< Warumi 9 >

1 Nasema ukweli katika Kristo. Sisemi uongo, na dhamira yangu hushuhudia pamoja nami katika Roho Mtakatifu,
Mitaroñe ty hatò amy Norizañey iraho fa tsy misovo-bolañe; mitrao-pitaroñe am-pitsakoreako i Arofo Masiñey,
2 kwamba kuna huzuni kubwa na maumivu yasiyo koma ndani ya moyo wangu.
t’ie lonjetse, naho mitolom-pihontoke ty an-troko atoa,
3 Kwamba ningetamani mimi mwenyewe kulaaniwa na kutengwa mbali na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu, wale wa jamii yangu katika mwili.
fa nisalalaeko t’ie haitoañe amy Norizañey ty amo longoko ama’ nofotseo,
4 Wao ni Waisraeli. Walio na hali ya kufanyika watoto, wa utukufu, wa maagano, na zawadi ya sheria, kumwabudu Mungu, na ahadi.
ie nte-Israele, a’ iareo ty fameloman-ko anake, ty engeñe, o fañinao, ty fanolorañe Hàke, i fisoroñañey, vaho o fampitamàñeo;
5 Wao ni watangulizi ambako Kristo amekuja kwa heshima kuvaa mwili huu - ambaye yeye ni Mungu wa vyote. Naye asifiwe milele. Amina. (aiōn g165)
a’ iareo o raeo, naho boak’am’iareo ami’ty nofotse i Norizañey—i ambone’ ze he’ey, i Andrianañahare rengeñe nainai’ey. Amena. (aiōn g165)
6 Lakini si kwamba ahadi za Mungu zimeshindwa kutimia. Maana si kila mtu aliye Israeli ni Mwiisraeli halisi.
Fa tsy te nilesa o tsaran’ Añahareo, amy te tsy hene nte-Israele t’ie tarira’ Israele,
7 Sivyo hata kwa uzao wa Abrahamu kuwa ni watoto wake halisi. Lakini, “ni kupitia Isaka uzao wako utaitwa.”
mbore tsy songa anake t’ie tiri’ i Abraàme; fa, Am’ Isaka ty ikanjiañe o tiri’oo,
8 Hii ni kwamba, watoto wa mwili si watoto wa Mungu. Lakini watoto wa ahadi wanatazamwa kuwa kama uzao.
aa le tsy o tariratse ama ­nofotseo ro anan’ Añahare, fa o ana’ i fitamàñeio ro volilieñe ho tariratse.
9 Maana hili ndilo neno la ahadi: “Katika majira haya nitakuja, na Sara atapewa mtoto.”
Hoe ty tsara’ i fitamàñey, Hibalike ami’ty sa toy raho le hanañ’ ajajalahy t’i Sarahae.
10 Si hili tu, lakini baada ya Rebeka kupata mimba kwa mtu mmoja, Isaka baba yetu-
Mbore adodea amy Ribkae, ie nampiareña’ Isaka raentika indrai-piolotse,
11 kwamba watoto walikuwa bado hawajazaliwa na alikuwa hajafanya jambo lolote zuri au baya, ili kwamba kusudi la Mungu kulingana na uchaguzi lisimame, wala si kwa matendo, lakini ni kwa sababu ya yule aitae.
(iereo mbe tsy nitoly, mboe tsy nanao inoñe ndra soa ndra raty, soa te hijadoñe i fijoboñañe sinafirin’ Añaharey, tsy amo tolon-drahao fa amy Mpikanjiy),
12 Ilinenwa kwake, “Mkubwa atamtumikia mdogo.”
le hoe ty tsinara ama’e: Hitoroñe ty zai’e ty zoke’e,
13 Kama ilivyo kwisha andikwa: “Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia.”
amy pinatetse ty hoe: Nikokoako t’Iakobe fa nihejeko t’i Esave.
14 Basi tena tutasema nini? Je kuna udhalimu kwa Mungu? La hasha.
Inoñ’arè ty hatao-­tika? Hera aman’ Añahare ao ty tsy to. Sondo’e izay!
15 Kwa kuwa anasema kwa Musa, “nitakuwa na rehema kwa yule nitakayemrehemu, na nitakuwa na huruma kwa yule nitakayemhurumia.”
Fa hoe re amy Mosè: Ho ferenaiñeko ze hiferenaiñako, le ho tretrezeko ze hitretrezako.
16 Kwa hiyo basi, si kwa sababu ya yeye atakaye, wala si kwa sababu ya yeye ambaye hukimbia, lakini kwa sababu ya Mungu, ambaye huonesha rehema.
Aa le tsy ty fisalalà’ ondaty, tsy ty filaisa’ ondaty, fa i Andria­nañahare mpitretrè.
17 Kwa kuwa maandiko husema kwa Farao, “Kwa kusudi hili maalumu nilikuinua, ili kwamba nioneshe nguvu zangu katika wewe, na ili kwamba jina langu litangazwe katika nchi yote.”
Le hoe i Sokitse Masiñey amy Farao: Amo safiry zao ty nampionjonako azo, te ihe ty hampiboahañe ty haozarako, naho hanitsihañe ty tane toy ami’ty fitaroñañe i añarakoy.
18 Hivyo basi, Mungu huwa na rehema kwa yeyote ampendaye, na kwa ambaye humpenda, humfanya kuwa mkaidi.
Aa le tretreze’e ze satri’e, naho ampigàñe’e ze laha’e.
