< Warumi 5 >

1 Kwa kuwa tumehesabiwa haki kwa njia ya imani, tuna amani na Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Hinu, ndava muni tikitiwi kuvya vabwina plongolo ya Chapanga kwa sadika, hinu tivii na uteke na Chapanga kwa njila ya BAMBU witu Yesu Kilisitu.
2 Kupitia yeye sisi pia tuna fursa kwa njia ya imani katika neema hii ambayo ndani yake tunasimama. Tunafurahi katika ujasiri atupao Mungu kwa ajili ya baadaye, ujasiri ambao tutashiriki katika utukufu wa Mungu.
Kwa njila ya sadika Yesu atikitili tiumanyai ubwina wa Chapanga, ndi hinu titama mwenumo. Na tete tihekelela mu huvalila yitu kuhanganila ukulu wa Chapanga.
3 Siyo hili tu, lakini pia tunafurahi katika mateso yetu. Tunajua kwamba mateso huzaa uvumilivu.
Lepi genago ndu, nambu mewawa tihekelela mang'ahiso gitu ndava timanyili mang'ahiso gileta usidindimala,
4 Uvumilivu huzaa kukubalika, na kukubalika huzaa ujasiri kwa ajili ya baadaye.
na usindimala wileta ukangamala na ukangamala wileta huvalila.
5 Ujasiri huu haukatishi tamaa, kwa sababu upendo wa Mungu umemwagwa katika mioyo yetu kupitia Roho Mtakatifu, ambaye alitolewa kwetu.
Huvalila yeniyo yikutivinisa lepi mtima ndava Chapanga amali kuyisopa mu mitima yitu uganu waki kwa njila ya Mpungu Msopi mweatipelili tete.
6 Kwa tulipokuwa tungali tu dhaifu, kwa wakati muafaka Kristo alikufa kwa ajili ya waovu.
Lukumbi lwealuhagwili Chapanga pelwahikili petavili takona vangolongondi, Kilisitu afwili ndava ya tete tavahakau.
7 Kwa kuwa itakuwa vigumu mmoja kufa kwa ajili ya mtu mwenye haki. Hii ni kwamba, pengine mtu angethubutu kufa kwa ajili ya mtu mwema.
Ndava muni yinonopa mundu kufwa ndava ya mundu mbwina palongolo ya Chapanga, manya mundu ihotola kufwa ndava ya mundu mbwina.
8 Lakini Mungu amehakikisha upendo wake mwenyewe kwetu, kwa sababu wakati tulipokuwa tungali wenye dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu.
Nambu Chapanga atimanyisi cheakutigana, muni lukumbi patavili takona mukumbudila Chapanga, Kilisitu afwili ndava yitu.
9 Kisha zaidi ya yote, sasa kwa kuwa tumehesabiwa haki kwa damu yake, tutaokolewa kwa hiyo kutoka katika gadhabu ya Mungu.
Ndava muni hinu tikitiwi kuvya vabwina palongolo ya Chapanga kwa ngasi ya Kilisitu, chakaka akutisangula kuhuma mu ligoga la Chapanga.
10 Kwa kuwa, ikiwa wakati tulipokuwa maadui, tulipatanishwa na Mungu kwa njia ya kifo cha mwanae, zaidi sana, baada ya kuwa tumekwisha patanishwa, tutaokolewa kwa maisha yake.
Muni petavili tavamakoko, Chapanga atitepulanisi nayu kwa lifwa la Mwana waki. Ndava hinu titepulaniswi nayu chakaka yati tisanguliwa kwa wumi wa Kilisitu.
11 Siyo hivi tu, bali pia tunafurahi katika Mungu kupitia Bwana Yesu Kristo, kupitia yeye ambaye sasa tumepokea upatanisho huu.
Lepi genago ndu, mewawa tihekelela pa gala geagahengili Chapanga mu njila ya BAMBU witu Yesu Kilisitu ndi mweatitepulanisi na Chapanga.
12 Kwa hiyo basi, kama kupitia mtu mmoja dhambi iliingia duniani, kwa njia hii kifo kiliingia kwa njia ya dhambi. Na kifo kikasambaa kwa watu wote, kwa sababu wote walifanya dhambi.
Kumbudila Chapanga kwayingili pamulima kwa njila ya mundu mmonga, na lifwa layingila ndava ya kubuda. Ndi lifwa lavabwelili vandu voha, ndava voha vakitili gahakau.
13 Kwa kuwa hadi sheria, dhambi ilikuwa duniani, lakini dhambi haihesabiki wakati hakuna sheria.
Kwakona Malagizu ga Musa kuvya, kubuda kwavili pamulima. Nambu kubuda kwavalangiwi lepi lukumbi Malagizu payavili lepi.
