< Warumi 3 >
1 Kisha ni faida gani aliyo nayo Myahudi? Na faida ya tohara ni nini?
Wu, Myawudi ana chindu choki chingi chechiyonjokisi kuliku vandu vangi? Amala kudumula jandu kuna chiyonjokesu?
2 Ni vyema sana kwa kila njia. Awali ya yote, Wayahudi walikabidhiwa ufunuo kutoka kwa Mungu.
Ena, chivili chiyonjokesu. Kutumbula, Chapanga avagotolili Vayawudi ujumbi waki.
3 Lakini, itakuwaje iwapo baadhi ya Wayahudi hawakuwa na imani? Je, kutokuamini kwao kutafanya uaminifu wa Mungu kuwa batili?
Nambu yivya wuli ngati vangi vavi vangasadika? Wu, lijambu lenili yati liwusa usadikika wa Chapanga?
4 La hasha. Badala yake, acha Mungu aonekane kuwa kweli, hata kama kila mtu ni mwongo. Kama ilivyokuwa imeandikwa, “Ya kwamba uweze kuonekana kuwa mwenye haki katika maneno yako, na uweze kushinda uingiapo katika hukumu.”
Hati padebe! Leka Chapanga alolekana mchakaka magono goha, hati ngati kila mundu mdese. Ngati Mayandiku Gamsopi chegijova, “Kila pewijova, ulangisa uchakaka, pevakuhamula, yati wihotola pevakutakili.”
5 Lakini ikiwa uovu wetu unaonesha haki ya Mungu, tuseme nini? Mungu si dhalimu atoapo ghadhabu yake, je yupo hivyo? Naongea kutokana na mantiki ya kibinadamu.
Nambu, ngati uhakau witu ulangisa Chapanga ikita gabwina, hinu tijova wuli? Wu, tijova Chapanga ibuda peakutihamula? Penapa nilongela chiumundu.
6 La hasha! Ni jinsi gani basi Mungu atauhukumu ulimwengu?
Hati padebe! Ngayivyai naha, Chapanga ngaihotola wuli kuvahamula vandu voha va pamulima?
7 Lakini ikiwa kweli ya Mungu kupitia uongo wangu hutoa sifa tele kwa ajili yake, kwa nini ningali bado nahukumiwa kama mwenye dhambi?
Mundu ihotola kukota, “Ngati udese wangu yati utangatila kulangisa neju uchakaka wa Chapanga na kulangisa ukulu waki, hinu ndava kyani nihamuliwa kuvya nimbudili Chapanga!”
8 Kwa nini tusiseme, kama tulivyosingiziwa na kama wengine wanavyothibitisha kwamba tunasema, “Tufanye uovu, ili mema yaje”? Hukumu juu yao ni ya haki.
Hinu ndava kyani tijova lepi, tikitayi gahakau ndi tipatayi gabwina! Vandu vatiligili, vakajova kuvya nene niwula chenicho. Yati vihamuliwa ngati cheyiganikiwa.
9 Ni nini basi? Tunajitetea wenyewe? Hapana kabisa. Kwa kuwa sisi tayari tumewatuhumu Wayahudi na Wayunani wote pamoja, ya kuwa wapo chini ya dhambi.
Hinu tijova kyani? Wu, Tavayawudi tavabwina kuliku vandu vangi? Hati padebe! Ngati chenivajovili pakutumbula kuvya Vayawudi na vandu vangali Vayawudi voha vetalaliwa na kubuda.
10 Hii ni kama ilivyoandikwa: “Hakuna mwenye haki, hata mmoja.
Ngati Mayandiku Gamsopi chegijova, “Kawaka hati mmonga mweavili mbwina palongolo ya Chapanga!
11 Hakuna mtu ambaye anaelewa. Hakuna mtu ambaye anamtafuta Mungu.
Kawaka mundu mweamanyili, mewa kawaka hati mmonga mweinogela kumlonda Chapanga.
12 Wote wamegeuka. Wao kwa pamoja wamekuwa hawana maana. Hakuna atendaye mema, la, hata mmoja.
Voha vamlekili Chapanga, voha vabudili, kawaka mweikita gabwina, kawaka hati mmonga.
13 Makoo yao ni kaburi lililo wazi. Ndimi zao zimedanganya. Sumu ya nyoka ipo chini ya midomo yao.
Malovi gavi ginunga ngati litinda leligubukuliwi, lulimi lwavi lumemili udese, Mu milomo yavi gihuma malovi gana chimatila ngati cha liyoka.
14 Vinywa vyao vimejaa laana na uchungu.
Milomo yavi yimemili likoto na lipyanda.
15 Miguu yao ina mbio kumwaga damu.
Vandu avo vihamba kanyata kukoma vandu,
16 Uharibifu na mateso yapo katika njia zao.
Poha pevihamba vihalabisa na kuleka mang'ahiso.
17 Watu hawa hawajajua njia ya amani.
Vamanyili lepi kutama cha uteke.
18 Hakuna hofu ya Mungu mbele ya macho yao.”
Vakumyogopa lepi Chapanga hati padebe.”
