< Warumi 12 >
1 Kwa hiyo nawasihi, ndugu, kwa huruma zake Mungu, itoeni miili yenu iwe dhabihu iliyo hai, takatifu, inayokubalika kwa Mungu. Hii ndiyo ibada yenu yenye maana.
Acunakyase, ka püie aw, Pamhnama dämduhkia mpyeneinak am ning jah nghuinak ta, nami mät kung cän Pamhnama veia xüngseikia ngkengnaka mäia ng’apei lü Pamhnama khut bi ua. Acuna khut nami binak naw Pamhnam jesaki ni. Ahin cun akcanga nami pet vaia hjawkhahnak ni.
2 Wala msiifuatishe namna ya dunia hii, bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu. Fanyeni hivi mpate kujua mapenzi ya Mungu yaliyo mema, yakumpendeza na kamilifu. (aiōn )
Hin khawmdeka thuma käh ve u lü, Pamhnam naw akthaia nami mlung ning jah thunghlai se. Acun üngva Pamhnama ngjakhlü akdaw i ti ja ani cun kümkawikia jenaksak hin i tia nami ksing khai. (aiōn )
3 Kwa maana nasema, kwa sababu ya neema niliyopewa, kwamba kila mtu ambaye yupo miongoni mwenu hapaswi kufikiri zaidi juu yake mwenyewe kuliko inavyompasa kufikiri. Bali, imempasa kufikiri kwa hekima, kama ambavyo Mungu amewapa kila mmoja kiasi fulani cha imani.
Pamhnam naw amdanga a na peta a bäkhäknaka phäha nangmi üng u naw pi a vea kthaka hlüng khai käh ngai ua ti veng. Acuna kthaka ta aknema ngai u lü Pamhnam naw a ning jah peta jumnaka kba nami mät ngaiei ua.
4 Kwa kuwa tuna viungo vingi katika mwili mmoja, lakini si viungo vyote vina kazi moja.
Pumsa mat üng ngban khawhah mi taki, mi ngbane naküt a ami bilawh am täng u.
5 Vivyo hivyo, sisi tulio wengi tu mwili mmoja katika Kristo, na viungo kila mmoja kwa mwenzake.
Acukba kunga mimi khawjah mi law sepi Khritaw üng mtisa mata mi kyaki; lüpi mimi cun mi nghngalang lüpi mat ja mat mtisa mat üng mi ngsuki.
6 Tuna karama zilizo mbalimbali kwa kadiri ya neema mliyopewa. Ikiwa karama ya mtu ni unabii, na itendeke kwa kadiri ya imani yake.
A bäkhäknak am a jah pet mi khyaihnak phäh phäh üng khut mi bi vai u. Pamhnama ngthu pyennak vai a jah pet üng ta jumnak mi taka kba mi pyen vai u.
7 Ikiwa karama ya mtu ni huduma, na atumike. Ikiwa mwingine ana karama ya kufundisha, basi, afundishe.
Khüibi bi khaia akya üng khüibi mi bi vai u; mtheiki naw pi mtheinak mi bi vai u;
8 Ikiwa karama ya mtu ni faraja, basi, afariji. Ikiwa karama ya mtu ni kutoa, afanye hivyo kwa ukarimu. Ikiwa karama ya mtu ni kuongoza, na litendeke kwa uangalifu. Ikiwa karama ya mtu ni katika kuonesha huruma, na litendeke kwa furaha.
khyang ngjuktha peki naw pi ngjuktha petnak bi se; petmsawtki naw pi käh pam lü pe se; ana mah naw pi ktha na lü bilo se; khyang mpyeneiki naw pi jekyainak am mpyenei se.
9 Pendo lisiwe na unafiki. Chukieni uovu; mshikilie yaliyo mema.
Mhläkphyanak cun mhläkphyanak kcanga kyase. Mkhyekatnak hneng u lü dawnak kpang ua.
10 Kuhusu upendo wa ndugu, pendaneni ninyi kwa ninyi. Kuhusu heshima, heshimianeni ninyi kwa ninyi.
Khritjanea nami kya kba mat ja mat hnün ata kba mhläkphya na u lü ngkhawtei ua.
11 Kuhusu bidii, msiwe walegevu. Kuhusu roho, iweni na shauku. Kuhusu Bwana, mtumikieni.
Khüinak lam üng käh dam u lü; mlungkyawng ap lü Bawipa khut bi ua,
12 Furahini katika ujasiri mlionao kuhusu siku zijazo. Muwe na subira katika matatizo yenu. Mdumu katika kuomba.
äpeinak üng jekyai u lü; khuikha khameinak cun cunei u lü, angläta ktaiyü ua.
13 Mshiriki katika mahitaji ya waumini. Tafuteni njia nyingi za kuonesha ukarimu.
A hlükaw veki khritjane üng jah petmsawt u lü; khine pi nami jah khinnak vai.
14 Watakieni baraka wote wanaowatesa ninyi; muwabariki na wala msiwalaani.
Ning jah mkhuimkhakie, dawkyanak am jah kbe u; käh jah yünce u lü dawkyanak nami ja kbe vai.
15 Furahini pamoja na wanaofurahi, lieni pamoja na wanaolia.
Jekie jah jepüi u lü; kyapkie jah kyahpüi u.
16 Muwe na nia moja ninyi kwa ninyi. Msifikiri kwa kujivuna, lakini wakubalini watu wa hali ya chini. Msiwe na hekima juu ya mawazo yenu wenyewe.
Ngaihnak thei avana khana atäng ta ua. Käh awhcah u. Mlung nemnak üng dokham ua. Themkia namimät käh ngai ua.
17 Msimlipe mtu yeyote ovu kwa ovu. Fanyeni mambo mema machoni pa watu wote.
Khyang naw a ning hmakatsak üngpi käh thungei be u. Khyang avan naw daw khaia ngaih cän pawh a.
18 Kama inawezekana, kama ilivyowekwa kwenu, muwe na amani na watu wote.
Khyang naküt am nami ngkhawt vaia anaküt cän bi a.
19 Wapenzi, msijilipizie kisasi wenyewe, lakini ipisheni ghadhabu ya Mungu. Kwa maana imeandikwa, '' 'kisasi ni changu; Mimi nitalipa,' asema Bwana.”
Ka püie aw, u pi käh thungei be u, Pamhnama naw thung be se, “Phu naküt cun keia thung vaia kyaki, kei naw thung be lü kei naw ka pe bekhai ti lü Bawipa naw” Cangcim üng a ti.
20 “Lakini ikiwa adui yako ana njaa, mlishe. Akiwa na kiu, mnyweshe. Kwa maana ukifanya hivyo, utampalia makaa ya moto juu ya kichwa chake.”
Acunakyase, na ye a ei a cawi üng, a ei vai pea, tui a xai üng a awk vai pea; acukba na bi üngva ngkekhyakei khaie ni.
21 Usishindwe na ubaya, bali ushinde ubaya kwa wema.
Akse naw käh ning jah näng lü akdaw am akse cän näng ua.