< Warumi 9 >

1 Nasema ukweli katika Kristo. Sisemi uongo, na dhamira yangu hushuhudia pamoja nami katika Roho Mtakatifu,
truth to say in/on/among Christ no to lie to testify with me the/this/who conscience me in/on/among spirit/breath: spirit holy
2 kwamba kuna huzuni kubwa na maumivu yasiyo koma ndani ya moyo wangu.
that/since: that grief me to be great and continuous anguish the/this/who heart me
3 Kwamba ningetamani mimi mwenyewe kulaaniwa na kutengwa mbali na Kristo kwa ajili ya ndugu zangu, wale wa jamii yangu katika mwili.
to pray/wish for for devoted to exist it/s/he I/we away from the/this/who Christ above/for the/this/who brother me the/this/who kindred me according to flesh
4 Wao ni Waisraeli. Walio na hali ya kufanyika watoto, wa utukufu, wa maagano, na zawadi ya sheria, kumwabudu Mungu, na ahadi.
who/which to be Israelite which the/this/who adoption (as son) and the/this/who glory and the/this/who covenant and the/this/who law and the/this/who ministry and the/this/who promise
5 Wao ni watangulizi ambako Kristo amekuja kwa heshima kuvaa mwili huu - ambaye yeye ni Mungu wa vyote. Naye asifiwe milele. Amina. (aiōn g165)
which the/this/who father and out from which the/this/who Christ the/this/who according to flesh the/this/who to be upon/to/against all God praiseworthy toward the/this/who an age: eternity amen (aiōn g165)
6 Lakini si kwamba ahadi za Mungu zimeshindwa kutimia. Maana si kila mtu aliye Israeli ni Mwiisraeli halisi.
no such as then that/since: that to fall out the/this/who word the/this/who God no for all the/this/who out from Israel this/he/she/it Israel
7 Sivyo hata kwa uzao wa Abrahamu kuwa ni watoto wake halisi. Lakini, “ni kupitia Isaka uzao wako utaitwa.”
nor that/since: since to be seed: offspring Abraham all child but in/on/among Isaac to call: name you seed: offspring
8 Hii ni kwamba, watoto wa mwili si watoto wa Mungu. Lakini watoto wa ahadi wanatazamwa kuwa kama uzao.
this/he/she/it to be no the/this/who child the/this/who flesh this/he/she/it child the/this/who God but the/this/who child the/this/who promise to count toward seed: offspring
9 Maana hili ndilo neno la ahadi: “Katika majira haya nitakuja, na Sara atapewa mtoto.”
promise for the/this/who word this/he/she/it according to the/this/who time/right time this/he/she/it to come/go and to be the/this/who Sarah son
10 Si hili tu, lakini baada ya Rebeka kupata mimba kwa mtu mmoja, Isaka baba yetu-
no alone then but and Rebekah out from one bed to have/be Isaac the/this/who father me
11 kwamba watoto walikuwa bado hawajazaliwa na alikuwa hajafanya jambo lolote zuri au baya, ili kwamba kusudi la Mungu kulingana na uchaguzi lisimame, wala si kwa matendo, lakini ni kwa sababu ya yule aitae.
not somehow for to beget nor to do/require one good or (evil *N(k)O*) in order that/to the/this/who according to selecting purpose the/this/who God to stay no out from work but out from the/this/who to call: call
12 Ilinenwa kwake, “Mkubwa atamtumikia mdogo.”
to say it/s/he that/since: that the/this/who great be a slave the/this/who lesser
13 Kama ilivyo kwisha andikwa: “Yakobo nilimpenda, lakini Esau nilimchukia.”
(as/just as *NK(o)*) to write the/this/who Jacob to love the/this/who then Esau to hate
14 Basi tena tutasema nini? Je kuna udhalimu kwa Mungu? La hasha.
which? therefore/then to say not unrighteousness from/with/beside the/this/who God not to be
15 Kwa kuwa anasema kwa Musa, “nitakuwa na rehema kwa yule nitakayemrehemu, na nitakuwa na huruma kwa yule nitakayemhurumia.”
the/this/who Moses for to say to have mercy which if to have mercy and to have compassion which if to have compassion
16 Kwa hiyo basi, si kwa sababu ya yeye atakaye, wala si kwa sababu ya yeye ambaye hukimbia, lakini kwa sababu ya Mungu, ambaye huonesha rehema.
therefore therefore/then no the/this/who to will/desire nor the/this/who to run but the/this/who to have mercy God
17 Kwa kuwa maandiko husema kwa Farao, “Kwa kusudi hili maalumu nilikuinua, ili kwamba nioneshe nguvu zangu katika wewe, na ili kwamba jina langu litangazwe katika nchi yote.”
