< Warumi 14 >
1 Mpokeeni yeyote ambaye ni dhaifu katika imani, bila kutoa hukumu kuhusu mawazo yake.
Слабо́го в вірі приймайте, але не для суперечок про погляди.
2 Mtu mmoja ana imani ya kula chochote, mwingine ambaye ni dhaifu anakula mboga tu.
Один бо вірує, що можна їсти все, а не́мічний споживає ярину́.
3 Mtu ambaye anakula kila kitu asimdharau yeye asiyekula kila kitu. Na yeye ambaye hali kila kitu asimuhukumu mwingine ambaye hula kila kitu. Kwa kuwa Mungu amekwisha mpokea.
Хто їсть, нехай не погорджує тим, хто не їсть. А хто не їсть, нехай не осуджує того, хто їсть, — Бог бо прийняв його.
4 Wewe ni nani, wewe ambaye unamuhukumu mtumishi ambaye ni miliki ya mtu mwingine? Ni mbele ya Bwana wake kwamba husimama au huanguka. Lakini atainuliwa, kwa kuwa Bwana anaweza kumfanya asimame.
Ти хто такий, що судиш чужого раба? Він для пана свого стоїть або падає; але він усто́їть, бо має Бог силу поставити його.
5 Mtu mmoja huthamini siku moja kuliko nyingine. Mwingine huthamini kila siku sawa sawa. Hebu kila mtu na ashawishike katika akili yake mwenyewe.
Один вирі́знює день від дня, інший же про кожен день судить одна́ково. Нехай кожен за власною думкою тримається свого переко́нання.
6 Yeye ambaye anashika siku, anashika kwa ajili ya Bwana. Na kwa yeye alaye, hula kwa ajili ya Bwana, kwa kuwa anampa Mungu shukrani. Yeye ambaye hali, hujizuia kutokula kwa ajili ya Bwana. Yeye pia hutoa shukrani kwa Mungu.
Хто вважає на день, — для Господа вважає, а хто не вважає на день, — для Господа не вважає. Хто їсть, — для Господа їсть, бо дякує Богові. А хто не їсть, — для Господа не їсть, і дякує Богові.
7 Kwa kuwa hakuna aishie kwa nafsi yake, na hakuna afae kwa ajili yake mwenyewe.
Бо ніхто з нас не живе сам для себе, і не вмирає ніхто сам для себе.
8 Kwa kuwa ikiwa tunaishi, tunaishi kwa ajili ya Bwana. Na ikiwa tunakufa, tunakufa kwa ajili ya Bwana. Basi ikiwa tunaishi au tunakufa tu mali ya Bwana.
Бо коли живемо́ — для Господа живемо́, і коли вмира́ємо — для Господа вмираємо. І чи живемо́, чи вмира́ємо — ми Господні!
9 Kwa kuwa ni kwa kusudi hili Kristo alikufa na kuishi tena, kwamba awe Bwana wa wote wafu na waishio.
Бо Христос на те й умер, і ожив, щоб панувати і над мертвими, і над живими.
10 Lakini wewe, kwa nini unamuhukumu ndugu yako? Na wewe, kwa nini unamdharau ndugu yako? Kwa kuwa sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.
А ти на́що осуджуєш брата свого́? Чи чого ти пого́рджуєш братом своїм? Бо всі станемо перед судним престолом Божим.
11 Kwa kuwa imeandikwa, “Kama niishivyo,” asema Bwana, “Kwangu mimi kila goti litapigwa, na kila ulimi utatoa sifa kwa Mungu.”
Бо написано: „Я живу, каже Госпо́дь, і схи́литься кожне коліно передо Мною, і ви́знає Бога кожен язик!“
12 Hivyo basi, kila mmoja wetu atatoa hesabu yake mwenyewe kwa Mungu.
Тому кожен із нас сам за себе дасть відповідь Богові.
13 Kwa hiyo, tusiendelee tena kuhukumiana, lakini badala yake amua hivi, kwamba hakuna atakaye weka kikwazo au mtego kwa ndugu yake.
Отож, не будемо більше осуджувати один о́дного, але краще судіть про те, щоб не давати братові спотика́ння та спокуси.
14 Ninajua na nimeshawishika katika Bwana Yesu, kwamba hakuna kitu kilicho najisi chenyewe. Ni kwa yeye tu anayedhani kuwa chochote ni najisi, kwa kuwa kwake ni najisi.
Я знаю, і пересвідчений у Господі Ісусі, що нема нічо́го нечистого в само́му собі; тільки коли хто вважає що за нечисте, тому́ воно нечисте.
15 Ikiwa kwa sababu ya chakula ndugu yako anahuzunika, hautembei tena katika upendo. Usimharibu kwa chakula chako mtu ambaye kwa ajili yake Kristo alikufa.
Коли ж через поживу сумує твій брат, то вже не за любов'ю пово́дишся ти, — не губи своєю поживою того́, за кого Христос був умер.
16 Hivyo msiruhusu matendo yenu mema yakasababisha watu kuwadhihaki.
Нехай ваше добре не зневажа́ється.
17 Kwa kuwa ufalme wa Mungu si kwa ajili ya chakula na kinywaji, bali ni kwa ajili ya haki, amani, na furaha katika Roho Mtakatifu.
Бо Царство Боже не пожи́ва й питво́, але праведність, і мир, і радість у Дусі Святім.
18 Kwa kuwa yeye amtumikiaye Kristo kwa jinsi hii amekubalika kwa Mungu na amekubalika kwa watu.
Хто цим служить Христові, той Богові милий і шано́ваний поміж людьми́.
19 Kwa hiyo basi, na tufuate mambo ya amani na mambo ambayo humjenga mtu na mwingine.
Отож, пильнуймо про мир, та про те, що на збудува́ння один о́дного!
20 Usiharibu kazi ya Mungu kwa sababu ya chakula. Vitu vyote kwa kweli ni safi, lakini ni vibaya kwa mtu yule ambaye hula na kumsababisha yeye kujikwaa.
Не руйнуй діла Божого ради поживи, — усе бо чисте, але зле люди́ні, що їсть на спотика́ння.
21 Ni vyema kutokula nyama, wala kunywa divai, wala chochote ambacho kwa hicho ndugu yako hukwazwa.
Добре не їсти м'яса, ані пити вина, ані робити такого, від чого брат твій гірши́ться, або споку́шується, або слабне.
22 Hizi imani maalumu ulizo nazo, ziweke kati yako mwenyewe na Mungu. Amebalikiwa yule ambaye hajihukumu mwenyewe katika kile anachokikubali.
Ти маєш віру? Май її сам про себе перед Богом. Блаженний той, хто не осуджує самого себе за те, про що випробо́вується!
23 Aliye na mashaka amehukumiwa ikiwa anakula, kwa sababu haitokani na imani. Na chochote kisichotokana na imani ni dhambi.
А хто має сумнів, коли їсть, буде осу́джений, бо не робить із віри, а що не від віри, те гріх.