19 Sasa tunajua kwamba chochote sheria isemacho, husema na wale walio chini ya sheria. Hii ni ili kwamba kila kinywa kifungwe, na hivyo kwamba ulimwengu wote uweze kuwajibika kwa Mungu.
Hinu timanyili kuvya malagizu ga Musa peyijova na vandu vala veviganikiwa kulongoswa na malagizu, muni kila mundu akotoka kuhotola kujikengelela, na vandu voha vahamuliwa na Chapanga.
20 Hii ni kwa sababu hakuna mwili utakaohesabiwa haki kwa matendo ya sheria mbele za macho yake. Kwa kuwa kupitia Sheria huja ufahamu wa dhambi.
Muni kawaka mundu yoyoha mweiyidikiwa kuvya mbwina palongolo ya Chapanga kwa kuyidakila Malagizu. Nambu malagizu gakutikita timanya kubuda.
21 Lakini sasa pasipo sheria, haki ya Mungu imejulikana. Ilishuhudiwa kwa sheria na Manabii,
Nambu hinu, njila ya Chapanga ya kuvayidikila vandu kuvya vabwina palongola yaki yimali kumanyikana. Njila yeniyi yihuvalila lepi Malagizu ga Musa. Hati hitabu ya Malagizu vyeviyandikwi na Musa na vamlota Chapanga vijova lijambu lenili.
22 hiyo ni, haki ya Mungu kupitia imani katika Yesu Kristo kwa wale wote wanaoamini. Maana hakuna tofauti.
Chapanga akuvakita vandu kuvya vabwina palongolo yaki kwa kumsadika Yesu Kilisitu. Chapanga ikita chenichi kwa voha vevakumsadika Kilisitu, kawaka mlekengano kwa Vayawudi na vandu vangali Vayawudi.
23 Kwa kuwa wote wamefanya dhambi, na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.
Vandu voha vambudili Chapanga na vavi kutali na ukulu wa Chapanga.
24 Wamehesabiwa haki bure kwa neema yake kwa njia ya ukombozi ulio katika Kristo Yesu.
Nambu kwa njombi waka ya ubwina wa Chapanga, vandu voha viyidikiwa kuvya vabwina kwa njila ya Yesu Kilisitu mweakuvagombola.
25 Kwa maana Mungu alimtoa Kristo Yesu awe upatanisho kwa njia ya imani katika damu yake. Alimtoa Kristo kama ushahidi wa haki yake, kwa sababu ya kuziachilia dhambi zilizopita
Chapanga amuwusili Yesu avya luteta, muni kwa ngasi yaki ahotola avalekekesa vandu kumbudila Chapanga kwa sadika yavi kwa Yesu Kilisitu. Akitili chenicho muni alangisa ubwina waki palongolo ya vandu. Kwakona Kilisitu kufwa Chapanga alolili ndu changali kuvabuna ndava ya mabudilu gavi.
26 katika uvumilivu wake. Haya yote yalitokea ili kuonesha haki yake wakati huu wa sasa. Hii ilikuwa ili aweze kujithibitisha mwenyewe kuwa haki, na kuonesha kwamba humhesabia haki mtu yeyote kwa sababu ya imani katika Yesu.
Nambu kwa lukumbi ulu amuwusili Yesu muni kulangisa mwene ndi mbwina, na kwa kukita chenicho Chapanga ilangisa kuvya mwene ndi mbwina na ihotola kuvakita vandu kuvya vabwina palongolo yaki kwa kumsadika Yesu.
27 Kuwapi basi kujisifu? Kumetengwa. Kwa misingi ipi? Misingi ya matendo? Hapana, lakini kwa misingi ya imani.
Hinu tihotola kumekela kyani? Kawaka! Ndava kyani! Wu, mundu ihotola kumeka ndava kuyidakila Malagizu ga Chapanga? Lepi! Nambu muni tikumsadika Yesu Kilisitu.
28 Hivyo tunahitimisha kwamba mtu huhesabiwa haki kwa imani pasipo matendo ya sheria.
Ndava muni tilola kuvya Chapanga akumkita mundu kuvya mbwina palongolo yaki kwa njila ya sadika, lepi kwa kuyidakila Malagizu.
29 Au Mungu ni Mungu wa Wayahudi tu? Je yeye si Mungu wa watu wa Mataifa pia? Ndiyo, wa mataifa pia.
Wu, Chapanga ndi Chapanga wa Vayawudi vene ndu? Wu mwene lepi Chapanga wa vandu vangali Vayawudi mewawa? Ena, mwene ndi Chapanga wa vandu vangali Vayawudi mewawa.
30 Ikiwa kwa kweli Mungu ni mmoja, atawahesabia haki walio wa tohara kwa imani, na wasiotahiriwa kwa njia ya imani.
Chapanga ndi mmonga, na akuvakita Vayawudi vavya vabwina palongolo yaki kwa sadika yavi, mewawa akuvakita vandu vangali Vayawudi vavyayi vabwina palongolo yaki kwa njila ya sadika yiyoyo.
31 Je sisi twaibatilisha sheria kwa imani? La hasha! Kinyume cha hayo, sisi twaithibitisha sheria.
Wu, hinu tikuyivika kutali Malagizu kwa sadika iyi? Hati padebe, nambu tikuyitopesa Malagizu.