< Warumi 11 >

1 Basi nasema, je, Mungu aliwakataa watu wake? Hata kidogo. Kwa kuwa mimi pia ni Mwiisraeli, wa ukoo wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini.
Le hoe ty asako, Ke nifarien’ Añahare ondati’eo? Sondo’e izay! Izaho ka nte-Israele! tarira’ i Abraàme, fifokoa’ i Benjamina.
2 Mungu hakuwakataa watu wake, aliowajua tangu mwanzo. Je hamjui andiko linasema nini kuhusu Eliya, jinsi alivyomsihi Mungu juu ya Israeli?
Tsy napon’ Añahare ondaty niarofoana’e haehaeo. He tsy fohi’ areo ty nanoe’ i Sokitse Masiñey ty amy Elia, ie nitoreo aman’ Andrianañahare ty am’Israele?
3 “Bwana, wamewaua manabii wako, nao wamebomoa madhabahu zako. Mimi peke yangu nimesalia, nao wanatafuta uhai wangu.”
O Talè, zinama’ iereo o mpitoki’oo, kinimokimo’ iereo o kitreli’oo; le honka’e raho vaho te hañe-doza amako iereo?
4 Lakini jibu la Mungu lasema nini kwako? “Nimetunza kwa ajili yangu watu elfu saba ambao hawampigii magoti Baali.”
Aa le ino ty natoin’ Añahare aze: Fa nitanako ho ahy ty lahilaly fito-arivo tsy nanongaleke amy Baale.
5 Hata hivyo, wakati huu wa sasa pia kuna walio salia kwa sababu ya uchaguzi wa neema.
Manahake izay, ao ty sehanga’e henaneo, jinoboñe ami’ty fatariha’e.
6 Lakini ikiwa ni kwa neema, si tena kwa matendo. Vinginevyo neema haitakuwa tena neema.
Aa kanao am-patarihañe, le tsy am-pimanemanean-dily; naho tsy izay tsy ho natao fatarihañe i fatarihañey.
7 Ni nini basi? Jambo ambalo Israeli alikuwa akitafuta, hakukipata, bali wateule walikipata, na wengine walitiwa uzito.
Aa le akore? Mboe tsy rinambe’ Israele i paia’ey, o jinoboñeo ro nandrambe, fe nampigañeñe ty ila’e,
8 Ni kama ilivyoandikwa: “Mungu amewapa roho ya ubutu, macho ili wasione, na masikio ili wasisikie, mpaka leo hii.”
ty amy pinatetsey: Tinolon’ Añahare arofo midebedebe iereo fihaino tsy mahaisake naho ravembia tsy mahajanjiñe pake henaneo.
9 Naye Daudi anasema, “Acha meza zao na ziwe wavu, mtego, sehemu ya kujikwaa, na kulipiza kisasi dhidi yao.
Hoe t’i Davide: Ee te ho fàndrike ty fandambaña’ iareoo, naho koboñe; naho vato mampitsikapy vaho fandilovañe am’ iareo.
10 Acha macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona. Ukawainamishe migongo yao daima.”
Ehe te haieñe o fihaino’ iareoo, tsy hahaisake; le hivokoke nainai’e o lambosi’ iareoo.
11 Basi nasema, “Je, wamejikwaa hata kuanguka?” Isiwe hivyo kamwe. Badala yake, kwa kushindwa kwao, wokovu umefika kwa Mataifa, ili wao wenyewe watiwe wivu.
Aa le hoe iraho: Hera nitsikapy naho nikorovoke iereo? Sondo’e izay! te mone ninday fandrombahañe ho amo kilakila ondatio ty fikorovoha’ iareo, hampikirañe iareo.
12 Sasa ikiwa kushindwa kwao ni utajiri wa ulimwengu, na kama hasara yao ni utajiri wa mataifa, ni kiasi gani zaidi itakuwa kukamilika kwao?
Aa naho vara ho ami’ty voatse toy ty fandilara’ iareo, naho hanàñañe ho a o kilakila ondatio ty filesa’ iareo, sandrake t’ie fonireñe?
