< Warumi 9 >

1 Nasema ukweli katika Kristo. Sisemi uongo, na dhamira yangu hushuhudia pamoja nami katika Roho Mtakatifu,
Ninchova icha yelweli mwa Klisite. Saninchova uvudesi, ni nyievonelo nchengo nchikhumbula paninie nune mumepo umbalanche,
2 kwamba kuna huzuni kubwa na maumivu yasiyo koma ndani ya moyo wangu.
Ukhuta khulinulusu valo uluvaha nuluvavo ulusalwisila ngati munumbula yango.
3 Kwamba ningetamani mimi mwenyewe kulaaniwa na kutengwa mbali na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu, wale wa jamii yangu katika mwili.
Ukhuta nale ninogwe une nie mwene ukhukotoliwa nu khutengiwa patali nu Klisite khunogwa ya valokolo lwango, uvuvahwani nune khimbili.
4 Wao ni Waisraeli. Walio na hali ya kufanyika watoto, wa utukufu, wa maagano, na zawadi ya sheria, kumwabudu Mungu, na ahadi.
Avene vanya Israeli, uvalivumbikhe vana, va vuvalanche, nu lwokhelo lwa lutagilo, ukhwisa ya khwa Nguluve nu lwokhelo.
5 Wao ni watangulizi ambako Kristo amekuja kwa heshima kuvaa mwili huu - ambaye yeye ni Mungu wa vyote. Naye asifiwe milele. Amina. (aiōn g165)
Avene vuvalongonchi u Klisite wa inchile kwu lisima ukhofwala umbili ugu - umwene vi Nguluve va fyoni. Navope agini vwage imiaka. Amina. (aiōn g165)
6 Lakini si kwamba ahadi za Mungu zimeshindwa kutimia. Maana si kila mtu aliye Israeli ni Mwiisraeli halisi.
Khange sakhukhuta ulwidihano lwa Nguluve lukemilwe ukhutimila. Ulwakhuva sakhilo munu uviavile inya Israeli vi muIsrael lweli.
7 Sivyo hata kwa uzao wa Abrahamu kuwa ni watoto wake halisi. Lakini, “ni kupitia Isaka uzao wako utaitwa.”
Ate ne khikhipapo kya Abrahamu ukhuva vana va mwene lweli, “Pwu ukhugendela kwa Isaka ikhipago kyoko khikhwelangiwa.”
8 Hii ni kwamba, watoto wa mwili si watoto wa Mungu. Lakini watoto wa ahadi wanatazamwa kuwa kama uzao.
Ukhuta avana va mbili savana va Nguluve. Pwu avanu va lwidihano viloliwa ukhuva khipapo.
9 Maana hili ndilo neno la ahadi: “Katika majira haya nitakuja, na Sara atapewa mtoto.”
Uhwakhuva ili lyu limenyu lya lwidiheno: “Mwu misinkhi haya nikhwincha, nu Sara iva nu mwana.”
10 Si hili tu, lakini baada ya Rebeka kupata mimba kwa mtu mmoja, Isaka baba yetu-
Salili vuvule, nayu Rebeka ukhukhava unchigo khu munu yumo, u Isaka udada vitu-
11 kwamba watoto walikuwa bado hawajazaliwa na alikuwa hajafanya jambo lolote zuri au baya, ili kwamba kusudi la Mungu kulingana na uchaguzi lisimame, wala si kwa matendo, lakini ni kwa sababu ya yule aitae.
Ukhuta avana vakhasigalile ukhu holiwa khange sakha vomba imbombo yoyoni inonu apange imbivi, apange uvunogwe wa Nguluve ukhukongana nu vuhale wime, sio khu mbombo, ulwakhuva ukuta.
12 Ilinenwa kwake, “Mkubwa atamtumikia mdogo.”
Lyanchovile khu mwene, “Umbaha ikhumbombela udebe.”
13 Kama ilivyo kwisha andikwa: “Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia.”
Nduvuyisimbiwe: U Yakobo naaganile, pwu Esau ansulile.”
14 Basi tena tutasema nini? Je kuna udhalimu kwa Mungu? La hasha.
Pwu lino pwu twinchova ikhikhi? Khuli vuvivi khwa Nguluve? Ata.
15 Kwa kuwa anasema kwa Musa, “nitakuwa na rehema kwa yule nitakayemrehemu, na nitakuwa na huruma kwa yule nitakayemhurumia.”
Ulwakuva inchova kwa Mose, “Niva nikhisa kwulo uvinikwu nsyikhela, niva nu lusyikhilo kwa ula uviya nikwu n'syikhila, khange niva huruma khu yule uvinikwusyikila.
16 Kwa hiyo basi, si kwa sababu ya yeye atakaye, wala si kwa sababu ya yeye ambaye hukimbia, lakini kwa sababu ya Mungu, ambaye huonesha rehema.
Pwu lino sayivile umwene uviinogwa khange sa lwakuva inyile uviivonesya ikhisa.
17 Kwa kuwa maandiko husema kwa Farao, “Kwa kusudi hili maalumu nilikuinua, ili kwamba nioneshe nguvu zangu katika wewe, na ili kwamba jina langu litangazwe katika nchi yote.”
Ulwakuva uvusimbe vwita kwa Farao, “Khuvunogwe uvu uvuvamana nikha khwimikha une nivonesye amakha gango khulyuve, nukuva ilitavwa lyango linchovivwage ikhilunga kyoni.”
18 Hivyo basi, Mungu huwa na rehema kwa yeyote ampendaye, na kwa ambaye humpenda, humfanya kuwa mkaidi.
Pwu lino uNguluve iva ni khisa khumunu yoni uvyaganile, na uvyaganile, ikhumbikhe ukhuvanya ngani.