14 Hata hivyo, kifo kilitawala kutoka Adamu hadi Musa, hata juu ya wale ambao hawakufanya dhambi kama kutotii kwa Adamu, ambaye ni mfano wa yeye ambaye angekuja.
Nambu kuhuma lukumbi lwa Adamu mbaka lukumbi lwa Musa, lifwa lavatalalili vandu voha hati vala vevabudili lepi ngati cheabudili Adamu, kuleka kuyidakila gealagini na Chapanga. Adamu avili ngati ulangisu wa Kilisitu mweabwelili mwanakandahi.
15 Lakini hata hivyo, zawadi ya bure si kama kosa. Kwa kuwa ikiwa kwa kosa la mmoja wengi walikufa, zaidi sana neema ya Mungu na zawadi kwa neema ya mtu mmoja, Yesu Kristo, imezidi kuongezeka kwa wengi.
Nambu kubuda kwa Adamu kuhotola lepi kuwanangiswa na ubwina wa Chapanga. Muni hati ngati vandu vamahele vafwili kwa kubuda kwa mundu mmonga, Chapanga avayonjokisi ubwina waki na njombi zaki zezadandasiki kwa vandu vamahele mu njila ya ubwina wa mundu mmonga ndi Yesu Kilisitu.
16 Kwa kuwa zawadi si kama matokeo ya yule ambaye alifanya dhambi. Kwa kuwa kwa upande mwingine, hukumu ya adhabu ilikuja kwa sababu ya kosa la mtu mmoja. Lakini kwa upande mwingine, kipawa cha bure kinachotoka katika kuhesabiwa haki kilikuja baada ya makosa mengi.
Njombi ya Chapanga yiwanangana lepi na kubuda kwa mundu mmonga. Muni mundu mmonga peabudili, Chapanga amhamwili, nambu pala pavabudili vandu vamahele Chapanga aletili njombi ya kuvakita vandu vavyai vabwina palongolo yaki.
17 Kwa maana, ikiwa kwa kosa la mmoja, kifo kilitawala kupitia mmoja, zaidi sana wale ambao watapokea neema nyingi pamoja na kipawa cha haki watatawala kupitia maisha ya mmoja, Yesu Kristo.
Kwa kubuda kwa mundu mmonga, lifwa latalalili mu njila ya mundu mwenuyo mmonga. Nambu chila cheakitili mundu mmonga yula, ndi Yesu Kilisitu, chivaha neju. Vandu voha vevipokela ubwina wa Chapanga na njombi ya kukitiwa vabwina palongolo ya Chapanga yati vitalalili wumi mu njila Yesu Kilisitu.
18 Hivyo basi, kama kupitia kosa moja watu wote walikuja kwenye hukumu, ingawa kupitia tendo moja la haki kulikuja kuhesabiwa haki ya maisha kwa watu wote.
Hinu ngati kubuda kwa mundu mmonga kukitili vandu voha kuhamuliwa mbunu, mewawa chindu chimonga chabwina kwa Chapanga chikuvakita vandu voha vakumganisa na kuvapela wumi.
19 Kwa kuwa kama kupitia kutotii kwa mtu mmoja wengi walifanywa wenye dhambi, hivyo kupitia utii wa mmoja wengi watafanywa wenye haki.
Ndava muni kubela kuyidikila kwa mundu mmonga vandu vamahele vayingili mukubuda, nambu kuyidikila kwa mundu mmonga vandu vamahele vakitiwi vabwina palongolo ya Chapanga.
20 Lakini sheria iliingia pamoja, ili kwamba kosa liweze kuenea. Lakini mahali ambapo dhambi ilizidi kuwa nyingi, neema iliongezeka hata zaidi.
Malagizu ga Musa yabwelili muni vandu vajimanyayi kuvya chavambudili Chapanga, nambu pala kumbudila Chapanga pepayonjokisi ndi, ubwina wa Chapanga wayonjokisiki neju.
21 Hii ilitokea ili kwamba, kama dhambi ilivyotawala katika kifo, ndivyo hata neema inaweza kutawala kupitia haki kwa ajili ya maisha ya milele kupitia Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios g166)
Hinu, ngati kubuda chekwatalalili na kuleta lifwa, mewawa ubwina wa Chapanga yati ulongosi munjila ya kuvakita vandu vavyai vabwina palongolo yaki na kuvalongosa vapatayi wumi wa magono goha gangali mwishu mu njila ya Yesu Kilisitu BAMBU witu. (aiōnios g166)

< Warumi 5 >