to say for the/this/who a writing the/this/who Pharaoh that/since: that toward it/s/he this/he/she/it to raise you that to show in/on/among you the/this/who power me and that to proclaim the/this/who name me in/on/among all the/this/who earth: planet
18 Hivyo basi, Mungu huwa na rehema kwa yeyote ampendaye, na kwa ambaye humpenda, humfanya kuwa mkaidi.
therefore therefore/then which to will/desire to have mercy which then to will/desire to harden
19 Kisha utasema kwangu, “Kwa nini bado anaona kosa? Ni yupi ambaye alikwisha kustahimili matakwa yake?”
to say me therefore/then which? (therefore/then *NO*) still to blame the/this/who for plan it/s/he which? to oppose
20 Kinyume chake, mwanadamu, wewe ni nani ujibue kinyume na Mungu? Kuna uwezekano wowote wa kilichofinyangwa kusema kwa mfinyanzi, “Kwanini ulinifanya hivi mimi?”
oh! a human rather you which? to be the/this/who to contradict the/this/who God not to say the/this/who formed thing the/this/who to mold which? me to do/make: make thus(-ly)
21 Je mfinyazi huwa hana haki juu ya udongo kutengeneza chombo kwa matumizi maalumu kutokana na bonge lile lile, na chombo kingine kwa matumizi ya kila siku?
or no to have/be authority the/this/who potter the/this/who clay out from the/this/who it/s/he lump to do/make: do which on the other hand toward honor vessel which then toward dishonour
22 Vipi kama Mungu, ambaye ana utayari wa kuonesha gadhabu yake na kufanya nguvu yake kujulikana, alistahimili kwa uvumilivu wa kutosha vyombo vya gadhabu vilivyoandaliwa kwa kuangamiza?
if then to will/desire the/this/who God to show the/this/who wrath and to make known the/this/who able it/s/he to bear/lead in/on/among much patience vessel wrath to complete toward destruction
23 Vipi kama alifanya hivi ili kwamba aoneshe wingi wa utukufu wake juu ya vyombo vya rehema, ambavyo alikwisha kuviandaa kwa ajili ya utukufu?
and in order that/to to make known the/this/who riches the/this/who glory it/s/he upon/to/against vessel mercy which to prepare toward glory
24 Vipi kama alifanya hii pia kwetu, ambaye pia alituita, si tu kutoka kwa Wayahudi, lakini pia kutoka kwa watu wa Mataifa?
which and to call: call me no alone out from Jew but and out from Gentiles
25 Kama asemavyo pia katika Hosea: “Nitawaita watu wangu ambao hawakuwa watu wangu, na mpendwa wake ambaye hakupendwa.
as/when and in/on/among the/this/who Hosea to say to call: call the/this/who no a people me a people me and the/this/who no to love to love
26 Na itakuwa kwamba pale iliposemwa kwao, 'Ninyi si watu wangu,' pale wataitwa 'wana wa Mungu aliye hai.”'
and to be in/on/among the/this/who place whither to say it/s/he no a people me you there to call: call son God to live
27 Isaya analia kuhusiana na Israeli, “Kama hesabu ya wana wa Israeli ingekuwa kama mchanga wa bahari, itakuwa ni masalia ambao wataokolewa.
Isaiah then to cry above/for the/this/who Israel if to be the/this/who number the/this/who son Israel as/when the/this/who sand the/this/who sea the/this/who (a vestige *N(k)O*) to save
28 Kwa kuwa Bwana atalichukua neno lake juu ya nchi, mapema na kwa utimilifu.
word for to complete and to cut short (in/on/among righteousness that/since: since word to cut short *K*) to do/make: do lord: God upon/to/against the/this/who earth: planet
29 Na kama jinsi Isaya alivyosema awali, “Kama Bwana wa majeshi hakutuachia nyuma uzao kwa ajili yetu, tungekuwa kama Sodoma, na tungefanywa kama Gomora.
and as/just as to predict Isaiah if: not not lord: God hosts to leave behind me seed: offspring as/when Sodom if to be and as/when Gomorrah if to liken
30 Tutasema nini basi? kwamba watu wa Mataifa ambao walikuwa hawatafuti haki, walipata haki, haki kwa imani.
which? therefore/then to say that/since: that Gentiles the/this/who not to pursue righteousness to grasp righteousness righteousness then the/this/who out from faith
31 Lakini Israeli, ambaye alitafuta sheria ya haki, hakuifikia.
Israel then to pursue law righteousness toward law (righteousness *k*) no to precede/arrive
32 Kwanini si hivyo? Kwa sababu hawakuitafuta kwa imani, bali kwa matendo. Walijikwaa juu ya jiwe la kujikwaa,
through/because of which? that/since: since no out from faith but as/when out from work (law *K*) to strike (for *k*) the/this/who stone the/this/who stumbling block
33 kama ilivyo kwisha andikwa, “Tazama, nimelaza jiwe la kujikwaa katika Sayuni na mwamba wa kukosa. Yeye ambaye huamini katika hili hataaibika.”
as/just as to write look! to place in/on/among Zion stone stumbling block and rock stumbling block and (all *K*) the/this/who to trust (in) upon/to/against it/s/he no to dishonor

< Warumi 9 >