13 Na sasa naongea nanyi watu wa Mataifa. Kwa kuwa nimekuwa mtume kwa watu wa Mataifa mengine, najivunia huduma yangu.
(Inahareo kilakila’ ondatio ‘nio ro ivolañako). Aa kanao Firàhe’ o kilakila ondatio iraho, le ho sengèko i fitoroñakoy,
14 Labda nitawatia wivu walio mwili mmoja na mimi. Labda tutawaokoa baadhi yao.
ke ao ty hampamarahieko amo toe nofokoo, hañahàñe ty ila’e.
15 Maana ikiwa kukataliwa kwao ni maridhiano ya dunia, kupokelewa kwao kutakuwaje ila uhai toka kwa wafu?
Fa kanao minday fifampilongoañe ami’ty voatse toy ty fifariañe iareo, le ho inoñe naho tsy haveloñe boak’ an-kavilasy t’ie rambeseñe?
16 Kama matunda ya kwanza ni akiba, ndivyo ilivyo kwa donge la unga. Kama mzizi ni akiba, matawi nayo kadhalika.
Naho miavake i loha-voay, le miavake ka ty vonga’e. Kanao miavake ty vahatse, le o singa’eo ka.
17 Lakini kama baadhi ya matawi yamekatwa, kama wewe, tawi pori la mzeituni, ulipandikizwa kati yao, na kama ulishiriki pamoja nao katika mizizi ya utajiri wa mzeituni,
Aa naho pinekapenkañe ty singa ila’e, le ihe, singan-oliva tsotra ty navitrañe amy iereo vaho natraoke ami’ty vahatse naho ty mena’ i hatae olivay,
18 usijisifu juu ya matawi. Lakini kama unajisifu, si wewe ambaye unaisaidia mizizi, bali mizizi inakusaidia wewe.
le ko rengevohe’o o singa’eo, fa naho mirenge, Inao, tsy ihe ty mameloñe o vaha’eo, fa o vahatseo ro mameloñe azo.
19 Basi utasema, “Matawi yalikatwa ili nipate kupandikizwa katika shina.”
Hera hanao ty hoe irehe: Va’e nipenkàñañe o singao hamitrañañe ahy ao.
20 Hiyo ni kweli. Kwa sababu ya kutoamini kwao walikatwa, lakini wewe ulisimama imara kwa sababu ya imani yako. Usijifikirie mwenyewe kwa hali ya juu sana, bali ogopa.
Eka; toe pinèkañe iereo ty amy tsy fatokisa’ iareo, fa ty fatokisa’o ro ijohaña’o. Aa le ko miriñake fa mañeveña;
21 Kwa maana ikiwa Mungu hakuyaachia matawi ya asili, hatakuhurumia wewe pia.
fa kanao nifarien’ Añahare o toe singa’eo le mahafary azo ka.
22 Angalia, basi, matendo mema na ukali wa Mungu. Kwa upande mmoja, ukali ulikuja juu ya Wayahudi ambao walianguka. Lakini kwa upande mwingine, wema wa Mungu huja juu yako, kama utadumu katika wema wake. Vinginevyo wewe pia utakatiliwa mbali.
Inao ty fatarihan’ Añahare naho ty hasarots’ arofo’e, ie tsy mihilotse amo nikorovokeo, fe ama’areo ty fatarihan’ Añahare naho toe mifahatse amy fatariha’ey, tsy mone haito.
23 Na pia, kama hawataendelea katika kutoamini kwao, watapandikizwa tena. Maana Mungu anao uwezo wa kuwapandikiza tena.
Ie ka, naho tsy mitoloñe an-tsi-fatokisañe, le havitrañe ao, amy te lefen’ Añahare ty hamitraña’e indra­ike.
24 Kwa maana ikiwa ninyi mlikatwa nje kwa ulio kwa asili mzeituni mwitu, na kinyume cha asili mlipandikizwa katika mzeituni ulio mwema, si zaidi sana hawa Wayahudi, ambao ni kama matawi ya asili kuweza kupandikizwa tena ndani ya mzeituni wao wenyewe?
