< Warumi 15 >
1 Sasa sisi tulio na nguvu tunapaswa kuuchukua udhaifu wa walio dhaifu, na hatupaswi kujipendeza wenyewe.
Tete vetivii na makakala mu sadika, tiganikiwa kuvatangatila vakulenda. Tikotoka kukita mambu gegatiganisa tavete ndu.
2 Kila mmoja wetu ampendeze jirani yake kwani ni jambo jema, kwa lengo la kumjenga.
Kila mmonga witu iganikiwa kumganisa mundu yungi kwa kumkitila gabwina na muni amkangamalisa mu sadika.
3 Kwani hata Kristo hakujipendeza mwenyewe. Badala yake, ilikuwa kama ilivyoandikwa, “Matusi ya wale waliokutukana yamenipata mimi.”
Muni Kilisitu ajiganisi lepi mwene. Pahali paki Mayandiku chegijova, “Maligu goha gevakuligili, ganikolili nene.”
4 Kwa chochote kilichotangulia kuandikwa, kiliandikwa kwa kutuelekeza, kwa kusudi kwamba kupitia uvumilivu na kupitia kutiwa moyo na maandiko tungekuwa na ujasiri.
Muni, goha gegayandikiwi kadeni gayandikwi kutiwula tete, muni kwa kusindimala na kupoleswa mtima, yetipata mu Mayandiku ago, tivya na huvalila.
5 Sasa Mungu wa uvumilivu na wa kutia moyo awape kuwa na nia sawa kwa kila mmoja kulingana na Yesu Kristo.
Chapanga mwakuvapela usindimala na kupoleswa mtima avapela nyenye mpungu wa umonga pagati yinu, pemukumlanda Yesu Kilisitu,
6 Aweze kufanya hivi kwa nia moja muweze kumsifu kwa kinywa kimoja Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.
mwavoha nyenye, kwa mtima umonga na lwami lumonga, mumlumbalila Chapanga mweavili Dadi wa BAMBU witu Yesu Kilisitu.
7 Kwa hiyo mpokeeni kila mmoja, kama vile Kristo alivyowapokea, kwa utukufu wa Mungu.
Hinu, mumpokelana nyenye kwa nyenye ngati Kilisitu cheavapokili ndava ya Ukulu wa Chapanga.
8 Kwani nasema kwamba Kristo amefanywa mtumishi wa tohara kwa niaba ya ukweli wa Mungu. Alifanya hivi ili kwamba aweze kuthibitisha ahadi zilizotolewa kwa mababa,
Muni, chakaka nikuvajovela kuvya, Kilisitu akitili uhengaji ndava ya Vayawudi kulangisa usadika wa Chapanga na lilaganu lila levapewili vagogo vitu litimilikayi,
9 na kwa mataifa kumtukuza Mungu kwa neema yake. Kama ambavyo imeandikwa, “Kwa hiyo nitatoa sifa kwako miongoni mwa mataifa na kuimba sifa katika jina lako.”
Mewawa vandu vangali Vayawudi vamulumbalila Chapanga ndava ya lipyana laki. Ngati Mayandiku Gamsopi chegijova, “Hinu yati tikumlumbalila pagati ya vandu vangali Vayawudi. Yati niyimba lunyimbu lwa kulilumbalila liina laku.”
10 Tena inasema, “Furahini, ninyi watu wa mataifa, pamoja na watu wake.”
Kangi Mayandiku chegijova, “Muhekelela, nyenye vandu vangali Vayawudi, muhekelela pamonga na vandu va Chapanga.”
11 Na tena, “Msifuni Bwana, ninyi mataifa yote; acha watu wa mataifa yote wamsifu yeye.”
Na kavili, “Nyenye vandu voha vangali Vayawudi, mumlumbalila BAMBU, vandu voha mumlumbayi.”
12 Tena Isaya asema, “Kutakuwa na shina la Yese, na mmoja atakayeinuka kutawala juu ya mataifa. Mataifa watakuwa na tumaini katika yeye.”
Isaya ijova, “Yati ihumalila nkosi mu lukolo lwa Yese, na kuvatalalila vandu vangali Vayawudi, na vene yati vakumuhuvalila.”
