< Warumi 4 >
1 Tutasema nini tena kwamba Abrahamu, baba yetu kwa jinsi ya mwili, amepatikana?
Taiganga hwele nantele huje o Ibulahimu, yise wetu hwidala elye bele, apatihene?
2 Kwa maana ikiwa Abrahamu alihesabiwa haki kwa matendo, angekuwa na sababu ya kujisifu, lakini si mbele za Mungu.
Nantele nkashele u Ibulahimu abhaziwa elyoli hu mbombo, hangali nenangwa ezyahwisovye, nantele saga hwitagalila lya Ngolobhe.
3 Kwani maandiko yanasemaje? “Abrahamu alimwamini Mungu, na ikahesabiwa kwake kuwa haki.”
Eshi ensimbo zigawele? “Abulahamu amwetesheye Ongolobhe, na bhaziwe hwakwe huje alinelyoli.”
4 Sasa kwa mtu afanyaye kazi, malipo yake hayahesabiwi kuwa ni neema, bali kuwa ni deni.
Eshi hwa mtu yawombe embombo eposhenzi zyakwe sezibhaziwa huje hee wenee, hwa huje eshi lideni.
5 Lakini kwa mtu asiyefanya kazi bali anamwamini yeye ambaye amhesabia haki asiyekuwa mtaua, imani yake mtu huyo imehesabiwa kuwa haki.
Nantele hwa mtu yasaga abhomba embombo nkashele ahumweteha omwene yali ahubhazizya elyoli yasagali bhatamu, enyinza zyakwe umtu oyo zibhaziwe huje lyoli.
6 Daudi pia hunena baraka juu ya mtu ambaye Mungu amhesabia haki pasipo matendo.
O Daudi wope ayanga esalifyo hwa mtu yali Ongolobhe abhazizizye elyoli pasepali nembombo.
7 Alisema, “Wamebarikiwa wale ambao maovu yao yamesamehewa na ambao dhambi zao zimefunikwa.
Ayajile, “Bhasalifiwe bhala bhabhali embibhi zyabho zisajilwe nabhala abhezambe zyabho zyazikwishilwe.
8 Amebarikiwa mtu yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi.”
Asalifiwe omtu ola nkashele Ogosi sabhazizizye ezambe.”
9 Basi je baraka hizi ni kwa wale waliotahiriwa tu, au pia kwa wale wasiotahiriwa? Kwa maana twasema, “kwa Abrahamu imani yake ilihesabiwa kuwa ni haki.”
Eshi huje ensalifyo zyabhala bhabhatahiliwe bhene, huje nabha sebhatahiliwe? Eshi tiyanga, “huje o Ibulahimu enyinza zyakwe zyabhaziwe huje lyoli.”
10 Hivyo ilihesabiwaje basi? Wakati Abrahamu alikuwa katika tohara, au kabla hajatahiriwa? Haikuwa katika kutahiriwa, bali katika kutotahiriwa.
Huje yabhaweweleshi? Shila o Ibulahimu ali hu tohala, nantele sasele atahilwe? Sagayali hu tahilwe, eshi ashele tahilwe.
11 Abrahamu alipokea alama ya kutahiriwa. Huu ulikuwa muhuri wa ile haki ya imani aliyokuwa nayo tayari kabla hajatahiriwa. Matokeo ya ishara hii ni kwamba alifanyika kuwa baba wa wote waaminio, hata kama wapo katika kutotahiriwa. Hii ina maana kwamba haki itahesabiwa kwao.
O Ibulahimu ahambilile ehalama yatahilwe. Ogu gwali muhuli gwela ehaki enyinza yalinayo hani sasele atahilwe. Efumizyo ezyandolesyo ene huja abhombeshe abhe baba wa bhoti bhabhahweteha. Atankashile bhahweli bhabhali atahilwe. Eshi hwahuje ehaki yaibhaziwa hwabhene.
12 Hii pia ilimaanisha kuwa Abrahamu alifanyika baba wa tohara si tu kwa wale wanaotokana na tohara, bali pia wale wanaozifuata nyayo za baba yetu Abrahamu. Na hii ndiyo imani aliyokuwa nayo kwa wasiotahiriwa.
Ene yope yamisizye aje o Ibulahimu abhombeshe baba we tohala saga hwabhala bhabhafumila mutohala aje nabhala bhabhazilondola enyayo zya baba wetu o Ibulahimu. Huje ene nyinza yalinayo hwabhatahilwe.
13 Kwa maana haikuwa kwa sheria kwamba ahadi ilitolewa kwa Abrahamu na uzao wake, ahadi hii ya kwamba watakuwa warithi wa dunia. isipokuwa, ilikuwa kupitia haki ya imani.
