< Warumi 6 >

1 Tuseme nini basi? Tuendelee katika dhambi ili neema iongezeke?
Co z toho plyne pro nás? Že máme setrvávat v hříchu, abychom mu dali příležitost udělit nám ještě větší milost?
2 La hasha. Sisi tuliokufa katika dhambi, tunawezaje tena kuishi katika hiyo?
Ovšemže ne! Náš dřívější bezbožný život přece již zanikl, jak by mohl ještě pokračovat?
3 Je hamjui ya kuwa wale waliobatizwa katika Kristo walibatizwa katika mauti yake?
Kdo se bytostně spojil s Kristem, má účast jak na jeho životě, tak hlavně na jeho smrti,
4 Tulikuwa tumezikwa pamoja naye kupitia ubatizo katika kifo. Hii ilifanyika ili kwamba kama vile Kristo alivyoinuliwa kutoka mauti kupitia utukufu wa Baba, ili kwamba nasi tuweze kutembea katika upya wa maisha.
jak vyznáváme ponořením do vody při křtu; vždyť je to výraz definitivního rozchodu s dřívějším životem. Současně však jako za Kristovou smrtí následovalo vzkříšení – je to počátek úplně nového života, nové existence.
5 Maana ikiwa tumeunganishwa pamoja naye katika mfano wa kifo chake, pia tutaunganishwa katika ufufuo wake.
6 Sisi tunajua hivi, utu wetu wa zamani ulisulubiwa pamoja naye, ili kwamba mwili wa dhambi uharibiwe. Hii ilitokea ili kwamba tusiendelee kuwa watumwa wa dhambi.
Víme přece, že naše dřívější „já“bylo ukřižováno s Kristem. Aby se vymanilo z nadvlády zla, muselo zemřít, protože jen mrtvý je mimo jeho dosah.
7 Yeye aliyekufa amefanywa mwenye haki kulingana na dhambi.
8 Lakini kama tumekufa pamoja na Kristo, tunaamini kwamba tutaishi pamoja naye pia.
Když jsme tedy své „já“nechali s Kristem zemřít, musí teď být na nás vidět, že žijeme docela jiný život.
9 Tunajua kwamba Kristo amefufuliwa kutoka katika wafu, na kwamba si mfu tena. Kifo hakimtawali tena.
10 Maana kwa habari ya kifo alichokufa kwa dhambi, alikufa mara moja kwa ajili ya wote. Hata hivyo, maisha anayoishi, anaishi kwa ajili ya Mungu.
Kristus zemřel proto, aby jednou provždy zničil zlo, jímž člověk dává smrti právo nad sebou. Když potom vstal z mrtvých, je už smrt proti němu bezmocná, na jeho život má nárok pouze Bůh.
11 Kwa njia iyo hiyo, nanyi pia mnapaswa kujihesabu kuwa wafu katika dhambi, bali hai kwa Mungu katika Kristo Yesu.
I vy tedy – jestliže jste zemřeli hříchu a jste spojeni s Ježíšem Kristem – se zlem teď nemáte nic společného a váš život patří jedině Bohu.
12 Kwa sababu hiyo usiruhusu dhambi itawale mwili wako ili kusudi uweze kuzitii tamaa zake.
Zlo už nesmí nabýt vrchu ve vašem jednání.
13 Usitoe sehemu za mwili wako katika dhambi kama vyombo visivyo na haki, bali jitoeni wenyewe kwa Mungu, kama walio hai kutoka mautini. Na zitoeni sehemu za miili yenu kama vyombo vya haki kwa Mungu.
Nestůjte znovu v jeho službách, ale dejte se plně k dispozici Bohu, aby vás mohl užívat jako své nástroje v šíření dobra.
14 Msiiruhusu dhambi iwatawale. Kwa kuwa hamko chini ya sheria, bali chini ya neema.
Ne už zákon, nýbrž Boží slitování nás zavazuje k dokonalému životu!
15 Nini basi? Tutende dhambi kwa kuwa hatupo chini ya sheria, bali chini ya neema? La hasha.
To ovšem neznamená, že bychom si nyní mohli dovolit cokoliv.
16 Hamjui ya kuwa kwake yeye ambaye mnajitoa wenyewe kama watumishi ndiye ambaye ninyi mnakuwa watumishi wake, yeye mnayepaswa kumtii? Hii ni kweli hata kama ninyi ni watumwa katika dhambi ambayo inapelekea mauti, au watumwa wa utii unaopelekea haki.
Komu se totiž dáváme do služeb, tomu jsme zavázáni poslušností. Povolíme-li zlu, stane se naším pánem a to vede ke smrti; anebo budeme poslouchat Boha – a pak budeme žít bezhříšně.
17 Lakini ashukuriwe Mungu! Kwa kuwa mlikuwa watumwa wa dhambi, lakini mmetii kutoka moyoni ile namna ya fundisho mliopewa.
Bohu díky za to, že vy jste byli vysvobozeni z nevolnictví zla, když jste se přiklonili ke Kristovu učení a rozhodli se žít bezúhonně.
18 Mmefanywa huru kutoka kwenye dhambi, na mmefanywa watumwa wa haki.
19 Ninazungumza kama mtu kwa sababu ya madhaifu ya miili yenu. Kwa maana kama vile mlivyotoa viungo vya miili yenu kuwa watumwa kwa uchafu na uovu, kwa jinsi iyo hiyo, sasa toeni viungo vya miili yenu kuwa watumwa wa haki kwa utakaso.
Přiblížím vám to ještě jinak: kdysi jste své tělo propůjčovali pochybným požitkům a nevázaným zábavám, takže jste žili nezřízeně. Teď se tedy celou svou osobností oddávejte novému bezúhonnému životu, který by nehyzdila žádná skvrna.
20 Kwa kuwa mlipokuwa watumwa wa dhambi, mlikuwa huru mbali na haki.
Dokud jste se řídili svými choutkami, byly vám nějaké mravní požadavky docela lhostejné.
21 Kwa wakati huo, mlikuwa na tunda lipi kwa mambo ambayo kwa sasa mnaona aibu kwayo? Kwa kuwa matokeo ya mambo hayo ni kifo.
Teď se za to stydíte, a co jste z toho měli tenkrát? Stejně to vše končí smrtí.
22 Lakini kwa kuwa sasa mmefanywa huru mbali na dhambi na mmefanyika watumwa kwa Mungu, mna tunda kwa ajili ya utakaso. Tokeo ni uzima wa milele. (aiōnios g166)
Teď jste však vůči zlu svobodni a dali jste se do Božích služeb. A co z toho máte? Život bez poskvrny už v přítomnosti a život věčný před sebou. (aiōnios g166)
23 Kwa kuwa mshahara wa dhambi ni mauti, bali zawadi ya bure ya Mungu ni uzima wa milele katika Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōnios g166)
Hřích dává svou odplatu – smrt; Bůh dává jako projev své milosti věčný život. Získáváme ho prostřednictvím našeho Pána, Ježíše Krista. (aiōnios g166)

< Warumi 6 >