< Ruth 3 >

1 Naomi, mama mkwe wake, alimwambia, “Mwanangu, hainilazimu kutafuta mahali pa wewe kupumzika, ili kwamba mambo yako yaende vizuri?
روزی نعومی به روت گفت: «دخترم الان وقت آن رسیده که شوهری برای تو پیدا کنم تا زندگی‌ات سروسامان گیرد.
2 Naye Boazi, mtu ambaye umekuwa pamoja na wasichana wake wa kazi, yeye si jamaa yetu? Tazama, jioni hii atakuwa akikung'uta shairi katika sakafu ya kupuria.
همین‌طور که می‌دانی بوعز، که تو در کشتزارش خوشه‌چینی می‌کردی، از بستگان نزدیک ما می‌باشد. او امشب در خرمنگاه، جو غربال می‌کند.
3 Kwa hiyo, oga, jipake mafuta, uvae nguo zako nzuri, na ushuke kwenda kwenye sakafu ya kupuria. Lakini usijulikane kwa mtu huyu mpaka atakapo maliza kula na kunywa.
پس برو حمام کن و عطر بزن، بهترین لباست را بپوش و به خرمنگاه برو. اما نگذار بوعز تو را ببیند، تا اینکه شامش را بخورد و بخوابد.
4 Na uhakikishe kuwa, atakapo lala chini, ukumbuke mahali alipo lala ili kwamba baadaye uende kwake, ufunue miguu yake, na ulale hapo. Kisha atakuambia cha kufanya.”
دقت کن و ببین جای خوابیدن او کجاست. بعد برو و پوشش او را از روی پاهایش کنار بزن و در همان جا کنار پاهای او بخواب. آنگاه او به تو خواهد گفت که چه باید کرد.»
5 Ruth alimwambia Naomi, “Nitafanya kila kitu ulicho sema.”
روت گفت: «بسیار خوب، همین کار را خواهم کرد.»
6 Alishuka kwenda kwenye sakafu ya kupuria, na alifuata maelekezo aliyopewa na mama mkwe wake.
روت آن شب به خرمنگاه رفت و طبق دستورهایی که مادرشوهرش به او داده بود، عمل کرد. بوعز پس از آنکه خورد و سیر شد، کنار بافه‌های جو دراز کشید و خوابید. آنگاه روت آهسته آمده، پوشش او را از روی پاهایش کنار زد و همان جا دراز کشید.
7 Boazi alipomaliza kula na kunywa na moyo wake ulikuwa na furaha, alienda kulala chini mwisho wa sehemu ya kuhifadhia nafaka. Kisha Ruth akaenda taratibu, akaaifunua miguu ya Boazi, na kulala hapo chini.
8 Panapo usiku wa manane Boazi alisituka. Akajigeuza, na hapo mwanamke alikuwa amelala katika miguu yake!
نیمه‌های شب، بوعز سراسیمه از خواب پرید و دید زنی کنار پاهایش خوابیده است.
9 Akamwambia, “Wewe ni nani?” Akajibu, “Mimi ni Ruth, mtumishi wako wa kike. Nifunike shuka lako mimi mtumishi wako wa kike, kwa kuwa wewe ni jamaa wa karibu.”
گفت: «تو کیستی؟» روت جواب داد: «من کنیزت، روت هستم. خواهش می‌کنم مرا به زنی بگیری، زیرا تو خویشاوند نزدیک من هستی.»
10 Boazi akamwambia, “Mwanangu, Yahweh akubariki. Umeonyesha wema mwishoni kuliko mwazoni, kwa sababu hukwenda kwa wanaume vijana, awe tajiri au masikini.
بوعز گفت: «دخترم، خداوند تو را برکت دهد! این محبتی که حالا می‌کنی از آن خوبی که در حق مادر شوهرت کردی، بزرگتر است. تو می‌توانستی با مرد جوانی، چه فقیر چه ثروتمند، ازدواج کنی؛ اما این کار را نکردی.
11 Na sasa, mwanangu, usiogope! Nitakufanyia yote unayosema, kwa sababu mji wa watu wangu wote wanajua kuwa wewe ni mwanamke unayestahili.
حال نگران نباش. آنچه خواسته‌ای برایت انجام خواهم داد. همهٔ مردم شهر می‌دانند که تو زنی نجیب هستی.
12 Nikweli kuwa mimi ni jamaa wa karibu; hata hivyo, kuna jamaa wa karibu kuliko mimi.
درست است که من خویشاوند نزدیک شوهرت هستم، اما خویشاوند نزدیکتر از من هم داری.
13 Baki hapa usiku huu, na asubuhi, ikiwa atafanya jukumu lake la jamaa wa karibu, vizuri, muache afanye jukumu lake la kindugu. lakini kama hata fanya jukumu la kindugu kwako, ndipo mimi nitafanya, kama Yahweh aishivyo. Lala mpaka asubuhi.”
تو امشب در اینجا بمان و من فردا صبح این موضوع را با او در میان می‌گذارم. اگر او خواست با تو ازدواج کند، بگذار بکند؛ اما اگر راضی به این کار نبود، به خداوند زنده قسم که خودم حق تو را ادا خواهم کرد. اکنون تا صبح همین جا بخواب.»
14 Kwa hiyo Ruth alilala kwenye miguu ya Boazi hadi asubuhi. Lakini aliamka mapema kabla ya yeyote kuweza kumtambua mtu mwingine. Kwa kuwa alikwisha mwambia, “Isijulikane kuwa mwanamke alikuja kwenye sakafu ya kupuria.”
پس روت تا صبح کنار پاهای او خوابید و صبح خیلی زود، قبل از روشن شدن هوا برخاست، زیرا بوعز به او گفته بود: «نگذار کسی بفهمد که تو امشب در خرمنگاه، پیش من بوده‌ای.»
15 Kisha Boazi akamwambia, lete mtandio wako na uushikilie.” Alipo fanya hivyo, alipima vipimo vikubwa sita vya shairi katika mtandio na kumtwisha Ruth. Kisha Boazi akaenda mjini.
او همچنین به روت گفت: «ردای خود را پهن کن.» روت ردایش را پهن کرد و بوعز حدود بیست کیلو جو در آن ریخت و روی دوش روت گذاشت تا به خانه ببرد.
16 Ruth aliporudi kwa mama mkwe wake, alisema, “Ulifanyaje, mwanangu?” Ndipo Ruth akamwambia mambo yote aliyotendewa na mtu huyo.
وقتی به خانه رسید نعومی از او پرسید: «دخترم، چطور شد؟» آنگاه روت تمام ماجرا را برای او تعریف کرد.
17 Alimwambia, “Hivi vipimo sita vya shairi ni vile alivyonipa yeye, kwa kuwa alisema, 'Usiende mikono mitupu kwa mama mkwe wako.'”
در ضمن اضافه کرد: «برای اینکه دست خالی پیش تو برنگردم، بوعز این مقدار جو را به من داد تا به تو بدهم.»
18 Kisha Naomi akasema, “Baki hapa, mwanangu, mpaka utakapojua yatakavyo kuwa, kwa kuwa Boazi hata pumzika mpaka atakapolimaliza jambo hili leo.”
نعومی گفت: «دخترم، صبر کن تا ببینیم چه پیش خواهد آمد. زیرا بوعز تا این کار را امروز تمام نکند، آرام نخواهد گرفت.»

< Ruth 3 >