< Warumi 15 >
1 Sasa sisi tulio na nguvu tunapaswa kuuchukua udhaifu wa walio dhaifu, na hatupaswi kujipendeza wenyewe.
Panogile yufwe tuliena makha tupiembe uvuvivi wa vavo valievavule amakha.
2 Kila mmoja wetu ampendeze jirani yake kwani ni jambo jema, kwa lengo la kumjenga.
Khila munu mughati umwu panoghile ukhunoghele paninie uvyali pawipi nu mwene, upielile uvunonu akhavombeliwe.
3 Kwani hata Kristo hakujipendeza mwenyewe. Badala yake, ilikuwa kama ilivyoandikwa, “Matusi ya wale waliokutukana yamenipata mimi.”
Ulwa khuva uKlisiti vope sakhanoghele mwene. Nduvuliesimbiwe, “Amadusi uguvakhakhudukhile uve nikhaghupielile une.”
4 Kwa chochote kilichotangulia kuandikwa, kiliandikwa kwa kutuelekeza, kwa kusudi kwamba kupitia uvumilivu na kupitia kutiwa moyo na maandiko tungekuwa na ujasiri.
Ulwa khuva ghoni aghatalile ughusimbiwa ghasimbiwe ukhuta tumanyilaghe ufwe, ukhuta tuvinchaghe nukhununala nulunonchekhencho ulwa vusimbe tukhave ukhununala.
5 Sasa Mungu wa uvumilivu na wa kutia moyo awape kuwa na nia sawa kwa kila mmoja kulingana na Yesu Kristo.
UNguluve uvyalie nuluhuvilo nukhununancha avatange ukhunchova pwu paninie yuomwe khwa yuomwe ukhungonga uKlisiti uYesu.
6 Aweze kufanya hivi kwa nia moja muweze kumsifu kwa kinywa kimoja Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo.
Khunumbula yeimo na khundamo guumo muve vakhughinia uNguluve Udada va Nkhuludeva veitu uYesu Klisiti.
7 Kwa hiyo mpokeeni kila mmoja, kama vile Kristo alivyowapokea, kwa utukufu wa Mungu.
Pwu mwupielilanilage yumwe khwa yumwe, nduvu uYesu Klisiti avupielile, ukhuta uNguluve aghiniwagwe.
8 Kwani nasema kwamba Kristo amefanywa mtumishi wa tohara kwa niaba ya ukweli wa Mungu. Alifanya hivi ili kwamba aweze kuthibitisha ahadi zilizotolewa kwa mababa,
Ulwa khuva ninchova niita uKlisiti avombikhe intangieli va kwiedihana ukhukhegheta pavuyielweli uwa Nguluve. Ukhuta nchidulukhe iendaghilo inchuvapokhile avadada veto,
9 na kwa mataifa kumtukuza Mungu kwa neema yake. Kama ambavyo imeandikwa, “Kwa hiyo nitatoa sifa kwako miongoni mwa mataifa na kuimba sifa katika jina lako.”
hange ukhuta avanyampanji vamwiemikhaghe uNguluve khu khisa kya mwene. Nduvuliesimbiwe, “Ulwa khuva nilakhusana pa vanyapanji nune nielemba ilitawa lyakho.”
10 Tena inasema, “Furahini, ninyi watu wa mataifa, pamoja na watu wake.”
Hange ninchova, “Muhovokhaghe, mwievapanji, pwu paninie navanu avamwene.”
11 Na tena, “Msifuni Bwana, ninyi mataifa yote; acha watu wa mataifa yote wamsifu yeye.”
Hange, “Umwe mwievanyapanji, munghiniaghe unkhuludeva, umwe mwievanu mwivono mumwiedikhaghe.”
12 Tena Isaya asema, “Kutakuwa na shina la Yese, na mmoja atakayeinuka kutawala juu ya mataifa. Mataifa watakuwa na tumaini katika yeye.”
