< Warumi 5 >

1 Kwa kuwa tumehesabiwa haki kwa njia ya imani, tuna amani na Mungu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.
Nüüd kui oleme Jumalasse uskumise kaudu tema ees õigeks saanud, on meil rahu temaga tänu meie Issandale Jeesusele Kristusele.
2 Kupitia yeye sisi pia tuna fursa kwa njia ya imani katika neema hii ambayo ndani yake tunasimama. Tunafurahi katika ujasiri atupao Mungu kwa ajili ya baadaye, ujasiri ambao tutashiriki katika utukufu wa Mungu.
Jeesuse kaudu − temasse uskudes − oleme saanud juurdepääsu sellele armu asupaigale, kus me praegu oleme ning ootame rõõmu ja kindlustundega Jumala auhiilgusest osasaamist.
3 Siyo hili tu, lakini pia tunafurahi katika mateso yetu. Tunajua kwamba mateso huzaa uvumilivu.
Mitte ainult seda, vaid me jääme kindlaks ka siis, kui tulevad probleemid, sest me teame, et probleemide kogemine arendab vaimulikku vastupidavust.
4 Uvumilivu huzaa kukubalika, na kukubalika huzaa ujasiri kwa ajili ya baadaye.
Vaimulik vastupidavus omakorda arendab küpset iseloomu ning see küps iseloom annab lõpuks kindla lootuse.
5 Ujasiri huu haukatishi tamaa, kwa sababu upendo wa Mungu umemwagwa katika mioyo yetu kupitia Roho Mtakatifu, ambaye alitolewa kwetu.
Kuna meil on see lootus, ei pettu me kunagi, sest Jumala armastus on valatud meisse Püha vaimu kaudu, kelle ta meile on andnud.
6 Kwa tulipokuwa tungali tu dhaifu, kwa wakati muafaka Kristo alikufa kwa ajili ya waovu.
Kui olime täiesti abitud, siis just õigel ajal suri Kristus meie, jumalakartmatute inimeste eest.
7 Kwa kuwa itakuwa vigumu mmoja kufa kwa ajili ya mtu mwenye haki. Hii ni kwamba, pengine mtu angethubutu kufa kwa ajili ya mtu mwema.
Kes sureks teise inimese eest, isegi selle eest, kes teeb, mis on õige? (Kuigi ehk oleks keegi piisavalt vapper, et surra tõeliselt hea inimese eest.)
8 Lakini Mungu amehakikisha upendo wake mwenyewe kwetu, kwa sababu wakati tulipokuwa tungali wenye dhambi, Kristo alikufa kwa ajili yetu.
Kuid Jumal näitab oma armastust meie vastu sellega, et Kristus suri meie eest sel ajal, kui me veel patused olime.
9 Kisha zaidi ya yote, sasa kwa kuwa tumehesabiwa haki kwa damu yake, tutaokolewa kwa hiyo kutoka katika gadhabu ya Mungu.
Nüüd, kui oleme tema surma kaudu õigeks saanud, võime olla täielikult kindlad, et ta päästab meid tulevasest kohtust.
10 Kwa kuwa, ikiwa wakati tulipokuwa maadui, tulipatanishwa na Mungu kwa njia ya kifo cha mwanae, zaidi sana, baada ya kuwa tumekwisha patanishwa, tutaokolewa kwa maisha yake.
Sel ajal kui olime tema vaenlased, tegi Jumal meist enda sõbrad oma Poja surma kaudu, ja seega saame olla täiesti kindlad, et ta päästab meid Poja elu kaudu.
11 Siyo hivi tu, bali pia tunafurahi katika Mungu kupitia Bwana Yesu Kristo, kupitia yeye ambaye sasa tumepokea upatanisho huu.
Peale selle tähistame nüüd seda, mida Jumal on teinud meie Issanda Jeesuse Kristuse kaudu, et meid lepitada ja meid tema sõbraks teha.
12 Kwa hiyo basi, kama kupitia mtu mmoja dhambi iliingia duniani, kwa njia hii kifo kiliingia kwa njia ya dhambi. Na kifo kikasambaa kwa watu wote, kwa sababu wote walifanya dhambi.
