< Warumi 13 >

1 Kila nafsi na iwe na utii kwa mamlaka ya juu, kwa kuwa hakuna mamlaka isipokuwa imetoka kwa Mungu. Na mamlaka zilizopo zimewekwa na Mungu.
Gode da gamane ouligisu dunu ilia logo hame ga: iba: le, ilia da gamane hawa: hamosa. Gode da logo fodoiba: le ilia ouligisu hawa: hamosa. Amaiba: le, dunu huluane da gamane ilia sia: nabimu da defea.
2 Kwa hiyo ambaye anapinga mamlaka hiyo hupinga amri ya Mungu; na wale waipingao watapokea hukumu juu yao wenyewe.
Nowa da gamane ouligisu dunu ilia sia: mae nabawane ilima gegesea, e da Gode Ea ilegei liligi amoma gegesa. Agoane hamosea, e da se dabe iasu lama: ne, fofada: su ba: mu.
3 Kwa kuwa watawala si tishio kwa watendao mema, bali kwa watendao maovu. Je unatamani kutoogopa mamlaka? Fanya yaliyo mema, na utasifiwa nayo.
Bai hou moloidafa hamosu dunu da ouligisu dunuma hame beda: sa. Be wadela: i hamosu dunu fawane da ouligisuba: le beda: sa. Dilia da ouligisu dunu ilima mae beda: iwane esalumusa: dawa: sea, hou moloidafa fawane hamoma. Amalu, ouligisu dunu da dilima nodomu.
4 Kwa kuwa ni mtumishi wa Mungu kwako kwa ajili ya mema. Bali kama utatenda yaliyo maovu, ogopa; kwa kuwa habebi upanga bila sababu. Kwa kuwa ni mtumishi wa Mungu, mlipa kisasi kwa ghadhabu juu ya yule afanyaye uovu.
Bai e da Gode Ea hawa: hamosu dunu. E da di fidimusa: hawa: hamonana. Be di da wadela: i hou hamosea, beda: mu da defea. E da dima se dabe iasu imunu gasa gala. E da Gode Ea hawa: hamosu dunuba: le, e da Gode Ea se dabe iasu wadela: i hamosu dunuma iaha.
5 Kwa hiyo inakupasa utii, si tu kwa sababu ya gadhabu, bali pia kwa sababu ya dhamiri.
Amaiba: le, dilia ouligisu dunu ilia sia: nabawane hamoma. Gode Ea se dabe iasu ba: sa: besa: le fawane hame. Be dilia dogo ganodini, amo nabasu hou da houdafa dawa: beba: le, nabawane hamoma.
6 Kwa ajili hii pia unalipa kodi. Kwa kuwa wenye mamlaka ni watumishi wa Mungu, ambao wanaendelea kufanya jambo hili.
Amo bai dawa: beba: le, dilia hahawane gamanema su lidisu muni ima. Bai ouligisu dunu da su lidisu muni lamusa: ahoasea, ilia Gode Ea hawa: hamosu agoane hamosa.
7 Mlipeni kila mmoja ambacho wanawadai: kodi kwa astahiliye kodi; ushuru kwa astahiliye ushuru; hofu kwa astahiliye hofu; heshima kwa astahiliye heshima.
Amaiba: le, ilia dima lamu ilegei liligi defele, ilima ima. Soge su lidisu muni amola dunu afae afae iasu su lidisu, ilima ima, amola ilima “ada!” sia: ma.
8 Msidaiwe na mtu kitu chochote, isipokuwa kupendana ninyi kwa ninyi. Kwa kuwa yeye ampendaye jirani yake ametimiliza sheria.
Dunu da dilima dabe lama: ne ouesalumu da defea hame. Hedolo ima! Be dilia da dabe imunu bagade gala. Amo dabe da asigidafa hou. Nowa dunu da asigidafa hou hamosea, e da Sema ea bai huluane hamosa.
9 Kwa kuwa, “Hautazini, hautaua, hautaiba, hautatamani,” na kama kuna amri nyingine pia, imejumlishwa katika sentensi hii: “Utampenda jirani yako kama wewe mwenyewe.”
Gode Ea Sema agoane dedei diala, amane, “Inia uda mae adole lama! Dunu bogoma: ne mae fama! Mae wamolama! Inia liligi amoma hanaiwane lamusa: mae dawa: ma!” amo sema amola eno sema huluane ilia bai da sema afadafa amo ganodini diala. Amo sema da amane, “Di da dia da: i hodo amoma asigi hou defele, eno dunu ilima asigima!”
10 Upendo hamdhuru jirani wa mtu. Kwa hiyo, upendo ni ukamilifu wa sheria.
Di da eno dunuma asigi galea, di da ema wadela: i hou hamedafa hamomu. Amaiba: le, asigidafa hou hamosea, di da Sema huluane nabawane hamosa.
11 Kwa sababu ya hili, mnajua wakati, kwamba tayari ni wakati wa kutoka katika usingizi. Kwa kuwa wokovu wetu umekaribia zaidi ya wakati ule tulio amini kwanza.
Ilegei eso amoga dilia da nedigili wa: legadomu, amo eso da doaga: beba: le, amo sia: i asigi hou hamomu da defea. Ninia musa: dafawaneyale dawa: beba: le, gaga: mu houdafa da hobea misunu ba: i. Be asili amo gaga: mu eso da wali gadenenedafa.
12 Usiku umeendelea, na mchana umekaribia. Na tuweke pembeni matendo ya giza, na tuvae silaha za nuru.
Gasi da gadenene dagoi. Eso doaga: mu da gadenesa. Amaiba: le, ninia gasi ganodini hamosu hou yolesili, hadigi ganodini gegemusa: , gegesu liligi momagele gagumu da defea.
13 Na tuenende sawa sawa, kama katika nuru, si kwa sherehe za uovu au ulevi. Na tusienende katika zinaa au tamaa isiyoweza kudhibitiwa, na si katika fitina au wivu.
Ninia da eso hadigi ganodini esalebeba: le, amoga esalebe dunu defele, hou moloidafa hamomu da defea. Wadela: i hedesu, adini bagade ba: su, wadela: i uda lasu hou, gegesu amola mudasu, huluane yolesimu da defea.
14 Bali tumvae Bwana Yesu Kristo, na tusiweke nafasi kwa ajili ya mwili, kwa tamaa zake.
Be dilia hu ea hou amola dilia hanai liligi, amo yolesili, Hina Gode Yesu Gelesu Ea gegesu liligi gaguia gadomu da defea.

< Warumi 13 >