< Warumi 5 >

1 Kwa kuwa tumehesabiwa haki kwa njia ya imani, tuna amani na Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Będąc tedy usprawiedliwieni z wiary, pokój mamy z Bogiem przez Pana naszego Jezusa Chrystusa;
2 Kupitia yeye sisi pia tuna fursa kwa njia ya imani katika neema hii ambayo ndani yake tunasimama. Tunafurahi katika ujasiri atupao Mungu kwa ajili ya baadaye, ujasiri ambao tutashiriki katika utukufu wa Mungu.
Przez któregośmy też przystęp otrzymali wiarą ku łasce, w której stoimy i chlubimy się nadzieją chwały Bożej.
3 Siyo hili tu, lakini pia tunafurahi katika mateso yetu. Tunajua kwamba mateso huzaa uvumilivu.
A nie tylko to, ale się też chlubimy z ucisków, wiedząc, iż ucisk cierpliwość sprawuje,
4 Uvumilivu huzaa kukubalika, na kukubalika huzaa ujasiri kwa ajili ya baadaye.
A cierpliwość doświadczenie, a doświadczenie nadzieję,
5 Ujasiri huu haukatishi tamaa, kwa sababu upendo wa Mungu umemwagwa katika mioyo yetu kupitia Roho Mtakatifu, ambaye alitolewa kwetu.
A nadzieja nie pohańbia, przeto iż miłość Boża rozlana jest w sercach naszych przez Ducha Świętego, który nam jest dany.
6 Kwa tulipokuwa tungali tu dhaifu, kwa wakati muafaka Kristo alikufa kwa ajili ya waovu.
Albowiem Chrystus, gdy jeszcze byliśmy mdłymi, według czasu umarł za niepobożne.
7 Kwa kuwa itakuwa vigumu mmoja kufa kwa ajili ya mtu mwenye haki. Hii ni kwamba, pengine mtu angethubutu kufa kwa ajili ya mtu mwema.
Choć ledwie by kto umarł za sprawiedliwego; wszakże za dobrego snaćby się kto umrzeć ważył.
8 Lakini Mungu amehakikisha upendo wake mwenyewe kwetu, kwa sababu wakati tulipokuwa tungali wenye dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu.
Lecz zaleca Bóg miłość swoję ku nam, że gdy jeszcze byliśmy grzesznymi, Chrystus za nas umarł.
9 Kisha zaidi ya yote, sasa kwa kuwa tumehesabiwa haki kwa damu yake, tutaokolewa kwa hiyo kutoka katika gadhabu ya Mungu.
Daleko tedy więcej teraz usprawiedliwieni będąc krwią jego, zachowani będziemy przez niego od gniewu.
10 Kwa kuwa, ikiwa wakati tulipokuwa maadui, tulipatanishwa na Mungu kwa njia ya kifo cha mwanae, zaidi sana, baada ya kuwa tumekwisha patanishwa, tutaokolewa kwa maisha yake.
Bo jeźliże będąc nieprzyjaciołmi, pojednaniśmy z Bogiem przez śmierć Syna jego; daleko więcej będąc pojednani, zachowani będziemy przez żywot jego.
11 Siyo hivi tu, bali pia tunafurahi katika Mungu kupitia Bwana Yesu Kristo, kupitia yeye ambaye sasa tumepokea upatanisho huu.
A nie tylko to, ale się też chlubimy Bogiem przez Pana naszego Jezusa Chrystusa, przez któregośmy teraz pojednanie otrzymali.
12 Kwa hiyo basi, kama kupitia mtu mmoja dhambi iliingia duniani, kwa njia hii kifo kiliingia kwa njia ya dhambi. Na kifo kikasambaa kwa watu wote, kwa sababu wote walifanya dhambi.
Przetoż jako przez jednego człowieka grzech wszedł na świat, a przez grzech śmierć; tak też na wszystkich ludzi śmierć przyszła, ponieważ wszyscy zgrzeszyli.
