< Warumi 2 >

1 Kwa hiyo hauna udhuru, wewe uhukumuye, kwa maana katika yale uhukumuyo mwingine wajitia hatiani mwenyewe. Kwa maana wewe uhukumuye unafanya mambo yale yale.
Przetoż jesteś bez wymówki, o człowiecze! który osądzasz; bo w czem drugiego osądzasz, samego siebie osądzasz, ponieważ toż czynisz, który drugiego osądzasz.
2 Lakini twajua kwamba hukumu ya Mungu ni ya kweli juu yao wafanyao mambo kama hayo.
Lecz wiemy, iż sąd Boży jest według prawdy przeciwko tym, którzy takowe rzeczy czynią.
3 Lakini wewe tafakari hili, wewe ambaye unahukumu wale wanaotenda mambo hayo ingawa nawe unafanya mambo yayo hayo. Je utaepuka hukumu ya Mungu?
Czy mniemasz, o człowiecze! który osądzasz tych, co takowe rzeczy czynią, a sam je czynisz, że ty ujdziesz sądu Bożego?
4 Au unafikiri kidogo sana juu ya wingi wa wema wake, kuchelewa kwa adhabu yake, na uvumilivu wake? Je, hujui kwamba wema wake unapaswa kukuelekeza katika toba?
Czy bogactwy dobrotliwości jego i cierpliwości, i nieskwapliwości pogardzasz, nie wiedząc, iż cię dobrotliwość Boża do pokuty prowadzi?
5 Bali kwa kadiri ya ugumu wako na kwa moyo wako usio na toba wajiwekea mwenyewe akiba ya ghadhabu kwa siku ile ya ghadhabu, yaani, siku ile ya ufunuo wa hukumu ya haki ya Mungu.
Ale podług zatwardziałości twojej i serca niepokutującego skarbisz sobie samemu gniew na dzień gniewu i objawienia sprawiedliwego sądu Bożego.
6 Yeye atamlipa kila mtu kipimo sawa na matendo yake:
Który odda każdemu podług uczynków jego;
7 kwa wale ambao kwa uthabiti wa matendo mema wametafuta sifa, heshima na kutokuharibika, atawapa uzima wa milele. (aiōnios g166)
Tym, którzy przez wytrwanie w uczynku dobrym szukają sławy i czci i nieskazitelności, odda żywot wieczny; (aiōnios g166)
8 Lakini kwa wale ambao ni wabinafsi, wasioitii kweli bali hutii dhuluma, ghadhabu na hasira kali itakuja.
A zaś swarliwym i prawdzie nieposłusznym, lecz posłusznym niesprawiedliwości, odda zapalczywość i gniew;
9 Mungu ataleta dhiki na shida juu ya kila nafsi ya binadamu aliyefanya uovu, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia.
Utrapienie i ucisk duszy każdego człowieka, który złość popełnia, Żyda najprzód, potem i Greka;
10 Lakini sifa, heshima na amani itakuja kwa kila mtu atendaye mema, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia.
A chwałę i cześć, i pokój wszelkiemu czyniącemu dobre, Żydowi najprzód, potem i Grekowi.
11 Kwa maana hakuna upendeleo kwa Mungu.
Albowiem nie masz względu na osoby u Boga.
12 Kwa maana kama vile wengi waliokosa pasipo sheria watapotea pasipo sheria, na kama vile wengi waliokosa kulingana na sheria watahukumiwa kwa sheria.
A którzykolwiek bez zakonu zgrzeszyli, bez zakonu też poginą; a którzykolwiek w zakonie zgrzeszyli, przez zakon sądzeni będą.
13 Maana si wasikiaji wa sheria walio wenye haki mbele za Mungu, bali ni wale waitendao sheria watakaohesabiwa haki.
(Gdyż nie słuchacze zakonu sprawiedliwymi są u Boga; ale czyniciele zakonu usprawiedliwieni będą.)
14 Kwa maana watu wa Mataifa, ambao hawana sheria, wanafanya kwa asili mambo ya sheria, wao, wamekuwa sheria kwa nafsi zao, ingawa wao hawana sheria.
