< Warumi 15 >
1 Sasa sisi tulio na nguvu tunapaswa kuuchukua udhaifu wa walio dhaifu, na hatupaswi kujipendeza wenyewe.
Torej moramo mi, ki smo močni, prenašati slabotnosti šibkih, ne pa da ugajamo sebi.
2 Kila mmoja wetu ampendeze jirani yake kwani ni jambo jema, kwa lengo la kumjenga.
Naj vsak izmed nas ugaja svojemu bližnjemu v njegovo dobro, za izgrajevanje.
3 Kwani hata Kristo hakujipendeza mwenyewe. Badala yake, ilikuwa kama ilivyoandikwa, “Matusi ya wale waliokutukana yamenipata mimi.”
Kajti celó Kristus ni ugajal sebi; temveč, kakor je pisano: ›Graje teh, ki so te grajali, so padle name.‹
4 Kwa chochote kilichotangulia kuandikwa, kiliandikwa kwa kutuelekeza, kwa kusudi kwamba kupitia uvumilivu na kupitia kutiwa moyo na maandiko tungekuwa na ujasiri.
Kajti katerekoli stvari so bile vnaprej napisane, so bile napisane za naše učenje, da bi lahko preko potrpežljivosti in tolažbe iz pisem imeli upanje.
5 Sasa Mungu wa uvumilivu na wa kutia moyo awape kuwa na nia sawa kwa kila mmoja kulingana na Yesu Kristo.
Naj vam torej Bog potrpežljivosti in tolažbe zagotovi, da boste istih misli drug do drugega glede na Kristusa Jezusa;
6 Aweze kufanya hivi kwa nia moja muweze kumsifu kwa kinywa kimoja Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.
da boste lahko z enim umom in enimi usti slavili Boga, celó Očeta našega Gospoda Jezusa Kristusa.
7 Kwa hiyo mpokeeni kila mmoja, kama vile Kristo alivyowapokea, kwa utukufu wa Mungu.
Zatorej sprejemajte drug drugega, kakor je tudi Kristus nas sprejel v Božjo slavo.
8 Kwani nasema kwamba Kristo amefanywa mtumishi wa tohara kwa niaba ya ukweli wa Mungu. Alifanya hivi ili kwamba aweze kuthibitisha ahadi zilizotolewa kwa mababa,
Torej pravim, da je bil Jezus Kristus služabnik obreze za Božjo resnico, da potrdi obljube, narejene očetom,
9 na kwa mataifa kumtukuza Mungu kwa neema yake. Kama ambavyo imeandikwa, “Kwa hiyo nitatoa sifa kwako miongoni mwa mataifa na kuimba sifa katika jina lako.”
in da lahko pogani zaradi njegovega usmiljenja slavijo Boga; kakor je pisano: ›Zaradi tega razloga te bom priznal med pogani in prepeval tvojemu imenu.‹
10 Tena inasema, “Furahini, ninyi watu wa mataifa, pamoja na watu wake.”
In ponovno pravi: ›Veselite se, vi pogani, z njegovimi ljudmi.‹
11 Na tena, “Msifuni Bwana, ninyi mataifa yote; acha watu wa mataifa yote wamsifu yeye.”
In ponovno: ›Hvalíte Gospoda, vsi pogani; in povzdigujte ga vsi ljudje.‹
12 Tena Isaya asema, “Kutakuwa na shina la Yese, na mmoja atakayeinuka kutawala juu ya mataifa. Mataifa watakuwa na tumaini katika yeye.”
In ponovno Izaija pravi: ›Jesejeva korenina bo in tisti, ki se bo dvignil, da kraljuje nad pogani; vanj bodo zaupali pogani.‹
13 Sasa Mungu wa tumaini awajaze na furaha yote na amani kwa kuamini, ili kwamba muweze kuzidi katika tumaini, kwa nguvu ya Roho Mtakatifu.
Torej Bog upanja naj vas napolni z velikim veseljem in mirom v verovanju, da boste, po môči Svetega Duha, obilni v upanju.
14 Mimi mwenyewe pia nimeshawishiwa nanyi, ndugu zangu. Nimeshawishiwa kwamba pia ninyi wenyewe mmejazwa na wema, mmejazwa na maarifa yote. Ninashawishiwa kwamba, ninyi mwaweza pia kuhimizana kila mmoja na mwenzake.
In tudi jaz sam sem prepričan o vas, moji bratje, da ste tudi vi polni dobrote, izpolnjeni z vsem spoznanjem, zmožni tudi drug drugega opominjati.
15 Lakini ninaandika kwa ujasiri zaidi kwenu juu ya mambo fulani ili kuwakumbusha tena, sababu ya kipawa nilichopewa na Mungu.
Vendar, bratje, zaradi milosti, ki mi je dana od Boga, sem vam napisal na nek način pogumneje, kakor da vas spomnim,
16 Kipawa hiki kilikuwa kwamba niweze kuwa mtumishi wa Yesu Kristo aliyetumwa kwa mataifa, kujitoa kama kuhani wa injili ya Mungu. Ningeweza kufanya hivi ili kujitoa kwangu kwa mataifa kuwe kumekubaliwa, kumetengwa na Mungu kwa njia ya Roho Mtakatifu.
da naj bi bil jaz služabnik Jezusa Kristusa za pogane, ko služim Božjemu evangeliju, da bi bila daritev poganov, posvečena po Svetem Duhu, lahko sprejemljiva.
