< Warumi 14 >

1 Mpokeeni yeyote ambaye ni dhaifu katika imani, bila kutoa hukumu kuhusu mawazo yake.
Poshelaji wowoti olaobhinu hwelweteho, mganje huloonje ahusu esebho zyakwe.
2 Mtu mmoja ana imani ya kula chochote, mwingine ambaye ni dhaifu anakula mboga tu.
Omuntu omo ali nulweteho ogwalye hohoti, uwamwabho ono yizu alya enyanyu zyene.
3 Mtu ambaye anakula kila kitu asimdharau yeye asiyekula kila kitu. Na yeye ambaye hali kila kitu asimuhukumu mwingine ambaye hula kila kitu. Kwa kuwa Mungu amekwisha mpokea.
Omntu walyakila hantu aganje humwisije ola wasagalya kila hantu. Nula wasagalya kila hantu asiloonje owamwabho walyakila hantu. Hwa huje Ongolobhe tayali aposheye.
4 Wewe ni nani, wewe ambaye unamuhukumu mtumishi ambaye ni miliki ya mtu mwingine? Ni mbele ya Bwana wake kwamba husimama au huanguka. Lakini atainuliwa, kwa kuwa Bwana anaweza kumfanya asimame.
Awe we nanu, awe hwohuloonga otumwa wa muntu owenje? Ila hwagosi wakwe huje ahwemelela au agwa. Lakini abhabhosehwe, hwa huje Ogosi awezya hubhombele huje ayemelele.
5 Mtu mmoja huthamini siku moja kuliko nyingine. Mwingine huthamini kila siku sawa sawa. Hebu kila mtu na ashawishike katika akili yake mwenyewe.
Omuntu omo alimwene isiku limo siyo elya mwabho. Owa mwabho alola ensiku zyotizili sawasawa. Eshi kila muntu ahwizilisye hu njele zyakwe mwene.
6 Yeye ambaye anashika siku, anashika kwa ajili ya Bwana. Na kwa yeye alaye, hula kwa ajili ya Bwana, kwa kuwa anampa Mungu shukrani. Yeye ambaye hali, hujizuia kutokula kwa ajili ya Bwana. Yeye pia hutoa shukrani kwa Mungu.
Ola wakhata insiku, akhata hwaajili ya Gosi. Hwa huje ahupela Ongolobhe asalifye. Ola wasagalya ahwiziga kutoalye hwaajili ya Gosi. Wope afumwa asalifye hwa Ngolobhe.
7 Kwa kuwa hakuna aishie kwa nafsi yake, na hakuna afae kwa ajili yake mwenyewe.
Hwa huje numo wakhala hwu nafsi yakwe, na numo omwinza hwaajili yamwene yuyo.
8 Kwa kuwa ikiwa tunaishi, tunaishi kwa ajili ya Bwana. Na ikiwa tunakufa, tunakufa kwa ajili ya Bwana. Basi ikiwa tunaishi au tunakufa tu mali ya Bwana.
Hwa huje nkashile tihwizya, tihwizya hwaajili ya Gosi. Nakashile fifwa fifua hwaajili ya Gosi. Huje nkashile tihwizya au tifwa tilimali ya Gosi.
9 Kwa kuwa ni kwa kusudi hili Kristo alikufa na kuishi tena, kwamba awe Bwana wa wote wafu na waishio.
Hwa huje hwunsini eli uKilisti afwiye nahwizye nantele, huje abhe Gosi wabhoti abhafwe na bhabha hwendelela ahwizye.
10 Lakini wewe, kwa nini unamuhukumu ndugu yako? Na wewe, kwa nini unamdharau ndugu yako? Kwa kuwa sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.
Lakini awe, huyenu ohuloonga oholo waho? Nawe huyenu ohumwisha oholo waho? Hwa huje ateteti tihwemelela hwitagalila elitengelya loogwe elya Ngolobhe.
11 Kwa kuwa imeandikwa, “Kama niishivyo,” asema Bwana, “Kwangu mimi kila goti litapigwa, na kila ulimi utatoa sifa kwa Mungu.”
