< Warumi 4 >

1 Tutasema nini tena kwamba Abrahamu, baba yetu kwa jinsi ya mwili, amepatikana?
Cóż więc powiemy, co zyskał Abraham, nasz ojciec, według ciała?
2 Kwa maana ikiwa Abrahamu alihesabiwa haki kwa matendo, angekuwa na sababu ya kujisifu, lakini si mbele za Mungu.
Jeśli bowiem Abraham został usprawiedliwiony z uczynków, ma się czym chlubić, ale nie przed Bogiem.
3 Kwani maandiko yanasemaje? “Abrahamu alimwamini Mungu, na ikahesabiwa kwake kuwa haki.”
Cóż bowiem mówi Pismo? Abraham uwierzył Bogu i zostało mu to poczytane za sprawiedliwość.
4 Sasa kwa mtu afanyaye kazi, malipo yake hayahesabiwi kuwa ni neema, bali kuwa ni deni.
A temu, kto pracuje, zapłata nie jest uznana za łaskę, ale za należność.
5 Lakini kwa mtu asiyefanya kazi bali anamwamini yeye ambaye amhesabia haki asiyekuwa mtaua, imani yake mtu huyo imehesabiwa kuwa haki.
Temu zaś, kto nie pracuje, lecz wierzy w tego, który usprawiedliwia bezbożnego, jego wiara zostaje poczytana za sprawiedliwość.
6 Daudi pia hunena baraka juu ya mtu ambaye Mungu amhesabia haki pasipo matendo.
Jak i Dawid mówi, że błogosławiony jest człowiek, któremu Bóg przypisze sprawiedliwość bez uczynków, [mówiąc]:
7 Alisema, “Wamebarikiwa wale ambao maovu yao yamesamehewa na ambao dhambi zao zimefunikwa.
Błogosławieni, których nieprawości [są] przebaczone i których grzechy są zakryte.
8 Amebarikiwa mtu yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi.”
Błogosławiony człowiek, któremu Pan nie poczyta grzechu.
9 Basi je baraka hizi ni kwa wale waliotahiriwa tu, au pia kwa wale wasiotahiriwa? Kwa maana twasema, “kwa Abrahamu imani yake ilihesabiwa kuwa ni haki.”
Czy więc to błogosławieństwo [dotyczy] tylko obrzezanych, czy też nieobrzezanych? Mówimy przecież, że wiara została Abrahamowi poczytana za sprawiedliwość.
10 Hivyo ilihesabiwaje basi? Wakati Abrahamu alikuwa katika tohara, au kabla hajatahiriwa? Haikuwa katika kutahiriwa, bali katika kutotahiriwa.
Jakże więc została mu poczytana? Gdy był obrzezany czy przed obrzezaniem? Nie po obrzezaniu, ale przed obrzezaniem.
11 Abrahamu alipokea alama ya kutahiriwa. Huu ulikuwa muhuri wa ile haki ya imani aliyokuwa nayo tayari kabla hajatahiriwa. Matokeo ya ishara hii ni kwamba alifanyika kuwa baba wa wote waaminio, hata kama wapo katika kutotahiriwa. Hii ina maana kwamba haki itahesabiwa kwao.
I przyjął znak obrzezania jako pieczęć sprawiedliwości wiary, którą miał przed obrzezaniem, po to, aby był ojcem wszystkich nieobrzezanych wierzących, aby im też poczytana była sprawiedliwość;
12 Hii pia ilimaanisha kuwa Abrahamu alifanyika baba wa tohara si tu kwa wale wanaotokana na tohara, bali pia wale wanaozifuata nyayo za baba yetu Abrahamu. Na hii ndiyo imani aliyokuwa nayo kwa wasiotahiriwa.
I [aby był] ojcem obrzezania, nie tylko tych, którzy są obrzezani, ale też tych, którzy chodzą śladami wiary naszego ojca Abrahama, którą miał przed obrzezaniem.
13 Kwa maana haikuwa kwa sheria kwamba ahadi ilitolewa kwa Abrahamu na uzao wake, ahadi hii ya kwamba watakuwa warithi wa dunia. isipokuwa, ilikuwa kupitia haki ya imani.
