< Warumi 11 >

1 Basi nasema, je, Mungu aliwakataa watu wake? Hata kidogo. Kwa kuwa mimi pia ni Mwiisraeli, wa ukoo wa Abrahamu, wa kabila la Benyamini.
Ndamba kuti, ino Leza wakabakaka na bantu bakwe? Takukwe nichitabi boobo. Nkaambo ambe ndili munaIzilayeli, silunyungu lwaAbbulahamu, wamukowa waBenjamini.
2 Mungu hakuwakataa watu wake, aliowajua tangu mwanzo. Je hamjui andiko linasema nini kuhusu Eliya, jinsi alivyomsihi Mungu juu ya Israeli?
Leza tewakaka bantu bakwe, mbakaziba kale. Tamuzi na malembe kuti atyeni aElija, mbakakombelezya Leza kubana Izilayeli?
3 “Bwana, wamewaua manabii wako, nao wamebomoa madhabahu zako. Mimi peke yangu nimesalia, nao wanatafuta uhai wangu.”
“Mwami, bakajeya basinsimi bako, bakapwayila ansi zipayililo zyabo. Imebo andike ndime wakachaala, alubo balikuyandula bwangu bumi.”
4 Lakini jibu la Mungu lasema nini kwako? “Nimetunza kwa ajili yangu watu elfu saba ambao hawampigii magoti Baali.”
Pesi Leza nsandulo yake ityeni kulinguwe? “Ndakalibambila musanu ababili zyulu zyabalumi batana kutyola zwi kuli Bbaala.”
5 Hata hivyo, wakati huu wa sasa pia kuna walio salia kwa sababu ya uchaguzi wa neema.
Nikuba obo lino, kuli chechino chiindi chasunu kuli bacheede akambo kakusalwa kwaluzyalo.
6 Lakini ikiwa ni kwa neema, si tena kwa matendo. Vinginevyo neema haitakuwa tena neema.
Pesi na nzyakuluzyalo, tazichili zyakumilimu. Ateni luzyalo taluchike kuyoba luzyalo. Amwi malembe alabalwa pesi na zyitwa amilimu, mpawo tazichili zyaluzyalo; akutali kuti mulimu tuchili mulimu.
7 Ni nini basi? Jambo ambalo Israeli alikuwa akitafuta, hakukipata, bali wateule walikipata, na wengine walitiwa uzito.
Niyi lino? Chintu bana Izilayeli nchibayandula, nchibakatajana, abayingi bakayumisigwa.
8 Ni kama ilivyoandikwa: “Mungu amewapa roho ya ubutu, macho ili wasione, na masikio ili wasisikie, mpaka leo hii.”
Chili mbuli mbuchilembedwe: “Leza wakabapa Muuya wabufubafuba, meso kuchitila kuti bataboni, a matwi kuchitila kuti batamvwi, kusika muli obuno buzuba.”
9 Naye Daudi anasema, “Acha meza zao na ziwe wavu, mtego, sehemu ya kujikwaa, na kulipiza kisasi dhidi yao.
Mpawo Davida wamba kuti, “Muleke tafula lyabo libe kanyandi akakole, lyakubaleba akubabeda chumyo kulimbabo.
10 Acha macho yao yatiwe giza ili wasiweze kuona. Ukawainamishe migongo yao daima.”
Muleke menso abo asizigwe kuchitila kuti bataboni, akutyola misana yabo lyonse.”
11 Basi nasema, “Je, wamejikwaa hata kuanguka?” Isiwe hivyo kamwe. Badala yake, kwa kushindwa kwao, wokovu umefika kwa Mataifa, ili wao wenyewe watiwe wivu.
Ndamba, “Bakalebwa na kusikila kukuwa?” Chitakabi obo. Pele, achibi chabo, lufutuko lwasika kuli baMasi, kuchitila kuti basungilizigwe kubuzuba.
12 Sasa ikiwa kushindwa kwao ni utajiri wa ulimwengu, na kama hasara yao ni utajiri wa mataifa, ni kiasi gani zaidi itakuwa kukamilika kwao?
Lino na chibi chabo mbuvubi bwakunyika, na kuswekelwa kwabo mbuvubi bwabaMasi, buyoba bupati kukuzuzikizya kwabo?
