< Warumi 2 >
1 Kwa hiyo hauna udhuru, wewe uhukumuye, kwa maana katika yale uhukumuyo mwingine wajitia hatiani mwenyewe. Kwa maana wewe uhukumuye unafanya mambo yale yale.
he paraduu. saka manu. sya ya. h ka"scana tva. m bhavasi tavottaradaanaaya panthaa naasti yato yasmaat karmma. na. h parastvayaa duu. syate tasmaat tvamapi duu. syase, yatasta. m duu. sayannapi tva. m tadvad aacarasi|
2 Lakini twajua kwamba hukumu ya Mungu ni ya kweli juu yao wafanyao mambo kama hayo.
kintvetaad. rgaacaaribhyo ya. m da. n.dam ii"svaro ni"scinoti sa yathaartha iti vaya. m jaaniima. h|
3 Lakini wewe tafakari hili, wewe ambaye unahukumu wale wanaotenda mambo hayo ingawa nawe unafanya mambo yayo hayo. Je utaepuka hukumu ya Mungu?
ataeva he maanu. sa tva. m yaad. rgaacaari. no duu. sayasi svaya. m yadi taad. rgaacarasi tarhi tvam ii"svarada. n.daat palaayitu. m "sak. syasiiti ki. m budhyase?
4 Au unafikiri kidogo sana juu ya wingi wa wema wake, kuchelewa kwa adhabu yake, na uvumilivu wake? Je, hujui kwamba wema wake unapaswa kukuelekeza katika toba?
apara. m tava manasa. h parivarttana. m karttum i"svarasyaanugraho bhavati tanna buddhvaa tva. m ki. m tadiiyaanugrahak. samaacirasahi. s.nutvanidhi. m tucchiikaro. si?
5 Bali kwa kadiri ya ugumu wako na kwa moyo wako usio na toba wajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu kwa siku ile ya ghadhabu, yaani, siku ile ya ufunuo wa hukumu ya haki ya Mungu.
tathaa svaanta. hkara. nasya ka. thoratvaat khedaraahityaacce"svarasya nyaayyavicaaraprakaa"sanasya krodhasya ca dina. m yaavat ki. m svaartha. m kopa. m sa ncino. si?
6 Yeye atamlipa kila mtu kipimo sawa na matendo yake:
kintu sa ekaikamanujaaya tatkarmmaanusaare. na pratiphala. m daasyati;
7 kwa wale ambao kwa uthabiti wa matendo mema wametafuta sifa, heshima na kutokuharibika, atawapa uzima wa milele. (aiōnios )
vastutastu ye janaa dhairyya. m dh. rtvaa satkarmma kurvvanto mahimaa satkaaro. amaratva ncaitaani m. rgayante tebhyo. anantaayu rdaasyati| (aiōnios )
8 Lakini kwa wale ambao ni wabinafsi, wasioitii kweli bali hutii dhuluma, ghadhabu na hasira kali itakuja.
apara. m ye janaa. h satyadharmmam ag. rhiitvaa vipariitadharmmam g. rhlanti taad. r"saa virodhijanaa. h kopa. m krodha nca bhok. syante|
9 Mungu ataleta dhiki na shida juu ya kila nafsi ya binadamu aliyefanya uovu, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia.
aa yihuudino. anyade"sina. h paryyanta. m yaavanta. h kukarmmakaari. na. h praa. nina. h santi te sarvve du. hkha. m yaatanaa nca gami. syanti;
10 Lakini sifa, heshima na amani itakuja kwa kila mtu atendaye mema, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia.
kintu aa yihuudino bhinnade"siparyyantaa yaavanta. h satkarmmakaari. no lokaa. h santi taan prati mahimaa satkaara. h "saanti"sca bhavi. syanti|
11 Kwa maana hakuna upendeleo kwa Mungu.
ii"svarasya vicaare pak. sapaato naasti|
12 Kwa maana kama vile wengi waliokosa pasipo sheria watapotea pasipo sheria, na kama vile wengi waliokosa kulingana na sheria watahukumiwa kwa sheria.
alabdhavyavasthaa"saastrai ryai. h paapaani k. rtaani vyavasthaa"saastraalabdhatvaanuruupaste. saa. m vinaa"so bhavi. syati; kintu labdhavyavasthaa"saastraa ye paapaanyakurvvan vyavasthaanusaaraadeva te. saa. m vicaaro bhavi. syati|
13 Maana si wasikiaji wa sheria walio wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale waitendao sheria watakaohesabiwa haki.
vyavasthaa"srotaara ii"svarasya samiipe ni. spaapaa bhavi. syantiiti nahi kintu vyavasthaacaari. na eva sapu. nyaa bhavi. syanti|
14 Kwa maana watu wa Mataifa, ambao hawana sheria, wanafanya kwa asili mambo ya sheria, wao, wamekuwa sheria kwa nafsi zao, ingawa wao hawana sheria.
yato. alabdhavyavasthaa"saastraa bhinnade"siiyalokaa yadi svabhaavato vyavasthaanuruupaan aacaaraan kurvvanti tarhyalabdha"saastraa. h santo. api te sve. saa. m vyavasthaa"saastramiva svayameva bhavanti|
15 Kwa hili wanaonesha kwamba matendo yanayohitajika kwa mujibu wa sheria yameandikwa ndani ya mioyo yao. Dhamiri zao pia zinawashuhudia wao, na mawazo yao wenyewe ama huwashitaki au huwalinda wao wenyewe
te. saa. m manasi saak. sisvaruupe sati te. saa. m vitarke. su ca kadaa taan do. si. na. h kadaa vaa nirdo. saan k. rtavatsu te svaantarlikhitasya vyavasthaa"saastrasya pramaa. na. m svayameva dadati|
16 na pia kwa Mungu. Haya yatatokea katika siku ambayo Mungu atazihukumu siri za watu wote, sawasawa na injili yangu, kwa njia ya Yesu Kristo.