19 Kisha utasema kwangu, “Kwa nini bado anaona kosa? Ni yupi ambaye alikwisha kustahimili matakwa yake?”
Aa ke hatao’ areo amako ty hoe, Inoñe arè ty itiñea’e an-tika? Ia ty hahasebañe i satri’ey?
20 Kinyume chake, mwanadamu, wewe ni nani ujibue kinyume na Mungu? Kuna uwezekano wowote wa kilichofinyangwa kusema kwa mfinyanzi, “Kwanini ulinifanya hivi mimi?”
Hete, ry ‘ndaty, ia v’iheo te manoiñe aman’ Añahare? Ho volañe’ i namboareñey ty hoe hao i namboatse azey: Akore ty nanoe’o ahy?’
21 Je mfinyazi huwa hana haki juu ya udongo kutengeneza chombo kwa matumizi maalumu kutokana na bonge lile lile, na chombo kingine kwa matumizi ya kila siku?
Hera añana’ i mpanao valañe-taney lily i lietsey, t’ie ami’ty boko’e raike ro itsenea’e sinim-pia­siañe naho ty valàñe tsotra?
22 Vipi kama Mungu, ambaye ana utayari wa kuonesha gadhabu yake na kufanya nguvu yake kujulikana, alistahimili kwa uvumilivu wa kutosha vyombo vya gadhabu vilivyoandaliwa kwa kuangamiza?
Aa vaho akore t’i Andrianañahare, ie te hamente ty haviñera’e naho hampandrendreke ty haozara’e, ro nifeake haliñisañe amo valàñen-kabosehañe haro­tsakeo,
23 Vipi kama alifanya hivi ili kwamba aoneshe wingi wa utukufu wake juu ya vyombo vya rehema, ambavyo alikwisha kuviandaa kwa ajili ya utukufu?
hampahafohinañe ty hafanjàka’ ty enge’e amo valañem-pitretrezañeo, o nihentseñe’e taolo ho rengèñeo?
24 Vipi kama alifanya hii pia kwetu, ambaye pia alituita, si tu kutoka kwa Wayahudi, lakini pia kutoka kwa watu wa Mataifa?
Itika nikanjie’e ‘nio, tsy amo Jiosio avao, fa amo kilakila ondatio ka?
25 Kama asemavyo pia katika Hosea: “Nitawaita watu wangu ambao hawakuwa watu wangu, na mpendwa wake ambaye hakupendwa.
ie natovo’e amy Hosea ao, ty hoe: Ho tokaveko ty hoe: Ondatiko o tsy ni-ondatikoo, vaho Kokoa’e, i tsy nikokoañey.
26 Na itakuwa kwamba pale iliposemwa kwao, 'Ninyi si watu wangu,' pale wataitwa 'wana wa Mungu aliye hai.”'
Hifetsake an-toetse nanoañe am’ iereo ty hoe: Tsy ondatiko nahareo, t’ie hikanjiañe ty hoe: anak’ Andrianañahare veloñe.
27 Isaya analia kuhusiana na Israeli, “Kama hesabu ya wana wa Israeli ingekuwa kama mchanga wa bahari, itakuwa ni masalia ambao wataokolewa.
Le hoe ty koi’ Isaia ty am’Israele: Ndra te nira amo fasen-driakeo ty ia’ o tiri’ Israeleo, ty sehanga’e avao ty ho rombaheñe,
28 Kwa kuwa Bwana atalichukua neno lake juu ya nchi, mapema na kwa utimilifu.
fa hafetsa’ Iehovà an-tane atoy i tsinara’ey; tsy kalafo naho masika.
29 Na kama jinsi Isaya alivyosema awali, “Kama Bwana wa majeshi hakutuachia nyuma uzao kwa ajili yetu, tungekuwa kama Sodoma, na tungefanywa kama Gomora.
Le ty amy nitokia’ Isaiay: Naho tsy napo’ i Talè-i-Màroy tiry tika le ho nanahake i Sodoma vaho ho nihambañe amy Gomora.
30 Tutasema nini basi? kwamba watu wa Mataifa ambao walikuwa hawatafuti haki, walipata haki, haki kwa imani.
Inoñe arè ty ho asan-tika? T’ie nitendreke havantañañe o kilakila ondaty tsy nimane havañonañeo, eka, toe havantañañe mijadoñ’ am-patokisañe;
31 Lakini Israeli, ambaye alitafuta sheria ya haki, hakuifikia.
fa tsy nahatakatse ty havantaña’ i Hake ka t’Israele nimanemane Hàke.
32 Kwanini si hivyo? Kwa sababu hawakuitafuta kwa imani, bali kwa matendo. Walijikwaa juu ya jiwe la kujikwaa,
Akore? Amy t’ie tsy am-patokisañe fa am-pimanemaneañe, toe nitsikapia’ i vato fitsikapiañey.
33 kama ilivyo kwisha andikwa, “Tazama, nimelaza jiwe la kujikwaa katika Sayuni na mwamba wa kukosa. Yeye ambaye huamini katika hili hataaibika.”
Hoe ty pinatetse: Hehe, Apoko e Ziona ao ty vato fitsikapiañe naho ty vato faminganañe; fa tsy ho salatse ty miato ama’e.

< Warumi 9 >