13 Na sasa naongea nanyi watu wa Mataifa. Kwa kuwa nimekuwa mtume kwa watu wa Mataifa mengine, najivunia huduma yangu.
Pesi lino ndilikwambula kulindinywe nibaMasi, kufumbwa kuti kandili apositoli kuli baMasi, ndilalutangalo mumulimu wangu.
14 Labda nitawatia wivu walio mwili mmoja na mimi. Labda tutawaokoa baadhi yao.
Ateni ndilakusungilizya kubuzuba kulibabo bayangu nyama. Ateni twali kunofutuka bamwi babo.
15 Maana ikiwa kukataliwa kwao ni maridhiano ya dunia, kupokelewa kwao kutakuwaje ila uhai toka kwa wafu?
Kuti kukaka kwabo kwamba kuyandana kwakunyika, kuyoba nzi kutambula kwabo pesi buumi kuzwa kubafwide?
16 Kama matunda ya kwanza ni akiba, ndivyo ilivyo kwa donge la unga. Kama mzizi ni akiba, matawi nayo kadhalika.
Kuti michelo mitanzi kayisalala, mbubede munsuma wachinkwa. Kuti muyanda kusalala, mbibede amitabi,
17 Lakini kama baadhi ya matawi yamekatwa, kama wewe, tawi pori la mzeituni, ulipandikizwa kati yao, na kama ulishiriki pamoja nao katika mizizi ya utajiri wa mzeituni,
Pesi na imwi mitabi yakakuzuka, na webo uli mutabi wamuOlifa wamusokwe, wakabikwa akati kabo, alubo na wakaabana ambabo mumuvubi bwamuyanda wamunsamu muOlifa,
18 usijisifu juu ya matawi. Lakini kama unajisifu, si wewe ambaye unaisaidia mizizi, bali mizizi inakusaidia wewe.
mutakalikankayizyi atala amitabi. Pesi na mwalikaknkayizya, teensi ndinywe munyampula mayanda, pesi muyanda ngumunyampula.
19 Basi utasema, “Matawi yalikatwa ili nipate kupandikizwa katika shina.”
Muyowamba kuti, “Mitabi yakatyoka kuchitila kuti ndibike mukati.”
20 Hiyo ni kweli. Kwa sababu ya kutoamini kwao walikatwa, lakini wewe ulisimama imara kwa sababu ya imani yako. Usijifikirie mwenyewe kwa hali ya juu sana, bali ogopa.
Eyo ninchonzyo nkaambo kakutasyoma kwabo bakakuzuka, pesi muliima nji nkaambo kalusyomo lwanu. Mutayeyi loko atala andinywe, pesi akuyowa.
21 Kwa maana ikiwa Mungu hakuyaachia matawi ya asili, hatakuhurumia wewe pia.
Kuti na Leza takabika kulubazu mitabi yabube, takukwe mbayomu mbayobika kulubazu anywebo.
22 Angalia, basi, matendo mema na ukali wa Mungu. Kwa upande mmoja, ukali ulikuja juu ya Wayahudi ambao walianguka. Lakini kwa upande mwingine, wema wa Mungu huja juu yako, kama utadumu katika wema wake. Vinginevyo wewe pia utakatiliwa mbali.
Mulange, mpawo, zyiito zyabuya abuyumu bwaLeza: buyumu bwakasikila baJuda bakawa, pesi bubotu bwaLeza buza alindinywe na mwayendelela mubuya bwakwe. Atela anywebo muyogwisigwa.
23 Na pia, kama hawataendelea katika kutoamini kwao, watapandikizwa tena. Maana Mungu anao uwezo wa kuwapandikiza tena.
Alubo nikuba mbabo nikuba mbabo na tebendelela mukutasyoma kwabo, nkambo Leza ulakonzya kubabika alubo.
24 Kwa maana ikiwa ninyi mlikatwa nje kwa ulio kwa asili mzeituni mwitu, na kinyume cha asili mlipandikizwa katika mzeituni ulio mwema, si zaidi sana hawa Wayahudi, ambao ni kama matawi ya asili kuweza kupandikizwa tena ndani ya mzeituni wao wenyewe?