Fa ihe binira amy hatae olivan’ alay vaho navi­trañe amy hatae oliva navaeñe, mpirafe ama’ey, le an­tsake te mete havi­trañe amy hatae oliva’ey o nisinga’eo.
25 Kwa maana ndugu sitaki msijue, kuhusiana na siri hii, ili kwamba msiwe na hekima katika kufikiri kwenu wenyewe. Siri hii ni kwamba ugumu umetokea katika Israeli, hadi kukamilika kwa mataifa kutakapokuja.
Tsy noko, ry longo, ty hamoea’ areo o raha miheotse zao, tsy mone hihabo-kihitse ty amy hagoañe nahazo ty ila’ Israele ampara’ te tafazilike ao o kilakila’ ndaty mahahenekeo.
26 Hivyo Israeli wote wataokoka, kama ilivyoandikwa: “Kutoka Sayuni atakuja Mkombozi. Atauondoa uovu kutoka kwa Yakobo.
Ie amy zao, hene ho rombaheñe t’Israele, ty amy pinatetsey: Hiboak’ e Ziona ao t’i Mpijebañe; le haloli’e am’ Iakobe ty halotsere’e;
27 Na hili litakuwa agano langu pamoja nao, wakati nitakapoziondoa dhambi zao.”
Le zao ty ho fañinako am’ iereo naho hahàko o hakeo’ iareoo.
28 Kwa upande mmoja kuhusu injili, wanachukiwa kwa sababu yenu. Kwa upande mwingine kutokana na uchaguzi wa Mungu, wamependwa kwa sababu ya mababu.
Naho i talili-soay, le naitoañe iereo ty ama’ areo; f’ie naho o fijoboñañeo le ikokoañe ty aman-droae’ iareo.
29 Kwa kuwa zawadi na wito wa Mungu haubadiliki.
Toe tsy hahàfeñe o falalàn’ Añahareo naho o fikanjia’eo.
30 Kwa kuwa awali ninyi mlikuwa mmemwasi Mungu, lakini sasa mmeipokea rehema kwa sababu ya kuasi kwao.
Fa hambañe ami’ty nanjehara’ areo an’ Andrianañahare taolo, fe iferenaiñañe henaneo ty amy fanjehara’ iareoy,
31 Kwa njia iyo hiyo, sasa hawa Wayahudi wameasi. Matokeo yake ni kwamba kutokana na huruma mliyojaliwa ninyi wanaweza pia kupokea rehema.
le manjehatse ka iereo henaneo, soa t’ie ami’ty fitretrezañe anahareo ro hiferenaiñañe.
32 Maana Mungu amewafunga watu wote katika uasi, ili aweze kuwahurumia wote. (eleēsē g1653)
Kila nagaben’ Añahare am-panjeharañe ao soa te hene hiferenaiña’e. (eleēsē g1653)
33 Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hazichunguziki hukumu zake, na njia zake hazigunduliki!
Ee ty halale’ o varan’ Añahareo, ty hilala’e naho ty hihi’e! Tsy hay karaofeñe o zaka’eo, naho tsy lefe tinoñeñe o lia’eo.
34 “Maana ni nani aliyeijua nia ya Bwana? Au ni nani amekuwa mshauri wake?
Ia ty nahafohiñe ty faharofoana’ i Talè? Ia ty nimpanoro aze?
35 Au ni nani kwanza aliyempa kitu Mungu, ili alipwe tena?”
Ia ty nanolotse ama’e aolo, hañavaha’e?
36 Kwa maana kutoka kwake, na kwa njia yake na kwake, vitu vyote vipo. Kwake uwe utukufu milele. Amina. (aiōn g165)
Fa tama’e, naho añama’e, vaho ho ama’e ty haliforañe. aze ty engeñe nainai’e kitro’afe’e. Amena. (aiōn g165)

< Warumi 11 >