19 Kisha utasema kwangu, “Kwa nini bado anaona kosa? Ni yupi ambaye alikwisha kustahimili matakwa yake?”
Pwu yawita khulione, “Pwu khikhi vupilola uvuvivi? Pwu alikhi uviegumilinche uvunogwe vwa mwene?”
20 Kinyume chake, mwanadamu, wewe ni nani ujibue kinyume na Mungu? Kuna uwezekano wowote wa kilichofinyangwa kusema kwa mfinyanzi, “Kwanini ulinifanya hivi mimi?”
Vi munu veve veni vi vukhumbulo vunge uNguluve? vwiwesya ukhulumanye ikhinu ikyu vumbile ukunchova kwu munu uvya khivumbile, “Khekhi ukhambikhile evwo une?”
21 Je mfinyazi huwa hana haki juu ya udongo kutengeneza chombo kwa matumizi maalumu kutokana na bonge lile lile, na chombo kingine kwa matumizi ya kila siku?
Khukhu uvivumba inchila vwa yelweli kwu ng'anga ukhuvumba ikhivombelo ukhumana nu ng'anga gula gule, ni khyombo khinge khu mbombo yi figono fyoni?
22 Vipi kama Mungu, ambaye ana utayari wa kuonesha gadhabu yake na kufanya nguvu yake kujulikana, alistahimili kwa uvumilivu wa kutosha vyombo vya gadhabu vilivyoandaliwa kwa kuangamiza?
Ndakhekhi ingave, uNguluve, uvi alinuvunu vwa khuvonesya uvuvivi vwa uvuvivi vwa mwene nu khuvomba ne makhaga mwene ukhuvoneka, akhanogile ukwiyumilinche, iatbu iyuyivikhiwe kwa khuyancho?
23 Vipi kama alifanya hivi ili kwamba aoneshe wingi wa utukufu wake juu ya vyombo vya rehema, ambavyo alikwisha kuviandaa kwa ajili ya utukufu?
Ndakhikhi ingave avombile evo avonesye uwingi vwa vulancha vwa mwene kwu fyombo fya khisa, ifyo ifi fikhavikhilwe kwu vuvalanche?
24 Vipi kama alifanya hii pia kwetu, ambaye pia alituita, si tu kutoka kwa Wayahudi, lakini pia kutoka kwa watu wa Mataifa?
Ndakhikhi ingave akhavombile khuvanu va khilunga?
25 Kama asemavyo pia katika Hosea: “Nitawaita watu wangu ambao hawakuwa watu wangu, na mpendwa wake ambaye hakupendwa.
Nduvwichova khange khwa Hosea: “Nikhuvilanga avanu vango uvuvale savanu vangu nu ngane va mwene uvisakhe ngane.
26 Na itakuwa kwamba pale iliposemwa kwao, 'Ninyi si watu wangu,' pale wataitwa 'wana wa Mungu aliye hai.”'
Khange yayiva ukhuta pala upwa khanchovivivwe kuvene, 'Umwe samlivanu vango,' pala vikhilangiwa 'vana va Nguluve umwumi.'”
27 Isaya analia kuhusiana na Israeli, “Kama hesabu ya wana wa Israeli ingekuwa kama mchanga wa bahari, itakuwa ni masalia ambao wataokolewa.
Uyisaya ilila ukhukongano ni Israeli, “Ingave imbalilo ncha vana va Israeli ncha chivenchage ndu nganga ugwa nyanja, igiva gu melagalila legu giva masigalila uvu yavipokiwa.
28 Kwa kuwa Bwana atalichukua neno lake juu ya nchi, mapema na kwa utimilifu.
Ulwakhuva unkuludeva ayikulitola ilimenyu lya mwene pakhanya pakhilunga, khimbivi nu uvukwilanile.
29 Na kama jinsi Isaya alivyosema awali, “Kama Bwana wa majeshi hakutuachia nyuma uzao kwa ajili yetu, tungekuwa kama Sodoma, na tungefanywa kama Gomora.
Nduvu Isaya vu anchovile, “Ingave unkuludeva vavasikhali sa khatulekhe khunsana kwu khivumbukho kyito, tukhale twiva ndu Sodoma, na tuvombivwa nda Mgomora.
30 Tutasema nini basi? kwamba watu wa Mataifa ambao walikuwa hawatafuti haki, walipata haki, haki kwa imani.
twita khekhi lino? Ukhuta avanu va nkilunga uvu savalikhulonda uvwa yilweli, uvwa yilweli wa lwidincho.
31 Lakini Israeli, ambaye alitafuta sheria ya haki, hakuifikia.
Pwu lino unya Israeli, vyalikhulobda ululagilo lwe vwa yilweli sakhefikha.
32 Kwanini si hivyo? Kwa sababu hawakuitafuta kwa imani, bali kwa matendo. Walijikwaa juu ya jiwe la kujikwaa,
Khekhi sayikhale ivwo? Ulwakhuva savalikhu nu lwidikho, valikholonde kwu mbombo. Vakhi khuvancha pakyanya paliwe ilya kwi kuvancho,
33 kama ilivyo kwisha andikwa, “Tazama, nimelaza jiwe la kujikwaa katika Sayuni na mwamba wa kukosa. Yeye ambaye huamini katika hili hataaibika.”
Nduvuyivile yisimbiwe, “Lola, nivikhile ilivwe lya kwi kuvancha mSayuni nu umwene uviikhwidikha salasukha.”

< Warumi 9 >