Bo ponieważ poganie nie mający zakonu, z przyrodzenia czynią, co jest w zakonie, ci, zakonu nie mając, sami sobie są zakonem;
15 Kwa hili wanaonesha kwamba matendo yanayohitajika kwa mujibu wa sheria yameandikwa ndani ya mioyo yao. Dhamiri zao pia zinawashuhudia wao, na mawazo yao wenyewe ama huwashitaki au huwalinda wao wenyewe
Którzy ukazują skutek zakonu, napisany na sercach swych, z poświadczaniem sumienia ich i myśli wespół siebie oskarżających albo też wymawiających,
16 na pia kwa Mungu. Haya yatatokea katika siku ambayo Mungu atazihukumu siri za watu wote, sawasawa na injili yangu, kwa njia ya Yesu Kristo.
W dzień, gdy sądzić będzie Bóg skryte rzeczy ludzkie według Ewangielii mojej przez Jezusa Chrystusa.
17 Tuseme kwamba unajiita mwenyewe Myahudi, aliyekaa katika sheria, shangilia kwa kujisifu katika Mungu,
Oto się ty nazywasz Żydem i polegasz na zakonie, a chlubisz się Bogiem.
18 yajue mapenzi yake, na kupima mambo ambayo yanatofautiana nayo, baada ya kuagizwa na sheria.
I znasz wolę jego i rozeznajesz rzeczy różne od niej, wyćwiczony będąc z zakonu;
19 Na tuseme kwamba una ujasiri kwamba wewe mwenyewe ni kiongozi wa kipofu, mwanga kwa wale walio gizani,
I masz za to, żeś jest wodzem ślepych, światłością tych, którzy są w ciemności;
20 msahihishaji wa wajinga, mwalimu wa watoto, na kwamba unayo katika sheria jinsi ya elimu na kweli.
Mistrzem bezrozumnych, nauczycielem niemowlątek, mając kształt znajomości i prawdy w zakonie.
21 Wewe basi, uhubiriye mwingine, je, hujifundishi mwenyewe? Wewe uhubiriye kutokuiba, je wewe huiba?
Który tedy uczysz drugiego, siebie samego nie uczysz? Który opowiadasz, żeby nie kradziono, kradniesz?
22 Wewe usemae usizini, je unazini? Wewe uchukiaye sanamu, je unaiba hekaluni?
Który mówisz, żeby nie cudzołożono, cudzołożysz? który się brzydzisz bałwany, święte rzeczy kradniesz?
23 Wewe ujisifuye katika sheria, je haumfedheheshi Mungu katika kuvunja sheria?
Który się chlubisz zakonem, przez przestępstwo zakonu Boga lżysz?
24 Kwa maana “jina la Mungu linafedheheshwa kati ya watu wa mataifa kwa sababu yenu,” kama ilivyoandikwa.
Albowiem imię Boże dla was bluźnione bywa między pogany, jako napisano.
25 Kwa maana Kutahiriwa kweli kwafaa kama ukitii sheria, lakini kama wewe ni mkiukaji wa sheria, kutahiriwa kwako kunakuwa kutokutahiriwa.
Boć obrzezanie jest pożyteczne, jeźlibyś pełnił zakon; ale jeźlibyś był przestępcą zakonu, twoje obrzezanie stało się nieobrzezką.
26 Basi, ikiwa, mtu asiyetahiriwa anaendelea kushika matakwa ya sheria, je kutokutahiriwa kwake hakutachukuliwa kana kwamba ametahiriwa?
Jeźliby tedy nieobrzezka przestrzegała praw zakonnych, azaż jego nieobrzezka nie będzie przyczyną za obrzezkę?
27 Na yeye asiyetahiriwa kwa asili hatakuhukumu kama akitimiza sheria? Hii ni kwa sababu una maandiko yaliyoandikwa na tohara pia lakini bado u mkiukaji wa sheria!
I osądzi nieobrzezka z przyrodzenia zakon pełniąca ciebie, który przez literę i obrzezkę jesteś przestępcą zakonu.
28 Kwa maana yeye si Myahudi aliye kwa hali ya nje; wala kutahiriwa si kule ambako ni kwa nje tu katika mwili.
Albowiem nie ten jest Żydem, który jest Żydem na jawie, ani to jest obrzezka, która jest na jawie na ciele;
29 Lakini yeye ni Myahudi aliye kwa ndani, na tohara ni ya moyo, katika roho, si katika andiko. Sifa ya mtu wa namna hiyo haitokani na watu bali yatoka kwa Mungu.
Ale który jest w skrytości Żydem i obrzezka serca, która jest w duchu, nie w literze, której chwała nie jest z ludzi, ale z Boga.

< Warumi 2 >