< Warumi 4 >
1 Tutasema nini tena kwamba Abrahamu, baba yetu kwa jinsi ya mwili, amepatikana?
Kuulunga ntuni hangi kina Abrahamu, tata witu nukimuili, wigelaa?
2 Kwa maana ikiwa Abrahamu alihesabiwa haki kwa matendo, angekuwa na sababu ya kujisifu, lakini si mbele za Mungu.
Ang'wi Abrahamu aupewe itai kunsoko antendo, auzetula ni nsoko akikulya, ingi singa kuntongeela ang'wi Tunda.
3 Kwani maandiko yanasemaje? “Abrahamu alimwamini Mungu, na ikahesabiwa kwake kuwa haki.”
Iti imaandiko akulunga uli? Abrahamu aumuhuie Itunda, kilalakwe ikatula muntu wa tai.
4 Sasa kwa mtu afanyaye kazi, malipo yake hayahesabiwi kuwa ni neema, bali kuwa ni deni.
Kumuntu nuitumile umulimo, ikinyamulimo kakwe shakialigwa kina ukende, ingi izi daigwa.
5 Lakini kwa mtu asiyefanya kazi bali anamwamini yeye ambaye amhesabia haki asiyekuwa mtaua, imani yake mtu huyo imehesabiwa kuwa haki.
Kululo kumuntu nishawituma umulimo kunu umu huie uyo uku nukumupa itai nishanga muntu wang'wi Tunda uuhuili wakwe umuntu uyu waalikwa kutula watai.
6 Daudi pia hunena baraka juu ya mtu ambaye Mungu amhesabia haki pasipo matendo.
U Daudi ingi waligitya ukembetwa wa muntu ni Tunda wimuailya itai panakutili intendo.
7 Alisema, “Wamebarikiwa wale ambao maovu yao yamesamehewa na ambao dhambi zao zimefunikwa.
Akalunga akembetwa ao nuubii wao nualekelwa ni milandu ao akunikilwa.
8 Amebarikiwa mtu yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi.”
Akembetwe umuntu uyu ni Tunda shukumuailya imilandu.
9 Basi je baraka hizi ni kwa wale waliotahiriwa tu, au pia kwa wale wasiotahiriwa? Kwa maana twasema, “kwa Abrahamu imani yake ilihesabiwa kuwa ni haki.”
Iti gwa ukembetwa uwu ingi kuao ni tawe kukidamu du, ang'wi nao nishatawe kukidamu? Kunsoko kuulunga. Kung'wa Abrahamu uuhuili wakwe aikuaigwe kina watai.
10 Hivyo ilihesabiwaje basi? Wakati Abrahamu alikuwa katika tohara, au kabla hajatahiriwa? Haikuwa katika kutahiriwa, bali katika kutotahiriwa.
iti auaigwe uli? Matungo nu Abrahamu aukoli mukidamu, ang'wi aakili kutwalwa kukidamu? Singa aikoli kutwala kukidamu, ingi kuhita kutwalwa kukidamu.
11 Abrahamu alipokea alama ya kutahiriwa. Huu ulikuwa muhuri wa ile haki ya imani aliyokuwa nayo tayari kabla hajatahiriwa. Matokeo ya ishara hii ni kwamba alifanyika kuwa baba wa wote waaminio, hata kama wapo katika kutotahiriwa. Hii ina maana kwamba haki itahesabiwa kwao.
Abrahamu ausingilye kulingasiilyo ni kakudamu. Iki ai kilingasiilyo ni kitai nikauhuili naakili kutwalwa kukidamu. Kuumailyo wa kilingasiilyo iki, ingi akutula tata wa antu ihi niahuiie ata izeakoli mukidamu. Iyi ingi ikualigwa tai kitalao.
12 Hii pia ilimaanisha kuwa Abrahamu alifanyika baba wa tohara si tu kwa wale wanaotokana na tohara, bali pia wale wanaozifuata nyayo za baba yetu Abrahamu. Na hii ndiyo imani aliyokuwa nayo kwa wasiotahiriwa.
Iyi hangi ainoneeye kina Abrahamu atule tata wa kidamu singa udu kina ao niapumie mukidamu, ingi nao niaityatile impambatilyo yang'wa tata witu Abrahamu. Nuwu wuwu uhuili naukite kuantu nishaatawe kukidamu.
13 Kwa maana haikuwa kwa sheria kwamba ahadi ilitolewa kwa Abrahamu na uzao wake, ahadi hii ya kwamba watakuwa warithi wa dunia. isipokuwa, ilikuwa kupitia haki ya imani.