17 Hivyo furaha yangu iko katika Kristo Yesu na katika mambo ya Mungu.
Torej imam nekaj, s čimer se lahko po Jezusu Kristusu ponašam v teh stvareh, ki se nanašajo na Boga.
18 Kwani sitaweza kuthubutu kunena lolote isipokuwa kwamba Kristo amekamilisha kupitia kwangu utii wa mataifa. Haya mambo yametimizwa kwa neno na tendo,
Kajti ne bom si drznil govoriti o katerikoli izmed tistih stvari, ki jih Kristus ni naredil po meni, da bi naredil pogane poslušne v besedi in dejanju,
19 kwa nguvu za ishara na maajabu, na kwa nguvu za Roho Mtakatifu. Hii ilikuwa ili kwamba kutoka Yerusalem, na kuzungukia mbali kama Iliriko, niweze kuichukua nje kwa ukamilifu injili ya Kristo.
preko mogočnih znamenj in čudežev, po moči Božjega Duha; tako da sem od Jeruzalema in naokoli do Ilirika obširno oznanil Kristusov evangelij.
20 Kwa njia hii, nia yangu imekuwa kuitangaza injili, lakini si mahali Kristo anajulikana kwa jina, ili kwamba nisiweze kujenga juu ya msingi wa mtu mwingine.
Da, tako sem si prizadeval, da ne oznanim evangelija, kjer je bil Kristus imenovan, da ne bi gradil na temelju drugega človeka,
21 Kama ilivyoandikwa: “Ambao kwa yeye hawana habari zake alikuja watamwona, na wale ambao hawakumsikia watamfahamu.”
temveč kakor je pisano: ›Katerim ni bilo govorjeno, bodo videli; in tisti, ki niso slišali, bodo razumeli.‹
22 Kwahiyo nilikuwa pia nimezuiliwa mara nyingi kuja kwenu.
Zaradi tega razloga sem bil tudi sam zelo oviran, da pridem k vam.
23 Lakini sasa, sina tena sehemu yoyote katika mikoa hii, na nimekuwa nikitamani kwa miaka mingi kuja kwenu.
Toda sedaj, ko v teh krajih nimam več prostora in imam ta mnoga leta veliko željo, da pridem k vam;
24 Hivyo mara zote nikienda Hispania, ninatumaini kuwaona nikipita, na kuweza kupelekwa njia yangu na ninyi, baada ya kuwa nimefurahia ushirika na ninyi kwa muda.
kadarkoli se odpravim na svoje potovanje v Španijo, bom prišel k vam, kajti zaupam, da vas na svojem potovanju vidim in da bom na svoji poti tja priveden mimo vas, da bi bil najprej nekoliko izpolnjen z vašo druščino.
25 Lakini sasa ninakwenda Yerusalemu kuwahudumia waumini.
Toda sedaj grem v Jeruzalem, da služim svetim.
26 Maana iliwapendeza watu wa Makedonia na Akaya kufanya changizo maalumu kwa masikini miongoni mwa waumini huko Yerusalemu.
Kajti tem iz Makedonije in Ahaje je ugajalo, da zberejo nek prispevek za revne svete, ki so v Jeruzalemu.
27 Ndiyo, ilikuwa kwa upendo wao, na hakika, wamekuwa wadeni wao. Maana ikiwa mataifa wameshiriki katika mambo yao ya kiroho, wanadaiwa na wao pia kuwahudumia katika mahitaji ya vitu.
To jih je resnično veselilo; in njihovi dolžniki so. Kajti če so pogani postali soudeleženi njihovih duhovnih stvari, je tudi njihova dolžnost, da jim služijo v mesenih stvareh.
28 Kwahiyo, wakati nimekamilisha hivi na kuwa na utoshelevu wa tunda hili kwao, mimi nitakwenda njiani pamoja nanyi huko Hispania.
Ko bom torej to opravil in jim zapečatil ta sad, bom mimo vas prišel v Španijo.
29 Najua kwamba, wakati nikija kwenu, nitakuja katika utimilifu wa baraka za Kristo.
In prepričan sem, ko pridem k vam, da bom prišel v polnosti blagoslova Kristusovega evangelija.
30 Sasa ninawasihi, ndugu, kwa Bwana wetu Yesu Kristo, na kwa upendo wa Roho, kwamba mshiriki pamoja nami katika maombi yenu kwa Mungu kwa ajili yangu.
Sedaj vas rotim, bratje, zaradi Gospoda Jezusa Kristusa in zaradi ljubezni Duha, da se skupaj z menoj borite v svojih molitvah zame k Bogu;
31 Ombeni kwamba niweze kuokolewa kutoka kwao wasio na utii katika Yudea, na kwamba huduma yangu huko Yerusalemu iweze kupokelewa na waumini.
da bom lahko rešen pred temi, ki v Judeji ne verujejo; in da bodo mojo službo, ki jo imam za Jeruzalem, sveti lahko sprejeli;
32 Ombeni kwamba ninaweza kuja kwenu kwa furaha kupitia mapenzi ya Mungu, na kwamba niweze kuwa pamoja nanyi, kupata kupumzika.
da bom lahko po Božji volji z veseljem prišel k vam in bom lahko skupaj z vami okrepčan.
33 Na Mungu wa amani awe pamoja nanyi nyote. Amina
Torej Bog miru bodi z vami vsemi. Amen.