Hwa huje sanayahali hudajizyo aje eahadi ehafumiziwe hwa Ibulahimu ne papo yakwe, eahadi ene eyaje bhaibhabhagali bhesi huje ehaliashelenle ehaki eyenyinza.
14 Kwa maana kama wale wa sheria ndio warithi, imani imekuwa bure, na ahadi imebatilika.
Huje eshi nashi bhala bhe ndajizyo huje bhagali, enyinzizili nahamo, ne ahadi egalu zenywe.
15 Kwa sababu sheria huleta ghadhabu, lakini pale ambapo hakuna sheria, pia hakuna kutotii.
Huje eshi edajizyo zileta ilyoyo, huje pala pasepali nedajizyo, nahumo huje huli eshishi.
16 Kwa sababu hii hili hutokea kwa imani, ili iwe kwa neema. Matokeo yake, ahadi ni dhahiri kwa uzao wote. Na wazawa hawa si tu wale wanaojua sheria, bali pia wale ambao ni wa imani ya Abrahamu. Kwa maana yeye ni baba yetu sisi sote,
Hwa huje eli sagalyafumie hunyinza, aje ebheye wene. Amafumilo gakwe, eahadi elipazelu hu mpapo yoti. Na zawa ebha sagaje bhala bhabhamenye edajizyo, huje bhala bhali nenza ezya Ibulahimu. Huje omwene isewetu ate tenti,
17 kama ilivyoandikwa, “Nimekufanya wewe kuwa baba wa mataifa mengi.” Abrahamu alikuwa katika uwepo wa yule aliyemwamini, yaani, Mungu ambaye huwapa wafu uzima na kuyaita mambo ambayo hayapo ili yaweze kuwepo.
nashi sesibwilweli, “Ebheshele awe abhe baba wensi enyiji.” O Ibulahimu ali hweli hwola ya menye yaani Ongolobhe yasaga abhapiye abhafwe owomi na kwizye enongwa zyanazimo ajezibhe.
18 Licha ya hali zote za nje, Abrahamu kwa ujasiri alimuamini Mungu kwa siku zijazo. Hivyo akawa baba wa mataifa mengi, kulingana na kile kilichonenwa,”... Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”
Hata zibhe zyoti zya hwoze, Abulahamu abhejivi amawaminiye Ongolobhe hu siku zyazihwenza. Eshi abha baba wesi enyinji alengane nahala hahagajilwe,”... Esho shayaibha empapo yaho.”
19 Yeye hakuwa dhaifu katika imani. Abrahamu alikiri kwamba mwili wake mwenyewe ulikwisha kufa - alikuwa na umri wa karibu miaka mia moja. Pia alikubaliana na hali ya kufa ya tumbo la Sara.
Omwene sagali bhinu hunyinza. Abulahamu aheteshe aje obele gwakwe yoyoo gumalishe afwe - ali no umuli wesiku amaha emia emo. Nantele ahetehene nehali eyafwe eyevyanda uya Sala.
20 Lakini kwa sababu ya ahadi ya Mungu, Abrahamu hakusita katika kutokuamini. Bali, alitiwa nguvu katika imani na alimsifu Mungu.
Eshi alengane ne ahadi eya Ngolobhe, o Ibulahimu sagasitile ahumweteshe. Nantele, apewilwe eguvu hunyinza nantele asombele Ongolobhe.
21 Alikuwa akijua hakika ya kuwa kile ambacho Mungu ameahidi, alikuwa pia na uwezo wa kukikamilisha.
Ali amenye loli aje hala hahali Ongolobhe haaidiye ali nouwezo owa hakamilisye.
22 Kwa hiyo hii pia ilihesabiwa kwake kuwa ni haki.
Hweli lyope lyabhaziwe humwene abha haki.
23 Sasa haikuandikwa tu kwa faida yake, kwamba ilihesabiwa kwake.
Eshi sagayasimbwilwe wene hufaida yakwe, aje yabhaziwe hwa mwene.
24 Iliandikwa kwa ajili yetu pia, kwa waliowekewa kuhesabiwa, sisi ambao tunaamini katika yeye aliyemfufua Bwana wetu Yesu kutoka wafu.
Yasimbwilwe huliti nantele, hwa bhabhishewe abhaziwe atetatili tihweteha aje omwene azyozyeze Ogosi wetu oYesu afume hwa bhafwe.
25 Huyu ni yule ambaye alitolewa kwa ajili ya makosa yetu na kufufuliwa ili tupate kuhesabiwa haki.
Ono yayola yalifumiziwe hu mbibhi zetu nazyosewe aje tipate abhaziwe ehaki.