< Warumi 11 >

1 Basi nasema, je, Mungu aliwakataa watu wake? Hata kidogo. Kwa kuwa mimi pia ni Mwiisraeli, wa ukoo wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini.
Huje eyanga, huje, Ongolobhe abhakhanine abhantu bhakwe? Hata hashe. Hwa huje nane ne Mwiisraeli, wa mshikolo sha Abulahamu, hwi kabela lya Benyamini.
2 Mungu hakuwakataa watu wake, aliowajua tangu mwanzo. Je hamjui andiko linasema nini kuhusu Eliya, jinsi alivyomsihi Mungu juu ya Israeli?
Ongolobhe zagabhakhene abhantu bhakwe abhamanye afume huwandilo. Je sagamenye izuu liyanga yenu ahusu o Eliya, jinsi sabholele Ongolobhe humwanya ye Israeli?
3 “Bwana, wamewaua manabii wako, nao wamebomoa madhabahu zako. Mimi peke yangu nimesalia, nao wanatafuta uhai wangu.”
“Ogosi, bhabhagojile ankoha bhaho, bhope bhabomoye pashiputo paho. Nene nimwene esagalye, bhope bhahwaza owomi wane.”
4 Lakini jibu la Mungu lasema nini kwako? “Nimetunza kwa ajili yangu watu elfu saba ambao hawampigii magoti Baali.”
Lakini ijibu elya Ngolobhe liyanga yenu huliwe? “Embeshele kwaajili yalini abhantu elfu saba ebho sagabhayikhomela amafu gamo Baali.”
5 Hata hivyo, wakati huu wa sasa pia kuna walio salia kwa sababu ya uchaguzi wa neema.
Hata eshi, wakati ou esalezi bhahweli bhabhasagaliye ashilile ouchaguzi wiwenee.
6 Lakini ikiwa ni kwa neema, si tena kwa matendo. Vinginevyo neema haitakuwa tena neema.
Lakini kashile huweene, sehuje hwu matendo. Kashile weene sagaibhabhe nantele weene. Yeni bhasi?
7 Ni nini basi? Jambo ambalo Israeli alikuwa akitafuta, hakukipata, bali wateule walikipata, na wengine walitiwa uzito.
Ahantu ambaho Eisraeli yaliehwaza, sagahajile, huje bhabha chaguliwe bhahajile, nabhamwabho bhabhehwele bhamwamu.
8 Ni kama ilivyoandikwa: “Mungu amewapa roho ya ubutu, macho ili wasione, na masikio ili wasisikie, mpaka leo hii.”
Nashi sagasimbilwe: “Ongolobhe abhapie opepo ogwasajilwe, amaso huje bhasilole, na makutu huje bhasiyovwe, epaka sanyono eeshii.”
9 Naye Daudi anasema, “Acha meza zao na ziwe wavu, mtego, sehemu ya kujikwaa, na kulipiza kisasi dhidi yao.
Wope o Daudi ayanga, “Leha emeza zyabho nazibhe nyavu, tengo sehemu yaabomelee nalipizye eshisasi hwa bhene bhebho.
10 Acha macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona. Ukawainamishe migongo yao daima.”
Leha amaso gabho gabhehwe akisi huje bhagajelole. Ubhaundamishe amasana gabhowila.”
11 Basi nasema, “Je, wamejikwaa hata kuanguka?” Isiwe hivyo kamwe. Badala yake, kwa kushindwa kwao, wokovu umefika kwa Mataifa, ili wao wenyewe watiwe wivu.
Basi eyanga, “Huje bhabomelee hata bhagwile egajebhe?” Esho na mwaha. Badala yakwe, amenwe hwabho, olokole ufishe hwa Mataifa, ili bhebho bhene bhabhe nu wivu.
12 Sasa ikiwa kushindwa kwao ni utajiri wa ulimwengu, na kama hasara yao ni utajiri wa mataifa, ni kiasi gani zaidi itakuwa kukamilika kwao?
Nkashile amenwe hwabho hutabhale evya paulimwengu, nakashile hasalayabho atabhale wa mataifa, nazibhabhe zilenga enyinji akamilishe hwabho?