Kunsoko singa ai miko kina ilago ailipumiigwe kung'wa Abrahamu nuwilehi wakwe. Ilago ili kina azetula asali amihi ingi kuleka ihi atuile kukiila tai au huili.
14 Kwa maana kama wale wa sheria ndio warithi, imani imekuwa bure, na ahadi imebatilika.
Kunsoko ang'wi ao nia miko wawo asali uhuili watula nakanda ni lago labipa.
15 Kwa sababu sheria huleta ghadhabu, lakini pale ambapo hakuna sheria, pia hakuna kutotii.
Kunsoko imiko ileta kubipilwa kululo apo nikutile imiko, ikulyo iza kutile.
16 Kwa sababu hii hili hutokea kwa imani, ili iwe kwa neema. Matokeo yake, ahadi ni dhahiri kwa uzao wote. Na wazawa hawa si tu wale wanaojua sheria, bali pia wale ambao ni wa imani ya Abrahamu. Kwa maana yeye ni baba yetu sisi sote,
Kunsoko aiyi iti ili lipumila kua uhuili, ingi litule laukenda, iliitigwa litule ilago niligeelekile kuwileli wihi, hangi aleki kutula wawa du nialingile imiko, naoga niauhuili wang'wa Abrahamu. kunsoko uyuite tata witu kihi.
17 kama ilivyoandikwa, “Nimekufanya wewe kuwa baba wa mataifa mengi.” Abrahamu alikuwa katika uwepo wa yule aliyemwamini, yaani, Mungu ambaye huwapa wafu uzima na kuyaita mambo ambayo hayapo ili yaweze kuwepo.
Anga naiyandikilwe, “Nakuika uewe kutula tata wa mahi idu. Abrahamu aukoli mung'wa uyo nauhuie, ingi Itunda uyu nuiapeza uupanga iashi nuitanga inkani nikutile ihume kigela.
18 Licha ya hali zote za nje, Abrahamu kwa ujasiri alimuamini Mungu kwa siku zijazo. Hivyo akawa baba wa mataifa mengi, kulingana na kile kilichonenwa,”... Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”
Palung'wi ninkani yidu niakunzi, Abrahamu akimika muhuili wang'wi Tunda mumakani ihi na mahiku napembilye. Kulola akatula tata wa mahi idu anga nailigitigwe. Uu ukutula uwileli wako.
19 Yeye hakuwa dhaifu katika imani. Abrahamu alikiri kwamba mwili wake mwenyewe ulikwisha kufa - alikuwa na umri wa karibu miaka mia moja. Pia alikubaliana na hali ya kufa ya tumbo la Sara.
Nuanso singa aimunino ikiuhuili. Abrahamu akalunga kina umuili wakwe aiwakondya kusha aiwagomba nikululika kusha inda anga Sara.
20 Lakini kwa sababu ya ahadi ya Mungu, Abrahamu hakusita katika kutokuamini. Bali, alitiwa nguvu katika imani na alimsifu Mungu.
Kunsonko autite ilago lang'wi Tunda, Abrahamu singa akisinsila kuhita kuhuila ingi akizuligwa ingulu ya uhuili akamukulya Itunda.
21 Alikuwa akijua hakika ya kuwa kile ambacho Mungu ameahidi, alikuwa pia na uwezo wa kukikamilisha.
Aumanyile kina iko naupewe ilago ni Tunda aukete ingulu yakuikondamilya.
22 Kwa hiyo hii pia ilihesabiwa kwake kuwa ni haki.
Kululo iyi ikialigwa kitalakwe kina tai.
23 Sasa haikuandikwa tu kwa faida yake, kwamba ilihesabiwa kwake.
Ingi gwa singa andikilwe kitalakwe du, ingi aiaigwe kitalakwe.
24 Iliandikwa kwa ajili yetu pia, kwa waliowekewa kuhesabiwa, sisi ambao tunaamini katika yeye aliyemfufua Bwana wetu Yesu kutoka wafu.
Ingi aiyandikilwe kunsoko itu, kuantu ao naiaikiigwe ialo la kualigwa; usese nikuhuie kung'wa uyo naumukilye umukulu witu Yesu kupuma kuashi.
25 Huyu ni yule ambaye alitolewa kwa ajili ya makosa yetu na kufufuliwa ili tupate kuhesabiwa haki.
Uyu ingi yuyu naupumiigwe kunsoko amagazo itu nu kuukigwa kuhuma kupegwa itai.