< Warumi 9 >
1 Nasema ukweli katika Kristo. Sisemi uongo, na dhamira yangu hushuhudia pamoja nami katika Roho Mtakatifu,
Je parle en vérité, devant Christ, je ne mens point (ma conscience éclairée par l'Esprit saint me l'atteste)
2 kwamba kuna huzuni kubwa na maumivu yasiyo koma ndani ya moyo wangu.
en disant que j'éprouve une grande tristesse, une continuelle peine de coeur
3 Kwamba ningetamani mimi mwenyewe kulaaniwa na kutengwa mbali na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu, wale wa jamii yangu katika mwili.
et que je voudrais être anathème et séparé du Christ pour mes frères, pour ceux de ma race et de mon sang,
4 Wao ni Waisraeli. Walio na hali ya kufanyika watoto, wa utukufu, wa maagano, na zawadi ya sheria, kumwabudu Mungu, na ahadi.
je parle des Israélites qui ont eu le privilège de l'adoption, de la gloire promise, des alliances, de la législature, du vrai culte, des promesses,
5 Wao ni watangulizi ambako Kristo amekuja kwa heshima kuvaa mwili huu - ambaye yeye ni Mungu wa vyote. Naye asifiwe milele. Amina. (aiōn )
qui ont eu les patriarches et dont est sorti, selon la chair, le Christ qui est au-dessus de tous! (Dieu en soit éternellement béni! Amen.) (aiōn )
6 Lakini si kwamba ahadi za Mungu zimeshindwa kutimia. Maana si kila mtu aliye Israeli ni Mwiisraeli halisi.
Je ne veux cependant pas dire que Dieu ait manqué à ses promesses. Pour être issu d'Israël, on n'est pas toujours vrai Israélite;
7 Sivyo hata kwa uzao wa Abrahamu kuwa ni watoto wake halisi. Lakini, “ni kupitia Isaka uzao wako utaitwa.”
pour être de la race d'Abraham, on n'est pas toujours de ses vrais enfants, mais: «C'est d'après Isaac que ta race sera nommée.»
8 Hii ni kwamba, watoto wa mwili si watoto wa Mungu. Lakini watoto wa ahadi wanatazamwa kuwa kama uzao.
Cela signifie que les enfants par le sang ne sont pas nécessairement les enfants de Dieu, mais que ce sont les enfants par la promesse qui comptent comme la vraie race;
9 Maana hili ndilo neno la ahadi: “Katika majira haya nitakuja, na Sara atapewa mtoto.”
car c'est d'une promesse qu'il est question dans ce passage: «Vers ce temps-là je viendrai et Sarra aura un fils»;
10 Si hili tu, lakini baada ya Rebeka kupata mimba kwa mtu mmoja, Isaka baba yetu-
et ce n'est pas tout, il y a aussi Rébecca qui fut enceinte des oeuvres d'un seul homme, Isaac, notre père;
11 kwamba watoto walikuwa bado hawajazaliwa na alikuwa hajafanya jambo lolote zuri au baya, ili kwamba kusudi la Mungu kulingana na uchaguzi lisimame, wala si kwa matendo, lakini ni kwa sababu ya yule aitae.
eh bien, avant que ses jumeaux fussent nés, avant il, qu'ils eussent fait ni bien, ni mal, — pour que fut bien établi le décret de Dieu basé sur un choix qui ne dépend pas des oeuvres, mais uniquement de Celui qui appelle,
12 Ilinenwa kwake, “Mkubwa atamtumikia mdogo.”
— Rébecca apprit que «l'aîné servirait le plus jeune»,
13 Kama ilivyo kwisha andikwa: “Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia.”
car il est écrit: «J'ai aimé Jacob Et j'ai haï Ésaü.»
14 Basi tena tutasema nini? Je kuna udhalimu kwa Mungu? La hasha.
Que faut-il en conclure? qu'il y a de l'injustice en Dieu? c'est impossible,
15 Kwa kuwa anasema kwa Musa, “nitakuwa na rehema kwa yule nitakayemrehemu, na nitakuwa na huruma kwa yule nitakayemhurumia.”
puisqu'il dit à Moïse: «J'aurai pitié de celui dont il me plaira d'avoir pitié et j'aurai compassion de celui dont il me plaira d'avoir compassion.»
16 Kwa hiyo basi, si kwa sababu ya yeye atakaye, wala si kwa sababu ya yeye ambaye hukimbia, lakini kwa sababu ya Mungu, ambaye huonesha rehema.
Ainsi rien ne sert de vouloir et de s'agiter, c'est Dieu qui fait miséricorde.
17 Kwa kuwa maandiko husema kwa Farao, “Kwa kusudi hili maalumu nilikuinua, ili kwamba nioneshe nguvu zangu katika wewe, na ili kwamba jina langu litangazwe katika nchi yote.”
En effet, l'Écriture dit à Pharaon: «Voici pourquoi je t'ai suscité: Pour montrer en toi ma puissance et proclamer mon nom sur toute la terre.»