13 Na sasa naongea nanyi watu wa Mataifa. Kwa kuwa nimekuwa mtume kwa watu wa Mataifa mengine, najivunia huduma yangu.
Na esalezi eyanga namwe mubhantu bhe Mataifa. Hwa huje enditumwa wa bhantu abhe Mataifa aganje, ehwivunira huduma yane.
14 Labda nitawatia wivu walio mwili mmoja na mimi. Labda tutawaokoa baadhi yao.
Labda engabhabhehe owivu gwambele pandwemo nanene. Nkanga tigabhokola bhabha hweli bhamo.
15 Maana ikiwa kukataliwa kwao ni maridhiano ya dunia, kupokelewa kwao kutakuwaje ila uhai toka kwa wafu?
Maana huje akhanile hwabho bhapatene ne dunia, aposhelelwe hwabho haibhawole ila uwomi afume hwaabhafwe?
16 Kama matunda ya kwanza ni akiba, ndivyo ilivyo kwa donge la unga. Kama mzizi ni akiba, matawi nayo kadhalika.
Nkashire amadondo agapawandilo akiba, shesho sashihweli hwibhomba elye ousu. Nkashile amazi gope akiba, esamba zyope shesho.
17 Lakini kama baadhi ya matawi yamekatwa, kama wewe, tawi pori la mzeituni, ulipandikizwa kati yao, na kama ulishiriki pamoja nao katika mizizi ya utajiri wa mzeituni,
Lakini nkashile zihweli esamba zyazidumulwe, nashi wewe, isamba lya mwipoli elya mzeituni, watotilwe pandwemo nabho, na nkashile wali pandwemo nabjo namumazi age otabhalo hwa mzeituni,
18 usijisifu juu ya matawi. Lakini kama unajisifu, si wewe ambaye unaisaidia mizizi, bali mizizi inakusaidia wewe.
oganje hwintutumule amwanya yemasamba. Lakini nkashile uhwintutumula, nasaga wewe ohwavya mumazi, bali amazi gahumwavya awe.
19 Basi utasema, “Matawi yalikatwa ili nipate kupandikizwa katika shina.”
Basi ubhayanje, “Amasamba gadumulwe huje epate atotwe mwilende.”
20 Hiyo ni kweli. Kwa sababu ya kutoamini kwao walikatwa, lakini wewe ulisimama imara kwa sababu ya imani yako. Usijifikirie mwenyewe kwa hali ya juu sana, bali ogopa.
Ego gali lyoli. Husababu yakutowiteshe hwabho bhadumule, lakini awe wahemeleye shinza husababu yelweteho lwaho. Ugaje hwise bhelele umwene huhaliyamwanya sana, heli ogopaga.
21 Kwa maana ikiwa Mungu hakuyaachia matawi ya asili, hatakuhurumia wewe pia.
Kwa maana nkashile Ongolobhe hagagalesheye amasamba amakolo, sagabhahusajile nawe shesho.
22 Angalia, basi, matendo mema na ukali wa Mungu. Kwa upande mmoja, ukali ulikuja juu ya Wayahudi ambao walianguka. Lakini kwa upande mwingine, wema wa Mungu huja juu yako, kama utadumu katika wema wake. Vinginevyo wewe pia utakatiliwa mbali.
Hwiyenye, basi, amadala amiza nuhali wa Ngolobhe. Na hudwemo humo, okhali wahenzele amwanya ya Ayahudi ebho bhagwiye. Lakini nahudwemo uwamwabho, owiza wa Ngolobhe guweza amwanya yaho, nkashile obhakhale mumiza gakwe. Shoshoti nawe amanye obhatagwe hutali.
23 Na pia, kama hawataendelea katika kutoamini kwao, watapandikizwa tena. Maana Mungu anao uwezo wa kuwapandikiza tena.
Natele, nkashile sagabhezehwendelele mlweteshelo lyakwe, bhezatotwe natele. Maana Ongolobhe alinagwo ouwezo ogwa totele natele.
24 Kwa maana ikiwa ninyi mlikatwa nje kwa ulio kwa asili mzeituni mwitu, na kinyume cha asili mlipandikizwa katika mzeituni ulio mwema, si zaidi sana hawa Wayahudi, ambao ni kama matawi ya asili kuweza kupandikizwa tena ndani ya mzeituni wao wenyewe?