yasmin dine mayaa prakaa"sitasya susa. mvaadasyaanusaaraad ii"svaro yii"sukhrii. s.tena maanu. saa. naam anta. hkara. naanaa. m guu. dhaabhipraayaan dh. rtvaa vicaarayi. syati tasmin vicaaradine tat prakaa"si. syate|
17 Tuseme kwamba unajiita mwenyewe Myahudi, aliyekaa katika sheria, shangilia kwa kujisifu katika Mungu,
pa"sya tva. m svaya. m yihuudiiti vikhyaato vyavasthopari vi"svaasa. m karo. si,
18 yajue mapenzi yake, na kupima mambo ambayo yanatofautiana nayo, baada ya kuagizwa na sheria.
ii"svaramuddi"sya sva. m "slaaghase, tathaa vyavasthayaa "sik. sito bhuutvaa tasyaabhimata. m jaanaasi, sarvvaasaa. m kathaanaa. m saara. m vivi. mk. se,
19 Na tuseme kwamba una ujasiri kwamba wewe mwenyewe ni kiongozi wa kipofu, mwanga kwa wale walio gizani,
apara. m j naanasya satyataayaa"scaakarasvaruupa. m "saastra. m mama samiipe vidyata ato. andhalokaanaa. m maargadar"sayitaa
20 msahihishaji wa wajinga, mwalimu wa watoto, na kwamba unayo katika sheria jinsi ya elimu na kweli.
timirasthitalokaanaa. m madhye diiptisvaruupo. aj naanalokebhyo j naanadaataa "si"suunaa. m "sik. sayitaahameveti manyase|
21 Wewe basi, uhubiriye mwingine, je, hujifundishi mwenyewe? Wewe uhubiriye kutokuiba, je wewe huiba?
paraan "sik. sayan svaya. m sva. m ki. m na "sik. sayasi? vastuta"scauryyani. sedhavyavasthaa. m pracaarayan tva. m ki. m svayameva corayasi?
22 Wewe usemae usizini, je unazini? Wewe uchukiaye sanamu, je unaiba hekaluni?
tathaa paradaaragamana. m prati. sedhan svaya. m ki. m paradaaraan gacchasi? tathaa tva. m svaya. m pratimaadve. sii san ki. m mandirasya dravyaa. ni harasi?
23 Wewe ujisifuye katika sheria, je haumfedheheshi Mungu katika kuvunja sheria?
yastva. m vyavasthaa. m "slaaghase sa tva. m ki. m vyavasthaam avamatya ne"svara. m sammanyase?
24 Kwa maana “jina la Mungu linafedheheshwa kati ya watu wa mataifa kwa sababu yenu,” kama ilivyoandikwa.
"saastre yathaa likhati "bhinnade"sinaa. m samiipe yu. smaaka. m do. saad ii"svarasya naamno nindaa bhavati|"
25 Kwa maana Kutahiriwa kweli kwafaa kama ukitii sheria, lakini kama wewe ni mkiukaji wa sheria, kutahiriwa kwako kunakuwa kutokutahiriwa.
yadi vyavasthaa. m paalayasi tarhi tava tvakchedakriyaa saphalaa bhavati; yati vyavasthaa. m la"nghase tarhi tava tvakchedo. atvakchedo bhavi. syati|
26 Basi, ikiwa, mtu asiyetahiriwa anaendelea kushika matakwa ya sheria, je kutokutahiriwa kwake hakutachukuliwa kana kwamba ametahiriwa?
yato vyavasthaa"saastraadi. s.tadharmmakarmmaacaarii pumaan atvakchedii sannapi ki. m tvakchedinaa. m madhye na ga. nayi. syate?
27 Na yeye asiyetahiriwa kwa asili hatakuhukumu kama akitimiza sheria? Hii ni kwa sababu una maandiko yaliyoandikwa na tohara pia lakini bado u mkiukaji wa sheria!
kintu labdha"saastra"schinnatvak ca tva. m yadi vyavasthaala"nghana. m karo. si tarhi vyavasthaapaalakaa. h svaabhaavikaacchinnatvaco lokaastvaa. m ki. m na duu. sayi. syanti?
28 Kwa maana yeye si Myahudi aliye kwa hali ya nje; wala kutahiriwa si kule ambako ni kwa nje tu katika mwili.
tasmaad yo baahye yihuudii sa yihuudii nahi tathaa"ngasya yastvakcheda. h sa tvakchedo nahi;
29 Lakini yeye ni Myahudi aliye kwa ndani, na tohara ni ya moyo, katika roho, si katika andiko. Sifa ya mtu wa namna hiyo haitokani na watu bali yatoka kwa Mungu.
kintu yo jana aantariko yihuudii sa eva yihuudii apara nca kevalalikhitayaa vyavasthayaa na kintu maanasiko yastvakchedo yasya ca pra"sa. msaa manu. syebhyo na bhuutvaa ii"svaraad bhavati sa eva tvakcheda. h|