Na mwakaligwisigilwe kuli zyabube bwamunsamu wamusokwe muOlifa, akukazyana abube bwakabikwa mumunsamu mubotu muOlifa, bayoba biyeni kuli eyi mitabi, bakabikwe lubo kumunyina muOlifa?
25 Kwa maana ndugu sitaki msijue, kuhusiana na siri hii, ili kwamba msiwe na hekima katika kufikiri kwenu wenyewe. Siri hii ni kwamba ugumu umetokea katika Israeli, hadi kukamilika kwa mataifa kutakapokuja.
Nkambo tandiyandi kuti mutabi batakwe luzibo, nibakwesu asinswa eyi, kuti mutakabi basongo mukuyeya kwanu. Kuyumya kumwi kwasikila Izilayeli kusikila mwelwe woonse wabamasi banjila.
26 Hivyo Israeli wote wataokoka, kama ilivyoandikwa: “Kutoka Sayuni atakuja Mkombozi. Atauondoa uovu kutoka kwa Yakobo.
Nkaako Izilayeli woonse uyokufutulwa, mbuli mbukulembedwe: “Kuzwa muZiyoni nkwayozwa munununi. Uyogwisya kubula Leza kuzwa kuli Jakobe,
27 Na hili litakuwa agano langu pamoja nao, wakati nitakapoziondoa dhambi zao.”
alimwi eechi chiyoba chizuminano ambabo, nintakagwisye zibi zyabo.”
28 Kwa upande mmoja kuhusu injili, wanachukiwa kwa sababu yenu. Kwa upande mwingine kutokana na uchaguzi wa Mungu, wamependwa kwa sababu ya mababu.
Mbuli makani mabotu mbalangide, mbasinkondonyokwe kuchitila ndinywe. Pesi mbulilusalo mbolubede, baliyandidwe akaambo kaba similimu bakale.
29 Kwa kuwa zawadi na wito wa Mungu haubadiliki.
Nkaambo zipego akwiitwa kwaLeza tazisanduliki.
30 Kwa kuwa awali ninyi mlikuwa mmemwasi Mungu, lakini sasa mmeipokea rehema kwa sababu ya kuasi kwao.
Mbuli mbumwakali bataswilili kuli Leza, lino mwatambula luse akambo kakutaswilila kwabo.
31 Kwa njia iyo hiyo, sasa hawa Wayahudi wameasi. Matokeo yake ni kwamba kutokana na huruma mliyojaliwa ninyi wanaweza pia kupokea rehema.
Munzila njiyonya eyo, lino aba baJuda bakaba bataswilili. Mpindu yakali yakuti aluse lutondezedwe kulindinywe bakatambula luse alubo.
32 Maana Mungu amewafunga watu wote katika uasi, ili aweze kuwahurumia wote. (eleēsē g1653)
Nkaambo Leza wakazijalila zyoonse mukutaswilila kuchitila kuti atondezye luse kuli bonse. (eleēsē g1653)
33 Jinsi zilivyo kuu utajiri na hekima na maarifa ya Mungu! Hazichunguziki hukumu zake, na njia zake hazigunduliki!
Aah, kunika kwakuvubi antomwe bwabusongo a luzibo lwaLeza! Taziyanduuliki biyeni mbeteko, anzila zyakwe zyiinda kubbutula!
34 “Maana ni nani aliyeijua nia ya Bwana? Au ni nani amekuwa mshauri wake?
“Nguni wakaziba miyeeyyo yaMwami na nguni wakaba sikumuchenjezya?
35 Au ni nani kwanza aliyempa kitu Mungu, ili alipwe tena?”
Na nguni wakatalika kupa chintu kuliLeza, kuti Leza amubwedezye?”
36 Kwa maana kutoka kwake, na kwa njia yake na kwake, vitu vyote vipo. Kwake uwe utukufu milele. Amina. (aiōn g165)
Nkaambo kuzwa mulinguwe alimwi akwiinda mulinguwe alimwi akuli nguwe zyoonse zintu nkuzibede. Kulinguwe abube bulemu bwalyoonse. Amen. (aiōn g165)

< Warumi 11 >