13 Sasa Mungu wa tumaini awajaze na furaha yote na amani kwa kuamini, ili kwamba muweze kuzidi katika tumaini, kwa nguvu ya Roho Mtakatifu.
Hinu, Chapanga mweileta huvalila, avamemesa luheku lwoha lwa uteke mu sadika yinu. Na huvalila yinu yiyonjokesa kwa makakala ga Mpungu Msopi.
14 Mimi mwenyewe pia nimeshawishiwa nanyi, ndugu zangu. Nimeshawishiwa kwamba pia ninyi wenyewe mmejazwa na wema, mmejazwa na maarifa yote. Ninashawishiwa kwamba, ninyi mwaweza pia kuhimizana kila mmoja na mwenzake.
Valongo vangu, nene nivii na uchakaka kuvya nyenye mmemili ubwina, muna mawuliwu goha hati muhotola kuwulana nyenye kwa nyenye.
15 Lakini ninaandika kwa ujasiri zaidi kwenu juu ya mambo fulani ili kuwakumbusha tena, sababu ya kipawa nilichopewa na Mungu.
Nambu mubalua iyi nivayandikili changali wogohi, mu mambu ndalindali muni ivakumbusayi kavili. Nivili na ukekesi ndava ya ubwina wa Chapanga wenipewili nayu,
16 Kipawa hiki kilikuwa kwamba niweze kuwa mtumishi wa Yesu Kristo aliyetumwa kwa mataifa, kujitoa kama kuhani wa injili ya Mungu. Ningeweza kufanya hivi ili kujitoa kwangu kwa mataifa kuwe kumekubaliwa, kumetengwa na Mungu kwa njia ya Roho Mtakatifu.
kuvya mtumisi wa Yesu Kilisitu kwa vandu vangali Vayawudi. Nikita lihengu langu kwa ukekesi kukokosa Lilovi La Bwina la Chapanga muni vandu vangali Vayawudi vavyai luteta lweluyidakiliwa na Chapanga, yeyinyambiswa na Mpungu Msopi.
17 Hivyo furaha yangu iko katika Kristo Yesu na katika mambo ya Mungu.
Ndi cheniwungini na Yesu Kilisitu, nihotola kumekela lihengu langu lenili kwa kumhengela Chapanga.
18 Kwani sitaweza kuthubutu kunena lolote isipokuwa kwamba Kristo amekamilisha kupitia kwangu utii wa mataifa. Haya mambo yametimizwa kwa neno na tendo,
Nangahotola kuyonjokesa chindu chingi, ndi chila Yesu Kilisitu achihengili kwa kunitumila nene muni vandu va milima vahotola kuyidakila. Akitili chenicho kwa malovi na matendu,
19 kwa nguvu za ishara na maajabu, na kwa nguvu za Roho Mtakatifu. Hii ilikuwa ili kwamba kutoka Yerusalem, na kuzungukia mbali kama Iliriko, niweze kuichukua nje kwa ukamilifu injili ya Kristo.
kwa makakala ga chinamtiti na kukangasa, na kwa makakala ga Mpungu wa Chapanga. Hinu kwa kuvya mulugendu kila pahala, kuhumila Yelusalemu mbaka mulima Luliko, na kila pandu nikokwisi cha kukamilika vandu Lilovi la Bwina la Kilisitu.
20 Kwa njia hii, nia yangu imekuwa kuitangaza injili, lakini si mahali Kristo anajulikana kwa jina, ili kwamba nisiweze kujenga juu ya msingi wa mtu mwingine.
Chenigana magono goha ndi chindu chimonga, kukokosa Lilovi la Bwina popoha pala liina la Kilisitu lakona kuyuwanika, nikotoka kujenga mkingisa weujengiwi na mundu yungi.
21 Kama ilivyoandikwa: “Ambao kwa yeye hawana habari zake alikuja watamwona, na wale ambao hawakumsikia watamfahamu.”
Ngati chegijova Mayandiku Gamsopi, “Vandu voha vangajovewa makokoselu gaki yati vilola, na vala vangayuwana makokoselu gaki, yati vimanya.”