13 Kwa kuwa hadi sheria, dhambi ilikuwa duniani, lakini dhambi haihesabiki wakati hakuna sheria.
Albowiem aż do zakonu grzech był na świecie; ale grzech nie bywa przyczytany, gdy zakonu nie masz.
14 Hata hivyo, kifo kilitawala kutoka Adamu hadi Musa, hata juu ya wale ambao hawakufanya dhambi kama kutotii kwa Adamu, ambaye ni mfano wa yeye ambaye angekuja.
Lecz śmierć królowała od Adama aż do Mojżesza i nad tymi, którzy nie zgrzeszyli, na podobieństwo przestępstwa Adamowego, który jest wzorem onego, który miał przyjść.
15 Lakini hata hivyo, zawadi ya bure si kama kosa. Kwa kuwa ikiwa kwa kosa la mmoja wengi walikufa, zaidi sana neema ya Mungu na zawadi kwa neema ya mtu mmoja, Yesu Kristo, imezidi kuongezeka kwa wengi.
Ale nie jako upadek, tak i dar z łaski; albowiem jeźli przez upadek jednego wiele ich pomarło, daleko więcej łaska Boża i dar z łaski onego jednego człowieka Jezusa Chrystusa na wiele ich opływała.
16 Kwa kuwa zawadi si kama matokeo ya yule ambaye alifanya dhambi. Kwa kuwa kwa upande mwingine, hukumu ya adhabu ilikuja kwa sababu ya kosa la mtu mmoja. Lakini kwa upande mwingine, kipawa cha bure kinachotoka katika kuhesabiwa haki kilikuja baada ya makosa mengi.
A dar nie jest taki, jako to, co przyszło przez jednego, który zgrzeszył. Albowiem wina jest z jednego upadku ku potępieniu, ale dar z łaski z wielu upadków ku usprawiedliwieniu.
17 Kwa maana, ikiwa kwa kosa la mmoja, kifo kilitawala kupitia mmoja, zaidi sana wale ambao watapokea neema nyingi pamoja na kipawa cha haki watatawala kupitia maisha ya mmoja, Yesu Kristo.
Albowiem jeźli dla jednego upadku śmierć królowała przez jednego, daleko więcej, którzy obfitość onej łaski i dar sprawiedliwości przyjmują, w żywocie królować będą przez tegoż jednego Jezusa Chrystusa.
18 Hivyo basi, kama kupitia kosa moja watu wote walikuja kwenye hukumu, ingawa kupitia tendo moja la haki kulikuja kuhesabiwa haki ya maisha kwa watu wote.
Przetoż tedy jako przez jednego upadek na wszystkich ludzi przyszła wina ku potępieniu; tak też przez jednego usprawiedliwienie na wszystkich ludzi przyszedł dar ku usprawiedliwieniu żywota.
19 Kwa kuwa kama kupitia kutotii kwa mtu mmoja wengi walifanywa wenye dhambi, hivyo kupitia utii wa mmoja wengi watafanywa wenye haki.
Bo jako przez nieposłuszeństwo jednego człowieka wiele się ich stało grzesznymi; tak przez posłuszeństwo jednego człowieka wiele się ich stało sprawiedliwymi.
20 Lakini sheria iliingia pamoja, ili kwamba kosa liweze kuenea. Lakini mahali ambapo dhambi ilizidi kuwa nyingi, neema iliongezeka hata zaidi.
A zakon przytem nastąpił, aby obfitował grzech; lecz gdzie się grzech rozmnożył, tam łaska tem więcej obfitowała.
21 Hii ilitokea ili kwamba, kama dhambi ilivyotawala katika kifo, ndivyo hata neema inaweza kutawala kupitia haki kwa ajili ya maisha ya milele kupitia Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios g166)
Aby jako grzech królował ku śmierci, tak też aby łaska królowała przez sprawiedliwość ku żywotowi wiecznemu przez Jezusa Chrystusa, Pana naszego. (aiōnios g166)

< Warumi 5 >