mke wangu, ili kuendeleza jina na urithi wa marehumu, ili kwamba jina lake lisipotee kati ya ndugu zake na lango la watu wake. Ninyi ni mashahidi leo.”
Poleg tega sem kupil Moábko Ruto, Mahlónovo ženo, da postane moja žena, da obudim ime mrtvega na njegovi dediščini, da ime mrtvega ne bo iztrebljeno izmed njegovih bratov in od velikih vrat tega kraja. Vi ste priče ta dan.«
11 Watu wote na viongozi waliokuwa katika lango, walisema, “Tu mashahidi. Yahweh amfanye mwanamke huyu ambaye amekuja nyumbani kwako kama Raheli na Leya, ambao wawili hawa wameijenga nyumba ya Israeli. Na ubarikiwe katika Efrata na kuwa mashuhuri katika Bethelehem.
Vse ljudstvo, ki je bilo v velikih vratih, in starešine, so rekli: » Mi smo priče. Gospod naj naredi žensko, ki je prišla v tvojo hišo, kakor Rahelo in kakor Lejo, ki sta zgradili Izraelovo hišo. Ti pa delaj plemenito v Efráti in bodi slaven v Betlehemu.
12 Na nyumba yako kama nyumba ya Peres, ambaye Tamari alimzalia yuda, kupitia uzao ambao Yahweh atakupatia pamoja na msichana huyu.”
Tvoja hiša naj bo podobna Parecovi hiši, katerega je Tamara rodila Judu, od semena, ki ti ga bo Gospod dal od te mlade ženske.«
13 Hivyo Boazi alimchukua Ruth, na akawa mke wake. Boazi alilala naye, na Yahweh alimruhusu kupata mimba, na alizaa mtoto wa kiume.
Tako je Boaz vzel Ruto in bila je njegova žena in ko je šel noter k njej, ji je Gospod dal spočetje in rodila je sina.
14 Wanamke huyu akamwambia Naomi, “Yahweh abarikiwe, ambaye hajakuacha bila ndugu wa karibu, yaani mtoto huyu. Jina lake na liwe maarufu katika Israeli.
Ženske so rekle Naomí: »Blagoslovljen bodi Gospod, ki te ta dan ni pustil brez sorodnika, da bo njegovo ime lahko slavno v Izraelu.
15 Na awe kwako mrutubishaji wa maisha na mwenye ruzuku uzeeni mwako, kwa kuwa mtoto wako mkwe, ambaye anakupenda, ambaye ni bora kwako kuliko watoto wa kiume saba, amemzaa.
On ti bo obnovitelj tvojega življenja in hranitelj tvoje starosti, kajti rodila ga je tvoja snaha, ki te ima rada, ki ti je boljša kakor sedem sinov.«
16 Kisha naomi akamchukua mtoto, akamlaza kifuani pake, na kumhudumia.
Naomí je vzela otroka in ga položila v svoje naročje in mu postala pestunja.
17 Na majirani wa yule mwanamke, wakampa jina, wakisema, “Mtoto amezaliwa kwa Naomi.” Wakawita Obedi. Ambaye alikuja kuwa baba yake na Jese, ambaye alikuja kuwa baba yake na Daudi.
Ženske, njene sosede, so mu dale ime, rekoč: »Naomí je rojen sin« in njegovo ime so imenovale Obéd. On je oče Davidovega očeta Jeseja.
18 Hiki kilikuwa ni kizazi cha Peresi: Peres alimzaa Hezroni,
Torej to so Parecovi rodovi: Parec je zaplodil Hecróna,
19 Hezroni akamzaa Ram, Ram akamzaa Aminadabu,
Hecrón je zaplodil Rama, Ram je zaplodil Aminadába,
20 Aminadabu akamzaa Nashon, Nashon akamzaa Salmon,
Aminadáb je zaplodil Nahšóna, Nahšón je zaplodil Salmóna,
21 Salmon akamzaa Boazi, Boazi akamzaa Obed,
Salmón je zaplodil Boaza, Boaz je zaplodil Obéda,
22 Obedi akamzaa Jese, na Jese akamzaa Daudi.
Obéd je zaplodil Jeseja in Jese je zaplodil Davida.

< Ruth 4 >