18 Hivyo basi, Mungu huwa na rehema kwa yeyote ampendaye, na kwa ambaye humpenda, humfanya kuwa mkaidi.
Ainsi, il a pitié de qui il veut, il endurcit qui il veut.
19 Kisha utasema kwangu, “Kwa nini bado anaona kosa? Ni yupi ambaye alikwisha kustahimili matakwa yake?”
Tu me diras alors: — pourquoi donc se plaint-il encore? qui donc peut résister à sa volonté? —
20 Kinyume chake, mwanadamu, wewe ni nani ujibue kinyume na Mungu? Kuna uwezekano wowote wa kilichofinyangwa kusema kwa mfinyanzi, “Kwanini ulinifanya hivi mimi?”
Mais toi, ô homme, qui es-tu donc pour discuter avec Dieu? Est-ce que le vase d'argile dit au potier: «Pourquoi m'as-tu fait ainsi?»
21 Je mfinyazi huwa hana haki juu ya udongo kutengeneza chombo kwa matumizi maalumu kutokana na bonge lile lile, na chombo kingine kwa matumizi ya kila siku?
Est-ce que le potier n'a pas le droit avec la même masse de terre de faire deux vases l'un pour un noble usage, l'autre pour un usage vulgaire?
22 Vipi kama Mungu, ambaye ana utayari wa kuonesha gadhabu yake na kufanya nguvu yake kujulikana, alistahimili kwa uvumilivu wa kutosha vyombo vya gadhabu vilivyoandaliwa kwa kuangamiza?
Et s'il plaît à Dieu de montrer sa colère et de faire connaître sa puissance! Et s'il a eu la grande patience de supporter des vases de colère fabriqués pour la perdition!
23 Vipi kama alifanya hivi ili kwamba aoneshe wingi wa utukufu wake juu ya vyombo vya rehema, ambavyo alikwisha kuviandaa kwa ajili ya utukufu?
Et si cela fait ressortir les richesses de sa gloire à l'égard des vases de miséricorde préparés d'avance pour la gloire!
24 Vipi kama alifanya hii pia kwetu, ambaye pia alituita, si tu kutoka kwa Wayahudi, lakini pia kutoka kwa watu wa Mataifa?
Je parle ici de nous qu'il a appelés et parmi les Juifs et même parmi les païens.
25 Kama asemavyo pia katika Hosea: “Nitawaita watu wangu ambao hawakuwa watu wangu, na mpendwa wake ambaye hakupendwa.
C'est ce qu'il dit dans Osée: «J'appellerai mon peuple celui qui n'était pas mon peuple, Et bien aimée celle qui n'était pas bien aimée.
26 Na itakuwa kwamba pale iliposemwa kwao, 'Ninyi si watu wangu,' pale wataitwa 'wana wa Mungu aliye hai.”'
Et là où on leur disait: Vous n'êtes pas mon peuple, On les appellera fils du Dieu vivant.»
27 Isaya analia kuhusiana na Israeli, “Kama hesabu ya wana wa Israeli ingekuwa kama mchanga wa bahari, itakuwa ni masalia ambao wataokolewa.
Ésaïe s'écrie aussi à propos d'Israël: «Quand le nombre des fils d'Israël serait comme le sable de la mer, Un petit reste seulement sera sauvé »,
28 Kwa kuwa Bwana atalichukua neno lake juu ya nchi, mapema na kwa utimilifu.
Car le Seigneur achèvera promptement d'exécuter sa sentence sur la terre;
29 Na kama jinsi Isaya alivyosema awali, “Kama Bwana wa majeshi hakutuachia nyuma uzao kwa ajili yetu, tungekuwa kama Sodoma, na tungefanywa kama Gomora.
Et comme l'avait déjà dit Ésaïe: «Si le Seigneur des armées ne nous avait laissé une postérité, Nous serions devenus comme Sodome, Nous aurions été semblables à Gomorrhe.»
30 Tutasema nini basi? kwamba watu wa Mataifa ambao walikuwa hawatafuti haki, walipata haki, haki kwa imani.
Que faut-il en conclure? que les païens qui ne cherchaient pas la justice ont obtenu la justice, celle qui vient de la foi;
31 Lakini Israeli, ambaye alitafuta sheria ya haki, hakuifikia.
et les Israélites qui cherchaient dans la Loi un principe de justice n'y sont pas arrivés;
32 Kwanini si hivyo? Kwa sababu hawakuitafuta kwa imani, bali kwa matendo. Walijikwaa juu ya jiwe la kujikwaa,
pourquoi donc? parce qu'ils ne le cherchaient pas par la foi, mais comme devant venir des oeuvres de la Loi; ils se sont heurtés à «la pierre d'achoppement»,
33 kama ilivyo kwisha andikwa, “Tazama, nimelaza jiwe la kujikwaa katika Sayuni na mwamba wa kukosa. Yeye ambaye huamini katika hili hataaibika.”
suivant ce mot de l'Écriture: «Voici je place en Sion une pierre d'achoppement, Une pierre qui fait tomber; Mais celui qui aura confiance en elle ne sera pas déçu.»