< Warumi 7 >

1 Au hamjui, ndugu zangu (kwa kuwa naongea na watu wanaoijua sheria), kwamba sheria humtawala mtu anapokuwa hai?
Au mutangite kwako, (kwa kuwa nikoya na babatangite seliya), kwa kuwa seliya itawala mundu yes bile mwomi?
2 Kwa maana mwanamke aliyeolewa amefungwa na sheria kwa yule mme wake anapokuwa hai, lakini ikiwa mme wake atakufa, atakuwa amewekwa huru kutoka sheria ya ndoa.
Mana ajwo nwawa jwakondeke atabilwe na seliya kwa another nchengowe mana abile nkoti, ili mene ayomwike mene awile, alowa panga mutabilwe ya seliya ya ndoa.
3 Hivyo basi, wakati mme wake angali akiishi, ikiwa anaishi na mwanamme mwingine, ataitwa mzinzi. Lakini ikiwa mme wake akifa, yuko huru dhidi ya sheria, hivyo hatakuwa mzinzi ikiwa anaishi na mwanamme mwingine.
Tumbwe kae, wakati about asengo babe babi aomi, mene itei atama na nalume jwembe akemelwa mmalaya. Ila mene abo asengo babe bawile, nai lusa kwa seliya, hapo apangali mmalaya, mene itei akonda kwa nnalume ywenge.
4 Kwa hiyo, ndugu zangu, ninyi pia mlifanywa wafu kwa sheria kwa njia ya mwili wa Kristo. Imekuwa hivi ili mpate kuunganishwa na mwingine, kwake yeye ambaye alifufuliwa kutoka wafu ili tuweze kumzalia Mungu matunda.
kwa-nyo, mwalongo bango, mwapangilwe maiti kwa seliya kwa ndila ya yega ya Kirisitu. Ibile nyoo lenga mupale unganishwa na jwenge kwa ywembe jwa fufuliwe buka kiwo lenga tuweze ku-papya Nnongo matunda.
5 Kwa maana tulipokuwa katika hali ya mwili, tamaa za dhambi ziliamshwa katika viungo vyetu kwa njia ya sheria na kuizalia mauti matunda.
Mana patwabile haya payiga nkati ya mwili, tamaa ya sambi yatijumukilwa muiungo yoti kwa ndila ya seliya na kwipapya maiti matunda.
6 Lakini sasa tumefunguliwa kutoka katika sheria. Tumeifia ile hali iliyotupinga. Ili sisi tupate kutumika katika hali mpya ya Roho, na si katika hali ya zamani ya andiko.
Ila saa yeno tuyong'olilwe buku mu seliya. Tuweli mulo hali yayatupingite. Lenga twenga tupate tumika mu hali yayambe ya Roho, nasi hali ya zamani ya andiko.
7 Tusemeje basi? Sheria ni dhambi? La hasha. Hata hivyo, nisingelitambua dhambi, isingelikuwa kwa njia ya sheria. Kwa kuwa nisingelijua kutamani kama sheria isingelisema, “Usitamani.”
Tulongele buli? seliya sambi? Ataa, Alanyo, mbele kwitangalii sambi, ila kwa ndela ya seliya. Kwa kuwa mbele tangalii tamaniya bila seliya ika kotoka baya, “Uneutamani”.
8 Lakini dhambi ilipata nafasi kwa ile amri na ikaleta ndani yangu kila aina ya kutamani. Kwa maana dhambi pasipo sheria imekufa.
Lakini sambi yapatike nafasi kwa yelu amri ni takatifu ya haki na ukoto.
9 Nami nilikuwa hai hapo kwanza bila sheria, lakini ilipokuja ile amri, dhambi ilipata uhai, nami nikafa.
Nanenga nabi na koti hapo zamani bila seliya, lakini payaichi yelu amri, sambi yapatike ngupu, na nenga nganawile.
10 Ile amri na ambayo ingelileta uzima iligeuka kuwa mauti kwangu.
Yelo amri ye peleleta ukoto yatigalambuka yabi kiwo kasango.
11 Kwa maana dhambi ilipata nafasi kwa ile amri na ikanidanganya. Kupitia ile amri, iliniua.
Kwa mana sambi yapatike nafasi kwa yelu amri na yatigonga pitya mulo mu'amri yatimbulaga.
12 Hivyo sheria ni takatifu, na ile amri ni takatifu, ya yaki, na njema.
Kumbe seliya takatifu, na yelo amri nembe takatifu, ya haki, na ukoto.
