< Warumi 14 >
1 Mpokeeni yeyote ambaye ni dhaifu katika imani, bila kutoa hukumu kuhusu mawazo yake.
Quant à celui qui est faible en sa persuasion, accueillez-le sans en venir à des querelles d'opinion:
2 Mtu mmoja ana imani ya kula chochote, mwingine ambaye ni dhaifu anakula mboga tu.
l'un croit pouvoir manger de tout, tandis que celui qui est faible ne mange que des légumes.
3 Mtu ambaye anakula kila kitu asimdharau yeye asiyekula kila kitu. Na yeye ambaye hali kila kitu asimuhukumu mwingine ambaye hula kila kitu. Kwa kuwa Mungu amekwisha mpokea.
Que celui qui mange ne méprise pas celui qui ne mange pas; mais que celui qui ne mange pas ne condamne pas celui qui mange, car Dieu l'a pris à Son service.
4 Wewe ni nani, wewe ambaye unamuhukumu mtumishi ambaye ni miliki ya mtu mwingine? Ni mbele ya Bwana wake kwamba husimama au huanguka. Lakini atainuliwa, kwa kuwa Bwana anaweza kumfanya asimame.
Qui es-tu, toi qui condamnes un serviteur étranger? Qu'il reste debout ou qu'il tombe, cela regarde son propre maître; mais il restera debout, car son maître a le pouvoir de le faire tenir droit.
5 Mtu mmoja huthamini siku moja kuliko nyingine. Mwingine huthamini kila siku sawa sawa. Hebu kila mtu na ashawishike katika akili yake mwenyewe.
L'un distingue un jour d'un autre jour, tandis que l'autre tient tous les jours pour égaux; que chacun soit dans sa propre intelligence pleinement persuadé.
6 Yeye ambaye anashika siku, anashika kwa ajili ya Bwana. Na kwa yeye alaye, hula kwa ajili ya Bwana, kwa kuwa anampa Mungu shukrani. Yeye ambaye hali, hujizuia kutokula kwa ajili ya Bwana. Yeye pia hutoa shukrani kwa Mungu.
Celui qui met de l'importance à tel ou tel jour le fait pour le Seigneur; et celui qui mange mange pour le Seigneur, car il rend grâces à Dieu; et celui qui ne mange pas le fait en vue du Seigneur, et il rend grâces à Dieu.
7 Kwa kuwa hakuna aishie kwa nafsi yake, na hakuna afae kwa ajili yake mwenyewe.
En effet nul de nous ne vit pour lui-même, et nul ne meurt pour lui-même;
8 Kwa kuwa ikiwa tunaishi, tunaishi kwa ajili ya Bwana. Na ikiwa tunakufa, tunakufa kwa ajili ya Bwana. Basi ikiwa tunaishi au tunakufa tu mali ya Bwana.
car, soit que nous vivions, nous vivons pour le Seigneur; soit que nous mourions, nous mourons pour le Seigneur; soit donc que nous vivions, soit que nous mourions, nous appartenons au Seigneur;
9 Kwa kuwa ni kwa kusudi hili Kristo alikufa na kuishi tena, kwamba awe Bwana wa wote wafu na waishio.
car Christ est mort et il a vécu afin de régner et sur les morts et sur les vivants,
10 Lakini wewe, kwa nini unamuhukumu ndugu yako? Na wewe, kwa nini unamdharau ndugu yako? Kwa kuwa sisi sote tutasimama mbele ya kiti cha hukumu cha Mungu.
Mais toi, pourquoi condamnes-tu ton frère? Et toi, de ton côté, pourquoi méprises-tu ton frère? En effet nous comparaîtrons tous devant le tribunal de Dieu:
11 Kwa kuwa imeandikwa, “Kama niishivyo,” asema Bwana, “Kwangu mimi kila goti litapigwa, na kila ulimi utatoa sifa kwa Mungu.”
car il est écrit: « J'atteste sur Ma vie, dit le Seigneur, que devant Moi fléchira tout genou et que toute langue célébrera Dieu. »
12 Hivyo basi, kila mmoja wetu atatoa hesabu yake mwenyewe kwa Mungu.
Ainsi chacun de nous rendra compte pour lui-même.
13 Kwa hiyo, tusiendelee tena kuhukumiana, lakini badala yake amua hivi, kwamba hakuna atakaye weka kikwazo au mtego kwa ndugu yake.
Ne nous condamnons donc plus les uns les autres; mais prenez plutôt la résolution de ne pas mettre devant votre frère une pierre de scandale.
14 Ninajua na nimeshawishika katika Bwana Yesu, kwamba hakuna kitu kilicho najisi chenyewe. Ni kwa yeye tu anayedhani kuwa chochote ni najisi, kwa kuwa kwake ni najisi.
Je sais, et j'ai dans le Seigneur Jésus la conviction, qu'en soi rien n'est souillé; ce n'est que pour celui qui pense qu'une chose est souillée, que cette chose-là est souillée.
15 Ikiwa kwa sababu ya chakula ndugu yako anahuzunika, hautembei tena katika upendo. Usimharibu kwa chakula chako mtu ambaye kwa ajili yake Kristo alikufa.
Eh bien! si, pour un aliment, ton frère est contristé, tu ne te conduis plus selon la charité; ne jette pas dans la perdition par ton aliment celui pour lequel Christ est mort.
16 Hivyo msiruhusu matendo yenu mema yakasababisha watu kuwadhihaki.
Que votre privilège ne soit donc pas calomnié;
17 Kwa kuwa ufalme wa Mungu si kwa ajili ya chakula na kinywaji, bali ni kwa ajili ya haki, amani, na furaha katika Roho Mtakatifu.
car ce qui constitue le royaume de Dieu, ce n'est pas le manger et le boire, mais la justice, et la paix, et la joie que donne l'Esprit Saint;
18 Kwa kuwa yeye amtumikiaye Kristo kwa jinsi hii amekubalika kwa Mungu na amekubalika kwa watu.
car celui qui s'asservit ainsi à Christ est agréable à Dieu et aux hommes d'un mérite éprouvé.
19 Kwa hiyo basi, na tufuate mambo ya amani na mambo ambayo humjenga mtu na mwingine.
C'est ainsi donc que nous poursuivons ce qui procure la paix et l'édification mutuelle.
20 Usiharibu kazi ya Mungu kwa sababu ya chakula. Vitu vyote kwa kweli ni safi, lakini ni vibaya kwa mtu yule ambaye hula na kumsababisha yeye kujikwaa.
Ne détruis pas pour un aliment l'œuvre de Dieu. Toutes choses sont pures il est vrai; mais c'est un mal pour l'homme qui en mange avec scandale.
21 Ni vyema kutokula nyama, wala kunywa divai, wala chochote ambacho kwa hicho ndugu yako hukwazwa.
Il convient de ne point manger de viandes, de ne point boire de vin, et de s'abstenir de ce qui fait trébucher ou scandalise ou fait faiblir ton frère.
22 Hizi imani maalumu ulizo nazo, ziweke kati yako mwenyewe na Mungu. Amebalikiwa yule ambaye hajihukumu mwenyewe katika kile anachokikubali.
Pour toi, conserve en toi-même devant Dieu la persuasion que tu as; heureux celui qui ne se juge pas lui-même dans le parti qu'il adopte!
23 Aliye na mashaka amehukumiwa ikiwa anakula, kwa sababu haitokani na imani. Na chochote kisichotokana na imani ni dhambi.
Mais celui qui hésite s'il doit ou non manger est condamné, parce qu'il n'agit pas par persuasion; or tout ce qui ne se fait pas par persuasion est un péché.