Hwa huje amwekashile mwadumulwe hwoze ashilile huhale omzeituni ogwamwipoli, na kinyume shakwe ehale mwa vyalilwe mu mzeituni omwieza, sehuje hwenje sana hwebha Ayahudi, sawa nahuje masamba amakolo gowezya agavyale natele muhati ye mzeituni gabho bhebho?
25 Kwa maana ndugu sitaki msijue, kuhusiana na siri hii, ili kwamba msiwe na hekima katika kufikiri kwenu wenyewe. Siri hii ni kwamba ugumu umetokea katika Israeli, hadi kukamilika kwa mataifa kutakapokuja.
Hwa huje mwaholo sehwaza huje msimanye afyatane nesiri ene, huje msibhe ne eshinshi nashi asebhanye hwenyu mwemwe. Esiri ene huje okhome guifumilene na Israeli, hadi akamilisye hwa mataifa nahwayiyenza.
26 Hivyo Israeli wote wataokoka, kama ilivyoandikwa: “Kutoka Sayuni atakuja Mkombozi. Atauondoa uovu kutoka kwa Yakobo.
Epo aIsraeli yote bhaihwokoha, nashi sagasimbilwe afume: “Afume hu Sayuni ayihwenza Owakhokole. Ayihwefya oubhibhi afume hwa Yakobo.
27 Na hili litakuwa agano langu pamoja nao, wakati nitakapoziondoa dhambi zao.”
Neli lyayibha malagano gane pandwemo nabhene, ensiku ezyo naihwefye embibhi zyabho.”
28 Kwa upande mmoja kuhusu injili, wanachukiwa kwa sababu yenu. Kwa upande mwingine kutokana na uchaguzi wa Mungu, wamependwa kwa sababu ya mababu.
Ahusuhudwemo humo ashilile iizuu, bhavitilwa hwu sababu yenyu. Hudwemo ohwamwabho ashilile nasalule hwa Ngolobhe, bhagenwe husababu ya amaamaa.
29 Kwa kuwa zawadi na wito wa Mungu haubadiliki.
Hwa huje ezawadi nakwiziwe hwa Ngolobhe sagahugaluhana.
30 Kwa kuwa awali ninyi mlikuwa mmemwasi Mungu, lakini sasa mmeipokea rehema kwa sababu ya kuasi kwao.
Hwa huje ehale amwee mwalimleshile Ongolobhe, lakini esalezi muiposheye ewene hwusababu ya aleshe hwabho.
31 Kwa njia iyo hiyo, sasa hawa Wayahudi wameasi. Matokeo yake ni kwamba kutokana na huruma mliyojaliwa ninyi wanaweza pia kupokea rehema.
Hwidala lyelyo esalezi, ebha Ayahudi bhaleshile. Afumilane nego huuje nesanjilo zya mlinazyo amwe bhawezizye bhope aposhele ewene.
32 Maana Mungu amewafunga watu wote katika uasi, ili aweze kuwahurumia wote. (eleēsē g1653)
Maana Ongolobhe abhankonjele abhantu woti ashilile huleshe, huje awezizye abhasajile bhoti. (eleēsē g1653)
33 Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hazichunguziki hukumu zake, na njia zake hazigunduliki!
Shahuhweli outabhalo nenshinshi nenjele eya Ngolobhe! Zagapimwapimwa naloonje hwakwe, namadala gakwe sagazimanyiha!
34 “Maana ni nani aliyeijua nia ya Bwana? Au ni nani amekuwa mshauri wake?
“Maana yonanu walimenye ilengo lya Gosi? Au yonanu waliyanzi wakwe?
35 Au ni nani kwanza aliyempa kitu Mungu, ili alipwe tena?”
Au yonanu owakwanza hupele ahantu Ongolobhe, huje alipwe nantele?”
36 Kwa maana kutoka kwake, na kwa njia yake na kwake, vitu vyote vipo. Kwake uwe utukufu milele. Amina. (aiōn g165)
Hwa huje afume hwakwe, nahwidala lyakwe nahwamwene, evitu vyoti vihweli. Hwa mwene obhe golonsu wilawila. Amina. (aiōn g165)

< Warumi 11 >