Sest ühe inimese kaudu tuli patt maailma ja patt tõi kaasa surma. Nii tuli surm kõigile, sest kõik on pattu teinud.
13 Kwa kuwa hadi sheria, dhambi ilikuwa duniani, lakini dhambi haihesabiki wakati hakuna sheria.
Juba enne seda, kui seadus anti, oli patt maailmas, kuigi seda ei peetud patuks, sest ei olnud seadust.
14 Hata hivyo, kifo kilitawala kutoka Adamu hadi Musa, hata juu ya wale ambao hawakufanya dhambi kama kutotii kwa Adamu, ambaye ni mfano wa yeye ambaye angekuja.
Kuid surm valitses siiski Aadamast kuni Mooseseni, isegi nende üle, kes ei patustanud samamoodi nagu Aadam. Aadam oli ettetähendus sellele, kes pidi tulema.
15 Lakini hata hivyo, zawadi ya bure si kama kosa. Kwa kuwa ikiwa kwa kosa la mmoja wengi walikufa, zaidi sana neema ya Mungu na zawadi kwa neema ya mtu mmoja, Yesu Kristo, imezidi kuongezeka kwa wengi.
Kuid Jeesuse and ei ole nagu Aadama patt. Kuigi paljud inimesed surid ühe inimese patu pärast, on Jumala arm niivõrd palju suurem ja seda on jagatud väga paljudele tema armulise anni kaudu Jeesuse Kristuse isikust.
16 Kwa kuwa zawadi si kama matokeo ya yule ambaye alifanya dhambi. Kwa kuwa kwa upande mwingine, hukumu ya adhabu ilikuja kwa sababu ya kosa la mtu mmoja. Lakini kwa upande mwingine, kipawa cha bure kinachotoka katika kuhesabiwa haki kilikuja baada ya makosa mengi.
Anni tulemus ei ole selline nagu patul. Aadama patu tagajärg oli kohus ja hukkamõist, kuid and teeb meid Jumala ees õigeks, vaatamata meie paljudele pattudele.
17 Kwa maana, ikiwa kwa kosa la mmoja, kifo kilitawala kupitia mmoja, zaidi sana wale ambao watapokea neema nyingi pamoja na kipawa cha haki watatawala kupitia maisha ya mmoja, Yesu Kristo.
Ühe inimese patu tagajärjena valitses surm tema tõttu. Kuid Jumala arm on nii palju suurem ja tema and teeb meid õigeks, et igaüks, kes selle vastu võtab, püsib elus Jeesuse Kristuse isiku kaudu!
18 Hivyo basi, kama kupitia kosa moja watu wote walikuja kwenye hukumu, ingawa kupitia tendo moja la haki kulikuja kuhesabiwa haki ya maisha kwa watu wote.
Täpselt nagu üks patt tõi hukkamõistu kõigile, andis üks õige tegu kõigile võimaluse õigesti elada.
19 Kwa kuwa kama kupitia kutotii kwa mtu mmoja wengi walifanywa wenye dhambi, hivyo kupitia utii wa mmoja wengi watafanywa wenye haki.
Just nagu ühe inimese sõnakuulmatuse tõttu said paljud patuseks, saavad ühe inimese sõnakuulelikkuse kaudu paljud Jumala ees õigeks.
20 Lakini sheria iliingia pamoja, ili kwamba kosa liweze kuenea. Lakini mahali ambapo dhambi ilizidi kuwa nyingi, neema iliongezeka hata zaidi.
Kui seadus tarvitusele võeti, sai patt veelgi selgemaks. Aga kuigi patt sai palju selgemaks, sai arm veelgi selgemaks!
21 Hii ilitokea ili kwamba, kama dhambi ilivyotawala katika kifo, ndivyo hata neema inaweza kutawala kupitia haki kwa ajili ya maisha ya milele kupitia Yesu Kristo Bwana wetu. (aiōnios g166)
Samamoodi nagu patt valitses meid ja tõi meile surma, valitseb nüüd arm ning teeb meid õigeks Jumala ees ja annab meile igavese elu Jeesuse Kristuse, meie Issanda kaudu. (aiōnios g166)

< Warumi 5 >