Hwa huje lisimbilwe, “Nashi sehwizya,” ayanga Ogosi, “Hulini kila lifugamo lyaifugamila nakashile melee lwaifumwa atofye hwa Ngolobhe.”
12 Hivyo basi, kila mmoja wetu atatoa hesabu yake mwenyewe kwa Mungu.
Huje bhasi, kila omo wetu aifumwa abhazye hwakwe mwene hwa Ngolobhe.
13 Kwa hiyo, tusiendelee tena kuhukumiana, lakini badala yake amua hivi, kwamba hakuna atakaye weka kikwazo au mtego kwa ndugu yake.
Hwegoo, tisiyendelele natele aloongane, lakini badala yakwe aamula sanyona, huje numo wabhabheshe eshikwanzo au otego hwaholo wakwe.
14 Ninajua na nimeshawishika katika Bwana Yesu, kwamba hakuna kitu kilicho najisi chenyewe. Ni kwa yeye tu anayedhani kuwa chochote ni najisi, kwa kuwa kwake ni najisi.
Na emenye na esogwelwe hwa Gosi oYesu, huje nahamo ahantu hahali nanjisi hene. Nihwayuyo tu ahwisebhanya huje hohoti najisi, hwa huje hwa mwene lyoli najinsi.
15 Ikiwa kwa sababu ya chakula ndugu yako anahuzunika, hautembei tena katika upendo. Usimharibu kwa chakula chako mtu ambaye kwa ajili yake Kristo alikufa.
Nkashile hwusababu yeshalye oholo waho azugumila, sagaojena natele mwidala lye luganano. Osinakanye hweshalye shaho omuntu hwaajili yakwe oKilisiti afwiye.
16 Hivyo msiruhusu matendo yenu mema yakasababisha watu kuwadhihaki.
Hwesho mgaje hweteshele amadala genyu aminza gasababisye abhantu abhashente.
17 Kwa kuwa ufalme wa Mungu si kwa ajili ya chakula na kinywaji, bali ni kwa ajili ya haki, amani, na furaha katika Roho Mtakatifu.
Hwa huje umwene owa Ngolobhe sehwaajili yefyalye nevyamwele, huje hwaajili yelyoli, olweteho nesogwe ashilile Opepo Ofinjile.
18 Kwa kuwa yeye amtumikiaye Kristo kwa jinsi hii amekubalika kwa Mungu na amekubalika kwa watu.
Hwa huje ola wahutumishila uKilisiti hwidala eli ayeteshelwe hwa Ngolobhe na ayeteshelwe hwa bhantu.
19 Kwa hiyo basi, na tufuate mambo ya amani na mambo ambayo humjenga mtu na mwingine.
Hwa huje bhasi, natibhale humambo gelweteho neega gegahuzenga omuntu nuwamwabho.
20 Usiharibu kazi ya Mungu kwa sababu ya chakula. Vitu vyote kwa kweli ni safi, lakini ni vibaya kwa mtu yule ambaye hula na kumsababisha yeye kujikwaa.
Usinankanye embombo ya Ngolobhe hwusababu yeshalye. Evintu vyoti hwahuje vinza, lakini vibhibhi hwa muntu ola walya vihusababisha yuyo abumele.
21 Ni vyema kutokula nyama, wala kunywa divai, wala chochote ambacho kwa hicho ndugu yako hukwazwa.
Shinza kutolye enyama, wala amwele edivai, wala hohoti hweho oholo waho hahuvisya.
22 Hizi imani maalumu ulizo nazo, ziweke kati yako mwenyewe na Mungu. Amebalikiwa yule ambaye hajihukumu mwenyewe katika kile anachokikubali.
Ezyo zyelweteho natele zyohi nazyo, zibheshe awe umwene nu Ngolobhe. Anutabhalo ola wasahwilonga mwene nashi hala haheteshela afume humwoyo.
23 Aliye na mashaka amehukumiwa ikiwa anakula, kwa sababu haitokani na imani. Na chochote kisichotokana na imani ni dhambi.
Wali newasiwasi aloogwilwe nkashile alya, hwusababu sagashifumilana ne lweteho. Na hohonti hesahafumilana ne lweteho, nahohonti hesahafumilana ne lweteho ezyo mbibhi.

< Warumi 14 >