< Warumi 6 >
1 Tuseme nini basi? Tuendelee katika dhambi ili neema iongezeke?
Bhai tujile bhuli? Tupunde kutenda yambi, nkupinga nema ja a Nnungu jipunde jenjesheka?
2 La hasha. Sisi tuliokufa katika dhambi, tunawezaje tena kuishi katika hiyo?
Ng'oo, wala kashoko! Uwe ga yambi iilu yetu iiwilile, shitupunde bhuli kabhili kutama na yambi?
3 Je hamjui ya kuwa wale waliobatizwa katika Kristo walibatizwa katika mauti yake?
Eu, nkakumumanyanga kuti uwe tubhatishwe na lundana na a Yeshu Kilishitu, nneila peila tushilundanywa nshiwo shabho?
4 Tulikuwa tumezikwa pamoja naye kupitia ubatizo katika kifo. Hii ilifanyika ili kwamba kama vile Kristo alivyoinuliwa kutoka mauti kupitia utukufu wa Baba, ili kwamba nasi tuweze kutembea katika upya wa maisha.
Bhai putwabhatishwe twashinkulundana nabho, gutushishilwe pamo na bhenebho, nkupinga malinga a Kilishitu pubhayushiywe kwa ukonjelo gwa Atati, nneyo peyo na uwe tutame nndamo ja ambi.
5 Maana ikiwa tumeunganishwa pamoja naye katika mfano wa kifo chake, pia tutaunganishwa katika ufufuo wake.
Pabha, malinga shitulundene nabho nkuwa malinga bhenebho, nneyo peyo shitulundane nabho kwa yuka, malinga bhenebho.
6 Sisi tunajua hivi, utu wetu wa zamani ulisulubiwa pamoja naye, ili kwamba mwili wa dhambi uharibiwe. Hii ilitokea ili kwamba tusiendelee kuwa watumwa wa dhambi.
Tumumanyi kuti nkubho gwetu gwa bhukala gwa tenda yambi, gwashinkukomelwa munshalabha pamo na bhenebho, nkupinga tunapunde kubha bhatumwa bha yambi, nkupinga maisha getu ga bhukala ga shambi gapele.
7 Yeye aliyekufa amefanywa mwenye haki kulingana na dhambi.
Pabha aiwilile ga yambi, ashitendwa nngwana niembuywa na yambi.
8 Lakini kama tumekufa pamoja na Kristo, tunaamini kwamba tutaishi pamoja naye pia.
Bhai monaga tuwile pamo na a Kilishitu, tunakulupalila kuti, shitutame pamo na bhenebho.
9 Tunajua kwamba Kristo amefufuliwa kutoka katika wafu, na kwamba si mfu tena. Kifo hakimtawali tena.
Pabha tumumanyi kuti a Kilishitu bhakayusheje, bhakawa kabhili.
10 Maana kwa habari ya kifo alichokufa kwa dhambi, alikufa mara moja kwa ajili ya wote. Hata hivyo, maisha anayoishi, anaishi kwa ajili ya Mungu.
Pabha kuwa kwabho kula, bhashinkuwila yambi kamope, na nnaino tama kwabho, bhanatama pamo na a Nnungu.
11 Kwa njia iyo hiyo, nanyi pia mnapaswa kujihesabu kuwa wafu katika dhambi, bali hai kwa Mungu katika Kristo Yesu.
Nneyo peyo na mmanganyanji mwiibhikanje mbuti bhaiwililenje bhakaatendanga yambi, ikabhe bhabhakotonji kwa lundana na a Nnungu kupitila a Yeshu Kilishitu.
12 Kwa sababu hiyo usiruhusu dhambi itawale mwili wako ili kusudi uweze kuzitii tamaa zake.
Bhai yambi inatagwale iilu yenunji ya wai, mpaka nikagula ilokoli yakwe.
13 Usitoe sehemu za mwili wako katika dhambi kama vyombo visivyo na haki, bali jitoeni wenyewe kwa Mungu, kama walio hai kutoka mautini. Na zitoeni sehemu za miili yenu kama vyombo vya haki kwa Mungu.
