< Ruth 4 >

1 Ndipo Boazi akaenda kwenye lango la Bethelehemu na kukaa chini. Muda mfupi tu akaja ndugu wa karibu ambaye Boazi alimuongelea. Boazi akamwambia, “Rafiki yangu, njoo hapa na uketi. Kisha mtu huyo akaja na kuketi.
بوعز به دروازهٔ شهر که محل اجتماع مردم شهر بود رفت و در آنجا نشست. آنگاه آن مرد که نزدیکترین خویشاوند شوهر نعومی بود به آنجا آمد. بوعز او را صدا زده گفت: «بیا اینجا! می‌خواهم چند کلمه‌ای با تو صحبت کنم.» او آمد و نزد بوعز نشست.
2 Ndipo Boazi akakusanya viongozi kumi wa mji na kusema, “Katini hapa.” Hivyo wakaketi.
آنگاه بوعز ده نفر از ریش‌سفیدان شهر را دعوت کرد تا شاهد باشند.
3 Boazi alimwambia yule jamaa wa karibu, “Naomi aliyerudi kutoka mji wa Moabu, anauza sehemu ya aridhi ambayo ilikuwa ni miliki ya kaka yetu Elimeleki.
بوعز به خویشاوند خود گفت: «تو می‌دانی که نعومی از سرزمین موآب برگشته است. او در نظر دارد ملک برادرمان الیملک را بفروشد.
4 Nilifikiria kukujulisha na kukwambia, 'Inunue mbele ya hawa waliokaa hapa, na mbele ya viongozi wa watu wangu.' Ikiwa utapenda kuikomboa, ikomboe. Lakini ikiwa hauhitaji kuikomboa, uniambie, ili nijue, kwa kuwa hakuna mwingine wa kuikomboa isipokuwa wewe, na mimi ni mdogo wako.” Ndipo huyo mtu mwingine akasema, “Nitalikomboa.”
فکر کردم بهتر است در این باره با تو صحبت کنم تا اگر مایل باشی، در حضور این جمع آن را خریداری نمایی. اگر خریدار آن هستی همین حالا بگو. در غیر این صورت خودم آن را می‌خرم. اما تو بر من مقدم هستی و بعد از تو حق من است که آن ملک را خریداری نمایم.» آن مرد جواب داد: «بسیار خوب، من آن را می‌خرم.»
5 Kisha Boazi akasema, “Ile siku utakayonunua shamba kutoka mkononi mwa Naomi, yakupasa pia kumchukua Ruth Mmoabu, mjane wa mtoto wa Elimeleki, ili kuliinua jina la marehemu kama urithi wake.”
بوعز به او گفت: «تو که زمین را می‌خری موظف هستی با روت نیز ازدواج کنی تا بچه‌دار شود و فرزندانش وارث آن زمین گردند و به این وسیله نام شوهرش زنده بماند.»
6 Ndipo yule jamaa wa karibu akasema, “Mimi siwezi kuikomboa ardhi kwa ajili yangu bila kuleta athari kwenye urithi wangu binafsi. Nakupa wewe haki ya kuikomboa kwa ajili yako mwenyewe, kwa kuwa mimi sitoweza.”
آن مرد گفت: «در این صورت من از حق خرید زمین می‌گذرم، زیرا فرزند روت وارث ملک من نیز خواهد بود. تو آن را خریداری کن.»
7 Hii ilikuwa ni desturi ya zamani ya Israeli kuhusu ukombozi na kubadilishana mazuri. Kudhibitisha mambo haya yote, mtu huyu alivua kiatu chake na kumpatia jirani yake; hii ilikuwa ni namna ya kufanya makubaliano ya kisheria katika Israeli.
(در آن روزگار در اسرائیل مرسوم بود که هرگاه شخصی می‌خواست حق خرید ملکی را به دیگری واگذار کند، کفشش را از پا درمی‌آورد و به او می‌داد. این عمل، معامله را در نظر مردم معتبر می‌ساخت.)
8 Kwa hiyo huyu jamaa wa karibu akamwambia Boazi, “Inunue mwenyewe.” Kisha akavua kiatu chake.
پس آن مرد وقتی به بوعز گفت: «تو آن زمین را خریداری کن»، کفشش را از پا درآورد و به او داد.
9 Ndipo Boazi akawaambia viongozi na watu wote, “Ninyi ni mashaidi kuwa nimenunua kila kilichokuwa cha Elimeleki na kila kilichokuwa na Kileoni na Mahilon kutoka kwenye mikono ya Naomi.