Obietnica bowiem, że ma być dziedzicem świata, [nie została dana] Abrahamowi czy jego potomstwu przez prawo, ale przez sprawiedliwość wiary.
14 Kwa maana kama wale wa sheria ndio warithi, imani imekuwa bure, na ahadi imebatilika.
Jeśli bowiem dziedzicami [są] ci, którzy [są] z prawa, [to] wiara stała się daremna i obietnica obróciła się wniwecz.
15 Kwa sababu sheria huleta ghadhabu, lakini pale ambapo hakuna sheria, pia hakuna kutotii.
Gdyż prawo sprowadza gniew, bo gdzie nie ma prawa, [tam] nie ma przestępstwa.
16 Kwa sababu hii hili hutokea kwa imani, ili iwe kwa neema. Matokeo yake, ahadi ni dhahiri kwa uzao wote. Na wazawa hawa si tu wale wanaojua sheria, bali pia wale ambao ni wa imani ya Abrahamu. Kwa maana yeye ni baba yetu sisi sote,
Tak więc [dziedzictwo jest] z wiary, aby było z łaski [i] żeby obietnica była niewzruszona dla całego potomstwa, nie tylko dla tego, które opiera się na prawie, ale i dla tego, [które jest] z wiary Abrahama, który jest ojcem nas wszystkich;
17 kama ilivyoandikwa, “Nimekufanya wewe kuwa baba wa mataifa mengi.” Abrahamu alikuwa katika uwepo wa yule aliyemwamini, yaani, Mungu ambaye huwapa wafu uzima na kuyaita mambo ambayo hayapo ili yaweze kuwepo.
(Jak jest napisane: Ustanowiłem cię ojcem wielu narodów) przed Bogiem, któremu uwierzył, który ożywia umarłych i przywołuje te [rzeczy], których nie ma, tak jakby były.
18 Licha ya hali zote za nje, Abrahamu kwa ujasiri alimuamini Mungu kwa siku zijazo. Hivyo akawa baba wa mataifa mengi, kulingana na kile kilichonenwa,”... Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”
[On] to wbrew nadziei, mając nadzieję, uwierzył, że stanie się ojcem wielu narodów według tego, [co mu] powiedziano: Takie będzie twoje potomstwo.
19 Yeye hakuwa dhaifu katika imani. Abrahamu alikiri kwamba mwili wake mwenyewe ulikwisha kufa - alikuwa na umri wa karibu miaka mia moja. Pia alikubaliana na hali ya kufa ya tumbo la Sara.
A nie będąc słabym w wierze, nie zważał na swoje już obumarłe ciało – bo miał około stu lat – ani na obumarłe łono Sary.
20 Lakini kwa sababu ya ahadi ya Mungu, Abrahamu hakusita katika kutokuamini. Bali, alitiwa nguvu katika imani na alimsifu Mungu.
I nie zachwiał się z [powodu] niewiary w obietnicę Boga, ale umocnił się wiarą i oddał chwałę Bogu;
21 Alikuwa akijua hakika ya kuwa kile ambacho Mungu ameahidi, alikuwa pia na uwezo wa kukikamilisha.
Będąc też pewien tego, że to, co [on] obiecał, ma moc też uczynić.
22 Kwa hiyo hii pia ilihesabiwa kwake kuwa ni haki.
Dlatego zostało mu to poczytane za sprawiedliwość.
23 Sasa haikuandikwa tu kwa faida yake, kwamba ilihesabiwa kwake.
A nie tylko ze względu na niego samego napisano, że zostało mu [to] poczytane;
24 Iliandikwa kwa ajili yetu pia, kwa waliowekewa kuhesabiwa, sisi ambao tunaamini katika yeye aliyemfufua Bwana wetu Yesu kutoka wafu.
Ale i ze względu na nas, którym ma być poczytane, którzy wierzymy w tego, który wskrzesił z martwych Jezusa, naszego Pana;
25 Huyu ni yule ambaye alitolewa kwa ajili ya makosa yetu na kufufuliwa ili tupate kuhesabiwa haki.
Który został wydany za nasze grzechy i wstał z martwych dla naszego usprawiedliwienia.

< Warumi 4 >