< Warumi 10 >

1 Ndugu, nia ya moyo wangu na ombi langu kwa Mungu ni kwa ajili yao, kwa ajili ya wokovu wao.
Bracia, pragnieniem mego serca i modlitwą, którą zanoszę do Boga za Izrael, jest jego zbawienie.
2 Kwa kuwa nawashuhudia kwamba wanajuhudi kwa ajili ya Mungu, lakini si kwa ajili ya ufahamu.
Daję im bowiem świadectwo, że mają gorliwość dla Boga, ale nie według poznania.
3 Kwa kuwa hawajui haki ya Mungu, na wanatafuta kujenga haki yao wenyewe. Hawakuwa watiifu kwa haki ya Mungu.
Nie znając bowiem sprawiedliwości Boga, a chcąc ustanowić własną sprawiedliwość, nie poddali się sprawiedliwości Boga.
4 Kwa kuwa Kristo ndiye utimilifu wa sheria kwa ajili ya haki ya kila mtu aaminiye.
Końcem bowiem prawa jest Chrystus ku sprawiedliwości każdego, kto wierzy.
5 Kwa kuwa Musa anaandika kuhusu haki ambayo huja kutokana na sheria: “Mtu ambaye hutenda haki ya sheria ataishi kwa haki hii.”
Gdyż Mojżesz pisze o sprawiedliwości, która [jest] z prawa: Kto te rzeczy wypełnia, przez nie będzie żył.
6 Lakini haki ambayo inatokana na imani husema hivi, “Usiseme moyoni mwako, 'Nani atapaa kwenda mbinguni?' (Hii ni kumleta Kristo chini).
Sprawiedliwość zaś, która jest z wiary, tak powiada: Nie mów w swym sercu: Kto wstąpi do nieba? – to znaczy, [aby] Chrystusa na dół sprowadzić;
7 Na usiseme, 'Nani atashuka katika shimo?”' (Hii ni, kumleta Kristo juu kutoka kwa wafu). (Abyssos g12)
Albo: Kto zstąpi do otchłani? – to znaczy, [aby] Chrystusa od umarłych wyprowadzić. (Abyssos g12)
8 Lakini inasema nini? “Neno liko karibu na wewe, katika kinywa chako na katika moyo wako.” Hilo ni neno la imani, ambalo tunatangaza.
Ale cóż mówi: Blisko ciebie jest słowo, na twoich ustach i w twoim sercu. To jest słowo wiary, które głosimy:
9 Kwa kuwa kama kwa kinywa chako unamkiri Yesu ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako kwamba Mungu alimfufua kutoka kwa wafu, utaokoka.
Jeśli ustami wyznasz Pana Jezusa i uwierzysz w swoim sercu, że Bóg wskrzesił go z martwych, będziesz zbawiony.
10 Kwa kuwa kwa moyo mtu huamini na kupata haki, na kwa kinywa hukiri na kupata wokovu.
Sercem bowiem wierzy się ku sprawiedliwości, a ustami wyznaje się ku zbawieniu.
11 Kwa kuwa andiko lasema, “Kila amwaminiye hata aibika.”
Mówi bowiem Pismo: Każdy, kto w niego wierzy, nie będzie zawstydzony.
12 kwa kuwa hakuna tofauti kati ya Myahudi na Myunani. Kwa kuwa Bwana yule yule ni Bwana wa wote, na ni tajiri kwa wote wamwitao.
Gdyż nie ma różnicy między Żydem a Grekiem; bo ten sam Pan wszystkich jest bogaty względem wszystkich, którzy go wzywają.
13 Kwa kuwa kila mtu ambaye huliitia jina la Bwana ataokoka.
Każdy bowiem, kto wezwie imienia Pana, będzie zbawiony.
14 Kwa jinsi gani wanaweza kumwita yeye ambaye hawajamwamini? Na jinsi gani wanaweza kuamini katika yeye ambaye hawajamsikia? Na watasikiaje pasipo muhubiri?
Jakże więc będą wzywać [tego], w którego nie uwierzyli? A jak uwierzą [w tego], o którym nie słyszeli? A jak usłyszą bez kaznodziei?
15 Na jinsi gani wanaweza kuhubiri, isipokuwa wametumwa? - Kama ilivyoandikwa, “Jinsi gani ni mizuri miguu ya wale ambao wanatangaza habari za furaha za mambo mema!”
Jakże też będą głosić, jeśli nie zostaną posłani? Jak jest napisane: O jak piękne są nogi tych, którzy opowiadają pokój, tych, którzy opowiadają dobre rzeczy!
16 Lakini wote hawakusikiliza injili. Kwa kuwa Isaya hunena, “Bwana, ni nani aliyesikia ujumbe wetu?”
Ale nie wszyscy byli posłuszni ewangelii. Izajasz bowiem mówi: Panie, któż uwierzył naszemu głoszeniu?
17 Hivyo imani huja kutokana na kusikia, na kusikia kwa neno la Kristo.
Wiara więc jest ze słuchania, a słuchanie – przez słowo Boże.
18 Lakini nasema, “Je hawakusikia?” Ndiyo, kwa hakika sana. “Sauti yao imekwisha toka nje katika nchi yote, na maneno yao kwenda miisho ya dunia.”
Pytam jednak: Czy nie słyszeli? Ależ tak: Po całej ziemi rozszedł się ich głos i na krańce świata ich słowa.
19 Zaidi ya yote, Ninasema, “Je Israel hakujua?” Kwanza Musa hunena, “Nitawachokoza kuwatia wivu kwa watu ambao si taifa. Kwa njia ya taifa lisilo na uelewa, nitawachochea hadi mkasirike.”
Pytam jednak: Czy Izrael tego nie poznał? Mojżesz pierwszy mówi: Ja pobudzę was do zawiści przez [naród], który nie jest narodem, przez naród nierozumny wzbudzę w was gniew.
20 Na Isaya ni jasiri sana na husema, “Nilipatikana na wale ambao hawakunitafuta. Nilionekana kwa wale ambao hawakunihitaji.”
A Izajasz śmiało mówi: Zostałem znaleziony przez tych, którzy mnie nie szukali, objawiłem się tym, którzy o mnie nie pytali.
21 Lakini kwa Israel husema, “Siku zote nilinyoosha mikono yangu kwa wasiotii na kwa watu wagumu.”
Lecz do Izraela mówi: Cały dzień wyciągałem moje ręce do ludu opornego i sprzeciwiającego się.

< Warumi 10 >