آنگاه بوعز به ریش‌سفیدان محل و مردمی که در آنجا ایستاده بودند گفت: «شما شاهد باشید که امروز من تمام املاک الیملک، کلیون و محلون را از نعومی خریدم.
10 Zaidi ya hayo kumhusu Ruth Mmoabu, mke wa Mahlon: nimempa kibali cha kuwa mke wangu, ili kuendeleza jina na urithi wa marehumu, ili kwamba jina lake lisipotee kati ya ndugu zake na lango la watu wake. Ninyi ni mashahidi leo.”
در ضمن با روت موآبی، زن بیوهٔ محلون ازدواج خواهم کرد تا او پسری بیاورد که وارث شوهر مرحومش گردد و به این وسیله نام او در خاندان و در زادگاهش زنده بماند.»
11 Watu wote na viongozi waliokuwa katika lango, walisema, “Tu mashahidi. Yahweh amfanye mwanamke huyu ambaye amekuja nyumbani kwako kama Raheli na Leya, ambao wawili hawa wameijenga nyumba ya Israeli. Na ubarikiwe katika Efrata na kuwa mashuhuri katika Bethelehem.
همهٔ مشایخ و مردمی که در آنجا بودند گفتند: «ما شاهد بر این معامله هستیم. خداوند این زنی را که به خانهٔ تو خواهد آمد، مانند راحیل و لیه بسازد که با هم دودمان اسرائیل را بنا کردند. باشد که تو در افراته و بیت‌لحم معروف و کامیاب شوی.
12 Na nyumba yako kama nyumba ya Peres, ambaye Tamari alimzalia yuda, kupitia uzao ambao Yahweh atakupatia pamoja na msichana huyu.”
با فرزندانی که خداوند به وسیلۀ این زن به تو می‌بخشد، خاندان تو مانند خاندان فارَص پسر تامار و یهودا باشد.»
13 Hivyo Boazi alimchukua Ruth, na akawa mke wake. Boazi alilala naye, na Yahweh alimruhusu kupata mimba, na alizaa mtoto wa kiume.
پس بوعز با روت ازدواج کرد و خداوند به آنها پسری بخشید.
14 Wanamke huyu akamwambia Naomi, “Yahweh abarikiwe, ambaye hajakuacha bila ndugu wa karibu, yaani mtoto huyu. Jina lake na liwe maarufu katika Israeli.
زنان شهر بیت‌لحم به نعومی گفتند: «سپاس بر خداوند که تو را بی‌سرپرست نگذاشت و نوه‌ای به تو بخشید. باشد که او در اسرائیل معروف شود.
15 Na awe kwako mrutubishaji wa maisha na mwenye ruzuku uzeeni mwako, kwa kuwa mtoto wako mkwe, ambaye anakupenda, ambaye ni bora kwako kuliko watoto wa kiume saba, amemzaa.
عروست که تو را دوست می‌دارد و برای تو از هفت پسر بهتر بوده، پسری به دنیا آورده است. این پسر جان تو را تازه خواهد کرد و در هنگام پیری از تو مراقبت خواهد نمود.»
16 Kisha naomi akamchukua mtoto, akamlaza kifuani pake, na kumhudumia.
نعومی نوزاد را در آغوش گرفت و دایهٔ او شد.
17 Na majirani wa yule mwanamke, wakampa jina, wakisema, “Mtoto amezaliwa kwa Naomi.” Wakawita Obedi. Ambaye alikuja kuwa baba yake na Jese, ambaye alikuja kuwa baba yake na Daudi.
زنان همسایه آن نوزاد را عوبید نامیده گفتند: «پسری برای نعومی متولد شد!» (عوبید پدر یَسا و پدر بزرگ داوود پادشاه است.)
18 Hiki kilikuwa ni kizazi cha Peresi: Peres alimzaa Hezroni,
این است نسب نامهٔ بوعز که از فارص شروع شده، به داوود ختم می‌شود: فارص، حصرون، رام، عمیناداب، نحشون، سلمون، بوعز، عوبید، یَسا و داوود.
19 Hezroni akamzaa Ram, Ram akamzaa Aminadabu,
20 Aminadabu akamzaa Nashon, Nashon akamzaa Salmon,
21 Salmon akamzaa Boazi, Boazi akamzaa Obed,
22 Obedi akamzaa Jese, na Jese akamzaa Daudi.

< Ruth 4 >