Hange u Isaya inchova, “Khila khumila ikhikho ikya Yese, umwene vyalaluta khulongoncha. Avanyapanji vu avanyapanji vikhunguvilagha.”
13 Sasa Mungu wa tumaini awajaze na furaha yote na amani kwa kuamini, ili kwamba muweze kuzidi katika tumaini, kwa nguvu ya Roho Mtakatifu.
Umwene uNguluve vivaluhuvilo avadienche ulunonchehencho mukhwidikha, mughendelelaghe nduhuvielo, mu makha agha Mepo umbalanche.
14 Mimi mwenyewe pia nimeshawishiwa nanyi, ndugu zangu. Nimeshawishiwa kwamba pia ninyi wenyewe mmejazwa na wema, mmejazwa na maarifa yote. Ninashawishiwa kwamba, ninyi mwaweza pia kuhimizana kila mmoja na mwenzake.
Valukholo lwango nikhuvavula ukhuta nielumanyile ukhuva mudieghile ulughano. Mulienuluhala lwoni hange mukhiemanyile ukhuvungana.
15 Lakini ninaandika kwa ujasiri zaidi kwenu juu ya mambo fulani ili kuwakumbusha tena, sababu ya kipawa nilichopewa na Mungu.
Hange nikhuvasiembiela ukwietanga uluvafu ulwa kalata iyie, nikhuvakhumbusya khulusayo ulunupielile khwa Nguluve.
16 Kipawa hiki kilikuwa kwamba niweze kuwa mtumishi wa Yesu Kristo aliyetumwa kwa mataifa, kujitoa kama kuhani wa injili ya Mungu. Ningeweza kufanya hivi ili kujitoa kwangu kwa mataifa kuwe kumekubaliwa, kumetengwa na Mungu kwa njia ya Roho Mtakatifu.
Ukhuva nive munu valutanghielo khuvanyapanji, nielievombele ielivangili ilya Nguluve imbombo iya vutekhenchi, ukhuva avanyapanji vave nekhelo iyiediekhiwe, yienga valanchiwe nu Mepo umbalanche.
17 Hivyo furaha yangu iko katika Kristo Yesu na katika mambo ya Mungu.
Khumbe nienoghile ukwieghienia mwa Klisiti u Yesu pavulongolo pa Nguluve.
18 Kwani sitaweza kuthubutu kunena lolote isipokuwa kwamba Kristo amekamilisha kupitia kwangu utii wa mataifa. Haya mambo yametimizwa kwa neno na tendo,
Ulwa khuva saniekhaghele ukhutambula eilimenyu lielyo savombile uKlisiti khu mbombo yango, avapanji viedikhaghe khumamenyu na khumbombo,
19 kwa nguvu za ishara na maajabu, na kwa nguvu za Roho Mtakatifu. Hii ilikuwa ili kwamba kutoka Yerusalem, na kuzungukia mbali kama Iliriko, niweze kuichukua nje kwa ukamilifu injili ya Kristo.
khumakha aghakhuvonesya ifidegho, mu makha agha Mepo umbalanche. Ukhuhuma khu Yerusalemu, na mundokhanji khanji, ukhudugha khu ililiko nimalile ukhulumbilila eilivangili ilya Klisiti khuvuvalanche.
20 Kwa njia hii, nia yangu imekuwa kuitangaza injili, lakini si mahali Kristo anajulikana kwa jina, ili kwamba nisiweze kujenga juu ya msingi wa mtu mwingine.
Nienghetange ukhulumbilila ielivanghieli, nielekhe ukhulumbiliela upwu ilitawa ilya Klisiti vamalile ukhulitambula, ulwa khuva uyuninchengagha mundwuto ulwa munu uyuonghe.
21 Kama ilivyoandikwa: “Ambao kwa yeye hawana habari zake alikuja watamwona, na wale ambao hawakumsikia watamfahamu.”
Bakho nduvuliesimbiwe ukhuta, khuvala vavo savalie phulikhe ielimenyu ilya mwene vikhulievonagha, hange vavo savalumbielieliwe viekhulimanyagha.”