22 Kwahiyo nilikuwa pia nimezuiliwa mara nyingi kuja kwenu.
Hinu yeniyo ndi yeyanidivalili nene pamahele kubwela kwinu.
23 Lakini sasa, sina tena sehemu yoyote katika mikoa hii, na nimekuwa nikitamani kwa miaka mingi kuja kwenu.
Nambu hinu nimali lihengu langu kwa upandi uwu wa mulima, ndava muni ninogili pamahele kubwela kwinu,
24 Hivyo mara zote nikienda Hispania, ninatumaini kuwaona nikipita, na kuweza kupelekwa njia yangu na ninyi, baada ya kuwa nimefurahia ushirika na ninyi kwa muda.
nihuvalila kukita chenicho hinu. Nigana kuvalola penivyai mulugendu kuhamba Isipania na kupata utangatilu winu kwa lugendu, panivyai pamonga na nyenye kwa magono.
25 Lakini sasa ninakwenda Yerusalemu kuwahudumia waumini.
Nambu hinu, nihamba hoti kuvahengela vandu va Chapanga ku Yelusalemu.
26 Maana iliwapendeza watu wa Makedonia na Akaya kufanya changizo maalumu kwa masikini miongoni mwa waumini huko Yerusalemu.
Muni misambi ya vandu vevakumsadika Kilisitu va Makedonia na Akaya, vahekalili kutipela michangu yavi kuvatangatila vandu va Chapanga vevavili vangangu ku Yelusalemu.
27 Ndiyo, ilikuwa kwa upendo wao, na hakika, wamekuwa wadeni wao. Maana ikiwa mataifa wameshiriki katika mambo yao ya kiroho, wanadaiwa na wao pia kuwahudumia katika mahitaji ya vitu.
Vene vahekalili kuvatangatila, muni chakaka lihengu la kuvatangatila mu lenili, vandu vanga Vayawudi, vahanganili mota za chimpungu za Vayawudi, na vene viganikiwa kuvatangatila Vayawudi muvindu vyevigana muwumi wavi.
28 Kwahiyo, wakati nimekamilisha hivi na kuwa na utoshelevu wa tunda hili kwao, mimi nitakwenda njiani pamoja nanyi huko Hispania.
Hinu penimali lihengu la kuvahikisila mchangu wenipewili ndava yavi, yati nikuvagendelela nyenye penivya mulugendu lwa kuhamba ku Isipania.
29 Najua kwamba, wakati nikija kwenu, nitakuja katika utimilifu wa baraka za Kristo.
Nimanyili penibwela kwinu, yati nibwela na mota ng'onyo kuhuma kwa Kilisitu.
30 Sasa ninawasihi, ndugu, kwa Bwana wetu Yesu Kristo, na kwa upendo wa Roho, kwamba mshiriki pamoja nami katika maombi yenu kwa Mungu kwa ajili yangu.
Hinu, Valongo vangu, nivayupa neju kwa liina la BAMBU witu Yesu Kilisitu na kwa uganu weubwela na Mpungu Msopi, munitangatila kwa kuniyupila neju kwa Chapanga.
31 Ombeni kwamba niweze kuokolewa kutoka kwao wasio na utii katika Yudea, na kwamba huduma yangu huko Yerusalemu iweze kupokelewa na waumini.
Muyupa muni nihotola kuhuma changalemaswa pagati ya vala vangamsadika Kilisitu vevavi Yudea, ndi muni lihengu langu liyidakiwayi na vandu va ku Yelusalemu.
32 Ombeni kwamba ninaweza kuja kwenu kwa furaha kupitia mapenzi ya Mungu, na kwamba niweze kuwa pamoja nanyi, kupata kupumzika.
Hinu, Chapanga akaganayi, yati nihotola kubwela kwinu na mtima wa luheku, nipumulilayi pamonga na nyenye.
33 Na Mungu wa amani awe pamoja nanyi nyote. Amina
Chapanga mweileta uteke ndi avyayi na mwavoha nyenye! Ena!