13 Hivyo basi ile iliyo njema ilikuwa mauti kwangu mimi? Isiwe hivyo kamwe. Lakini dhambi, ili ionekane kuwa ni dhambi hasa kupitia ile njema, ilileta mauti ndani yangu. Hii ilikuwa ili kwamba kupitia ile amri, dhambi izidi kuwa mbaya mno.
Kumbe iyo ya ibele ya ukoto yabile ya kiwo kasango nenga kana ibe nyoo kabisa. Lakini sambi, yabonekine panga sambi hasa pitya kwa yalo njema, yaileta kiwo ngati yango. Ayee yabile pitya kwa yelo amri, sambi kene ya pange mbaya muno.
14 Kwa maana twajua ya kuwa sheria asili yake ni ya rohoni, lakini mimi ni mtu wa mwilini. Nimeuzwa chini ya utumwa wa dhambi.
Mana tutangite panga seliya tubwa kwake ni ya mwoyo, lakini nenga na mundu wa payenga, mpemejilwe pa'e ya utumwa wa sambi.
15 Maana nifanyalo, silielewi dhahiri. Kwa kuwa lile nilipendalo kutenda, silitendi, na lile nilichukialo, ndilo ninalolitenda.
Mana lanilipanga nilitangite-lii kabisa, mana lelo lyanipendile kulipanga-kwako na lyanichukya, nganilipanga.
16 Lakini kama nikilitenda lile nisilolipenda, nakubaliana na sheria ya kuwa sheria ni njema.
Lakini mana nilipangite lelo lyanikotwike kulipenda, seliya yenda kuniyeketya yo panga seliya ni nkoto.
17 Lakini sasa si mimi nafsi yangu ninayetenda hilo, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.
Ila nenga lili nafsi yango yanipangalyo, ila yelo sambi yaitama nkati yango.
18 Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani ndani ya mwili wangu, halikai jambo jema. Kwa kuwa tamaa ya lililo jema imo ndani yangu, lakini silitendi.
Kwa Mana ndangite nkati yango, yani, nkati ya payenga yango, litama kwako likowe linanoga. kwa kuwa tamaniya kwa linanoga ibi kati yango, ila nipanga-lii.
19 Kwa maana lile jema nilipendalo silitendi, bali lile ovu nisilolipenda ndilo nilitendalo.
Kwa maana lelo linanoga lyanilipendile nilipanga kwako, ila lelo libaya lyangotwike kulipenda ngalyo ndenda.
20 Sasa kama natenda lile nisilolipenda, si mimi binafsi nilitendaye, bali ni ile dhambi ikaayo ndani yangu.
Tubwe Mana kandenda lelo lyangotwike kulipenda si nenga kiyango nganipanga, kumbe yelo sambi yango yaitama nkati yango.
21 Nimefahama, tena, imo kanuni ndani yangu ya kutaka kutenda lililo jema, lakini uovu hakika umo ndani yangu.
Ndangite ibile haki ngati yango yaipala panga lyalibile lizuri, lakini ubaya ubile nkati yango.
22 Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani.
Mana Nenda kuipulaikya seliya ya Nnongo kwa mundu jwa nkati.
23 Lakini naona kanuni iliyo tofauti katika viungo vya mwili wangu. Inapiga vita dhidi ya kanuni mpya katika akili zangu. Inanifanya mimi mateka kwa kanuni ya dhambi iliyo katika viungo vya mwili wangu.
Lakini mbona tofauti nkati ya viungo ya yega yango. Ingawa kwina ngonda juyo kanuni ya yambi na mulunda lyango.
24 Mimi ni mtu wa huzuni! Ni nani atakayeniokoa na mwili huu wa mauti?
Need na mundu wene uruma! nyai jwaweza kunilopwa yega ya kiwo?
25 Lakini shukrani kwa Mungu kwa Yesu Kristo Bwana wetu! Hivyo basi. Mimi mwenyewe kwa akili zangu naitumikia sheria ya Mungu. Bali, kwa mwili naitumikia kanuni ya dhambi.
Lakini ni shukuru Nnongo na Yesu Kirisitu Nngwana witu! Nga-nyo. Nenga na mwene kwa akili yango nitumikiya seliya ya Nnongo. Ila kwa yenga nitumikiya kanuni ya sambi.

< Warumi 7 >