22 Kwahiyo nilikuwa pia nimezuiliwa mara nyingi kuja kwenu.
Inchi nchunchikhaviekhile ukhuta une vansighaghe ukwincha khulyumwe.
23 Lakini sasa, sina tena sehemu yoyote katika mikoa hii, na nimekuwa nikitamani kwa miaka mingi kuja kwenu.
Ukhuva lino, nielievuvule unsiekhi khunu, hanghe iemyakha minghi nikhale nuvufumbwe uwakhwincha khulyumwe.
24 Hivyo mara zote nikienda Hispania, ninatumaini kuwaona nikipita, na kuweza kupelekwa njia yangu na ninyi, baada ya kuwa nimefurahia ushirika na ninyi kwa muda.
Unsiekhi gwoni ugwakhiva nieluta khu Hispania, (pwu yunikwincha khulyumwe) ulwa khuva nihuvila ukhuvavona umwe vunighenda nu khukheliekhiwa numwe, enumbula yango yighute khulyumwe padebe.
25 Lakini sasa ninakwenda Yerusalemu kuwahudumia waumini.
Leino niluta tasi ku Yerusalemu nikhavatange avanyapanji.
26 Maana iliwapendeza watu wa Makedonia na Akaya kufanya changizo maalumu kwa masikini miongoni mwa waumini huko Yerusalemu.
Ulwakhu panoghile khuvanu avakhu Makedonia nava Akaya ukhuvomba ukhuhanghilanila khuva vavalanche avaliekhu Yerusalemu vavo vaghanchu.
27 Ndiyo, ilikuwa kwa upendo wao, na hakika, wamekuwa wadeni wao. Maana ikiwa mataifa wameshiriki katika mambo yao ya kiroho, wanadaiwa na wao pia kuwahudumia katika mahitaji ya vitu.
Ena, panogile, hange vavile nuonkhole khuvene. Ulwa khuva avanyapanji vahangile ukhuvomba imbo inchavene incha munumbula, panoghile ukhuvavombela imbombo inchavene incha mbielie.
28 Kwahiyo, wakati nimekamilisha hivi na kuwa na utoshelevu wa tunda hili kwao, mimi nitakwenda njiani pamoja nanyi huko Hispania.
Pwu ninghamale imbombo eiyo, nukhuviekha ikhimanyilo isekhe ieyo, nighendela khulyumwe, ukhuluta khu Hispania.
29 Najua kwamba, wakati nikija kwenu, nitakuja katika utimilifu wa baraka za Kristo.
Une nilumanyile ukhuta nienhinche khulyumwe, nikwincha nikhuvagheghela ulusayo ulwa Klisiti.
30 Sasa ninawasihi, ndugu, kwa Bwana wetu Yesu Kristo, na kwa upendo wa Roho, kwamba mshiriki pamoja nami katika maombi yenu kwa Mungu kwa ajili yangu.
Valukholo lwango, nikhuvadovela khu Untwa veitu u Yesu Klisiti, nulughano ulya Mepo, mwietangaghe pwu paninie nune ukhundovela khwa Nguluve.
31 Ombeni kwamba niweze kuokolewa kutoka kwao wasio na utii katika Yudea, na kwamba huduma yangu huko Yerusalemu iweze kupokelewa na waumini.
Ukhuta niepokhiwe paninie navala avasavikwiedhikha khu Yudea, hanghe uvuvombeli wango uvunielienawo khu Yerusalemu wiedhiekhiewe na vavalanche.
32 Ombeni kwamba ninaweza kuja kwenu kwa furaha kupitia mapenzi ya Mungu, na kwamba niweze kuwa pamoja nanyi, kupata kupumzika.
Pwu nienche khulyumwe nuluhekhelo, nduvuinogwa uNguluve, pwu nikhaghatalukhe paninie numwe.
33 Na Mungu wa amani awe pamoja nanyi nyote. Amina
UNguluve uvalunonchehencho avinchaghe numwe mwevoni. Amina