Wala nnalekanje iilu yenunji kutenda yambi, ikabhe mwiishoyanje kwa a Nnungu malinga bhandu bhayushilenje, mwiishoyanje kwa a Nnungu kwa itendi ya aki.
14 Msiiruhusu dhambi iwatawale. Kwa kuwa hamko chini ya sheria, bali chini ya neema.
Numbe yambi ikantagwalanga kabhili, pabha munninginji nngabha nkulongoywa na shalia ja a Musha, ikabhe kwa nema ja a Nnungu.
15 Nini basi? Tutende dhambi kwa kuwa hatupo chini ya sheria, bali chini ya neema? La hasha.
Bhai, tujile bhuli? Tutende yambi pabha tukaukumulwa na shalia ja a Musha, ikabhe kwa nema? Ng'oo!
16 Hamjui ya kuwa kwake yeye ambaye mnajitoa wenyewe kama watumishi ndiye ambaye ninyi mnakuwa watumishi wake, yeye mnayepaswa kumtii? Hii ni kweli hata kama ninyi ni watumwa katika dhambi ambayo inapelekea mauti, au watumwa wa utii unaopelekea haki.
Bhuli nkakumumanyanga kuti, punkwiibhikanga malinga utumwa kuka mundu nikunkunda, mmangangaga bhatumwa bha yambi mpelo gwake ni kuwa, mmangangaga bhatumwa bha kwaakunda a Nnungu, mpelo gwakwe aki.
17 Lakini ashukuriwe Mungu! Kwa kuwa mlikuwa watumwa wa dhambi, lakini mmetii kutoka moyoni ile namna ya fundisho mliopewa.
Ikabheje bhatendelwe eja a Nnungu, nkali mwalinginji bhatumwa bha yambi, nshikundanga kwa mitima jenunji jowe majiganyo gumwajigenywenje.
18 Mmefanywa huru kutoka kwenye dhambi, na mmefanywa watumwa wa haki.
Gunngombolwenje kopoka kuutumwa gwa yambi, nibhanganga bhatumwa bha aki.
19 Ninazungumza kama mtu kwa sababu ya madhaifu ya miili yenu. Kwa maana kama vile mlivyotoa viungo vya miili yenu kuwa watumwa kwa uchafu na uovu, kwa jinsi iyo hiyo, sasa toeni viungo vya miili yenu kuwa watumwa wa haki kwa utakaso.
Ngunabheleketa shigundu kwa ligongo lya ungashimilika gwenunji. Malinga shimwaishoshiyenje ibhalo yenunji muitendi ya utumwa na ya nyata na yambi gumwinyatiyenje, nneyo peyo, nnaino mwiishoyanje ibhalo yenunji muutumwa gwa tenda aki muukonjelo.
20 Kwa kuwa mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa huru mbali na haki.
Pumwalinginji bhatumwa bha yambi, aki jikantagwalangaga.
21 Kwa wakati huo, mlikuwa na tunda lipi kwa mambo ambayo kwa sasa mnaona aibu kwayo? Kwa kuwa matokeo ya mambo hayo ni kifo.
Mwapatilenjeje nndi, kwa itendi yenunji ya bhukala inkwiibhonelanga oni nnaino? Pabha mpelo gwa yeneyo kuwa.
22 Lakini kwa kuwa sasa mmefanywa huru mbali na dhambi na mmefanyika watumwa kwa Mungu, mna tunda kwa ajili ya utakaso. Tokeo ni uzima wa milele. (aiōnios )
Ikabheje nnaino, nngombolwenje kopoka kuutumwa gwa yambi, nitendwa bhatumwa bha a Nnungu, nkwetenje pwaida ja ukonjelo, na mpelo gwakwe gumi gwa pitipiti. (aiōnios )
23 Kwa kuwa mshahara wa dhambi ni mauti, bali zawadi ya bure ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōnios )
Pabha nshaala gwa yambi kuwa, ikabheje upo ibhashoya a Nnungu, gumi gwa pitipiti nkulundana na a Yeshu Kilishitu, Bhakulungwa bhetu. (aiōnios )